Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Tembo club ilikuwa zamani bwanaaaa sahv labda river tree kidogo au dulutiKisongo karibu na Tembo club kwenye tembo wa mchongo au meserani snake park haha..
Ukapande na ngamia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tembo club ilikuwa zamani bwanaaaa sahv labda river tree kidogo au dulutiKisongo karibu na Tembo club kwenye tembo wa mchongo au meserani snake park haha..
Ukapande na ngamia
Ndiyo Kuna siku anakujaga naye 😀😀😀😀 sijui ndyo elisha au mdogo wakeHivibkwemye ile timu ya saidia saidia baba na Elisha anakuwemogi?
Hiyo life Mungu awatie nguvu kwa kweliNdiyo Kuna siku anakujaga naye 😀😀😀😀 sijui ndyo elisha au mdogo wake
Wamwiboresha tena, wana mbuzi mzuri sana nawakubaliTembo club ilikuwa zamani bwanaaaa sahv labda river tree kidogo au duluti
Weeee hivi unajua pamoja na kwamba arusha ni maskani ila viwanja vingi sivifahamuuWamwiboresha tena, wana mbuzi mzuri sana nawakubali
Mimi sio haba navijua ai unajua ni mji mdogo tuWeeee hivi unajua pamoja na kwamba arusha ni maskani ila viwanja vingi sivifahamuu
Itabidi unitembeze halafu me nitakutembeza dar na viunga vyake...si unajua ukiwa nyumbani huwezi kutokaMimi sio haba navijua ai unajua ni mji mdogo tu
[emoji3064][emoji3064]sasa hapo nani mme?Njaa shouga na hapo ukute bwana anasokomezwa dildo na mkewe kwa bed [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Arusha na Dar huwezi kunotembeza.Itabidi unitembeze halafu me nitakutembeza dar na viunga vyake...si unajua ukiwa nyumbani huwezi kutoka
Hahahah tuhamie zetu kule tumuachie dokta kumbuka uzi wake atambeeeArusha na Dar huwezi kunotembeza.
Kifogo Dom na Mwanza utanishika mkono..kule aio mwenyeji sana.
Dar nimwkulia huko na kaxi zangu nyingi nafanyia huko.
Dar sifahamu mitaa ya Yombo vituka na mitaa michache tu😂😂
Hata sihami nione mwisho wake😂😂Hahahah tuhamie zetu kule tumuachie dokta kumbuka uzi wake atambeee
Ngoja aje si unajua Tambo zakeHata sihami nione mwisho wake😂😂
Ana skando hana ujanjaNgoja aje si unajua Tambo zake
nikikaa sebuleni na watoto wangu tunaangalia tv, akitokea huyu kumbuka, hadi watoto wangu wanajua huwa wananiangalia, huwa nakasirika kwasababu huwa sipendi hata kumwangalia. ni mfano mbaya sana kwa wanaume, na kila mtoto anatakiwa ajiepushe asiwe kama huyu jamaa.MC na mtangazaji Nguli anafaa kupewa tuzo maalum kwa kuwezesha vijana kufikia ndoto zao katika Sanaa. Hivi karibuni alifankiwa kuwezesha vijana yapata 20 kucheza filamu yao ya PESA MAKARATASI. Hongersa sana Dr
Fambaf shem[emoji23][emoji23]
Uwiii uwiii ukiwaona njiani unasema couple hii hapa mashaalaah
Hata sihami nione mwisho wake[emoji23][emoji23]
We shem si imeamua kinofanyia ukorofi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]