Dr Kigwangalla: Mbowe asikubali kushindwa na Lisu, akishindwa atakuwa Fala sana

Dr Kigwangalla: Mbowe asikubali kushindwa na Lisu, akishindwa atakuwa Fala sana

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge machachari na msomi aliyetukuka Bilionea Hamis Kigwangalla amemsihi Freeman Mbowe asikubali kushindwa na Tundu Antipas Lisu

Kigwangalla anesema Mbowe na Mkwe wake ndio wamekijenga Chadema Kwa Miaka 30 sasa hivyo akikubali kushindwa atakuwa Fala sana

=============
Mbowe asikubali kushindwa na Lissu. Akishindwa atakuwa fala sana…Yaani akipiganie chama kwa jasho na damu kwa miaka zaidi ya 30, aje akubali kunyang’anywa na mashujaa wa mitandaoni?

Tutamshangaa sana. Kwanza baba mkwe wake kakianzisha na kukijenga, kisha yeye binafsi katumia ujana wake kukijenga, leo aje mtu mtu tu akichukue?! No way!

Bilionea Kigwangalla ametoa angalizo Ukurasani kwake X

Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄

Screenshot 2024-12-22 180528.png
 
Haitawezekana kamwe na katu Lissu kuongoza CHADEMA.Hiyo haiwezekani na haiji kuwezekana maana hana uwezo wa kuiongoza CHADEMA.Chama kitaendelea kuwekwa katika mikono salama ya Mwamba na Jabali wa siasa za Upinzani katika ukanda huu wa Afrika mashariki Mheshimiwa Freeman Mbowe
 
Mbunge machachari na msomi aliyetukuka Bilionea Hamis Kigwangalla amemsihi Freeman Mbowe asikubali kushindwa na Tundu Antipas Lisu

Kigwangalla anesema Mbowe na Mkwe wake ndio wamekijenga Chadema Kwa Miaka 30 sasa hivyo akikubali kushindwa atakuwa Fala sana

Bilionea Kigwangalla ametoa angalizo Ukurasani kwake X

Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄
🤔🤔🤔
 
Haitawezekana kamwe na katu Lissu kuongoza CHADEMA.Hiyo haiwezekani na haiji kuwezekana maana hana uwezo wa kuiongoza CHADEMA.Chama kitaendelea kuwekwa katika mikono salama ya Mwamba na Jabali wa siasa za Upinzani katika ukanda huu wa Afrika mashariki Mheshimiwa Freeman Mbowe
chrome_screenshot_22 Dec 2024 12_26_57 GMT+03_00.png
Kunguni wa mama Abduli risiti zako tunazo.

Hapo ulisema hakuna mtanzania mwenye akili timamu atamuunga mkono hivyo sasa unapomuunga mkono maana yake pia huna akili timamu.

Tueleze hapo Mbowe aliyejikatia na tamaa na kupoteza ushawishi wa wanachama hapo January ndio kageuka mwamba December?
 
Mbunge machachari na msomi aliyetukuka Bilionea Hamis Kigwangalla amemsihi Freeman Mbowe asikubali kushindwa na Tundu Antipas Lisu

Kigwangalla anesema Mbowe na Mkwe wake ndio wamekijenga Chadema Kwa Miaka 30 sasa hivyo akikubali kushindwa atakuwa Fala sana

Bilionea Kigwangalla ametoa angalizo Ukurasani kwake X

Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄
Kanisa moja takatifu la mitume.
 
Mbunge machachari na msomi aliyetukuka Bilionea Hamis Kigwangalla amemsihi Freeman Mbowe asikubali kushindwa na Tundu Antipas Lisu

Kigwangalla anesema Mbowe na Mkwe wake ndio wamekijenga Chadema Kwa Miaka 30 sasa hivyo akikubali kushindwa atakuwa Fala sana

Bilionea Kigwangalla ametoa angalizo Ukurasani kwake X

Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄
Sasa nimeanza kumdharau huyu Dk.
Anataka kuwaaminisha watanzaia kuwa hicho chama ni cha Familia?
 
Unajenga na unamuachia mwingine aendeleze, sio cha mtu binafsi. Kukichomeka chama mfukoni sio uuuuungwana. Lissu nakusihe uchomoe hicho chama kutoka mfukoni mwa mtu.
 
CCM watautumia sana huu mgongano najua maelekezo kutoka lumumba yashatolewa kuivuruga CDM kwa staili hii. 2025 form moja lazima yatokee yale ya Lowassa mnyukano mkali utatokea
 
View attachment 3182679Kunguni wa mama Abduli risiti zako tunazo.

Hapo ulisema hakuna mtanzania mwenye akili timamu atamuunga mkono hivyo sasa unapomuunga mkono maana yake pia huna akili timamu.

Tueleze hapo Mbowe aliyejikatia na tamaa na kupoteza ushawishi wa wanachama hapo January ndio kageuka mwamba December?
Nqmsubiri ajibu
 
View attachment 3182679Kunguni wa mama Abduli risiti zako tunazo.

Hapo ulisema hakuna mtanzania mwenye akili timamu atamuunga mkono hivyo sasa unapomuunga mkono maana yake pia huna akili timamu.

Tueleze hapo Mbowe aliyejikatia na tamaa na kupoteza ushawishi wa wanachama hapo January ndio kageuka mwamba December?
Hawa akina Luca wanatuchezea sana akili.

Hata Samia akiondoka madarakani wataanza kumsuta na kumbagaza.

Hawana wanaloliamini, ni mwendo wa kupiga jalamba kwa kadiri upepo unapoelekea.

Cc: Lucas Mwashambwa
 
Haitawezekana kamwe na katu Lissu kuongoza CHADEMA.Hiyo haiwezekani na haiji kuwezekana maana hana uwezo wa kuiongoza CHADEMA.Chama kitaendelea kuwekwa katika mikono salama ya Mwamba na Jabali wa siasa za Upinzani katika ukanda huu wa Afrika mashariki Mheshimiwa Freeman Mbowe
mbona naona kama mnampa sifa za kinafiki mbowe? Mnafanya utoto kwenye siasa. Mnamvimbisha mbowe kinafiki huku mnajua kabisa kinagaubaga mapungufu yake kwa namna anavyoiendesha chadema kama mali ya familia yao
 
Mbunge machachari na msomi aliyetukuka Bilionea Hamis Kigwangalla amemsihi Freeman Mbowe asikubali kushindwa na Tundu Antipas Lisu

Kigwangalla anesema Mbowe na Mkwe wake ndio wamekijenga Chadema Kwa Miaka 30 sasa hivyo akikubali kushindwa atakuwa Fala sana

=============
Mbowe asikubali kushindwa na Lissu. Akishindwa atakuwa fala sana…Yaani akipiganie chama kwa jasho na damu kwa miaka zaidi ya 30, aje akubali kunyang’anywa na mashujaa wa mitandaoni?

Tutamshangaa sana. Kwanza baba mkwe wake kakianzisha na kukijenga, kisha yeye binafsi katumia ujana wake kukijenga, leo aje mtu mtu tu akichukue?! No way!

Bilionea Kigwangalla ametoa angalizo Ukurasani kwake X

Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄

View attachment 3182696
Kama alivyo fala yeye na ukoo wake huko nzega alioutelekeza
 
Back
Top Bottom