We shem si imeamua kinofanyia ukorofi?
Uchambaji na uzagamuaji vijana wapenda kitongaLabda nguzo ya uchambaji
Ohooo,nasikia kawazibua madogo masegaMasega?
Yeye anapelekewa [emoji91][emoji91]MC na mtangazaji Nguli anafaa kupewa tuzo maalum kwa kuwezesha vijana kufikia ndoto zao katika Sanaa. Hivi karibuni alifankiwa kuwezesha vijana yapata 20 kucheza filamu yao ya PESA MAKARATASI. Hongersa sana Dr
Analia Kama kinda la ndegeYeye anapelekewa [emoji91][emoji91]
Uongo mtupu, sema uambiwee Hadi Nani huwa anampumulia shingoni huyo Dokta wako.Dr walimchukulia PAPAI kumbe vijana wanakalia
Dr mpuuzDr anajitetea ujinga
Dr wa Kuzibua mitaro ya vijana wanamshobokea bongo movieHuyu daktari wa nini?
Ova
Halooooooooo wwwwwwwewUongo mtupu, sema uambiwee Hadi Nani huwa anampumulia shingoni huyo Dokta wako.
Kwa taarifa yako sasa huyo ni papai pyuaa, na sio mchicha mwiba kuwa unachomaa.
Kawadanganyee wasiojua, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daktari wa falsafa kutoka chuo kikuu. Aliandika tasnifu kuhusu mchango wa uchawa unavyodumaza taaluma za wasomi Tanzania.Huyu daktari wa nini?
Ova
Dyadyaaa [emoji23][emoji23][emoji23]Halooooooooo wwwwwwwew