Dr Kigwangalla: Mbowe asikubali kushindwa na Lisu, akishindwa atakuwa Fala sana

Nimebubujikwa n machozi Kwa huu unafik
 
Hii ishu ni serious aise
Upande wa kijani baadhi yao wamechukua upande huko upinzani
 
Lisu anafanya watu wanakosa usingizi
 
Hawa akina Luca wanatuchezea sana akili.

Hata Samia akiondoka madarakani wataanza kumsuta na kumbagaza.

Hawana wanaloliamini, ni mwendo wa kupiga jalamba kwa kadiri upepo unapoelekea.

Cc: Lucas Mwashambwa
Namkubali sana Rais Samia .ndio Maana Humuombea kila siku ili MUngu aendelee kumlinda,kumtetea na kumpigania.lakini pia Humuombea ili Mungu aendelee kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.
 
Manyumbu yagonganishwe vichwa
 
Naunga mkono hoja Lisu hajawahi jenga chama chochote kazi yake kuparamia vyama vilivyojijenga tayari akiwindq fursa

Hata akipigwa chini uchaguzi atatorokea vyama vilivyojijenga tayari kuwinda fursa iwe CCM, au ACT Wazalendo hawezi kwenda Chauma nk ni muwinda fursa tu

Mbowe ukikubali Lisu ashinde utakuwa akili huna
 
Tabia ya mtu mnafiki ni ya ajabu sana.
 
Sasa nimeanza kumdharau huyu Dk.
Anataka kuwaaminisha watanzaia kuwa hicho chama ni cha Familia?
hana haja ya kutuaminisha inafahamika tangu zamani sema kafanya kukumbushia
 
Nyoka wamemwagiwa mafuta ya taa pangoni, sasa kila mmoja anatoka na kelele zake ,tuendelee kuvuta subira mpaka watoke wote
 
 

Attachments

  • 5900516-2dae5c1f3887d759229713b8a563fcc1.mp4
    7.1 MB
Muislam yoyote kuwa na akili ni ndoto...uwezekana wa Muislam kuwa na akili ni asilimia 2% na uwezekano wa mkristo kuwa na akili ni asilinia 18%
 
mbona naona kama mnampa sifa za kinafiki mbowe? Mnafanya utoto kwenye siasa. Mnamvimbisha mbowe kinafiki huku mnajua kabisa kinagaubaga mapungufu yake kwa namna anavyoiendesha chadema kama mali ya familia yao
Ukiona adui yako ghfla anakuwa mwema kwako ma kuanza kujenga ukaribu na kukupa sifa za kinafiki- kaa chonjo.
 
Ukiona adui yako ghfla anakuwa mwema kwako ma kuanza kujenga ukaribu na kukupa sifa za kinafiki- kaa chonjo.

Alipata kunena Kwame Nkuruma (the late)
Kuwa “ adui au hasimu wako akikwambia kimbia wewe usikimbie bali simama na akikwambia simama wewe timua mbio”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…