Dr. Leakey Abdallah yupo TV 1

Hahaa kumbe mkuu unakumbuka?
Michuzi nae akawa akitumia mda mwingi tu watu wanapiga simu kumtuliza
na kumwambia amuache Dr aongee...
Edo pia alikuwa anaboa hadi basi...
dah kweli miaka inabadilika
man u vs as roma nakumbuka alimzungumzia vizuri fransisco totti mpaka leo maneno yake yapo kichwani kila nikiiona as roma au picha ya totti namkumbuka Dr
ni living legend ila kizazi cha fb kimesombwa na edo
 
Mbona mmemsahau Paschal Mayalla nae pia alikuwapo wakishirikiana na kina Michuzi kwenye yale matangazo pale DTV wakati Dr Leakey anaanza uchambuzi,namkumbuka sana wakati wa fainali za euro 96,alikua the best huyu bwana.
 
Mtoa mada keshapata majibu yake, sisi tunalumbana .
 
katika uchambuzi wa mpira yuko safi sana Dr Leakey kwa bongo amewaacha mbali sana wachambuzi wengine wa soka
 
Acha kudanganya watu, Liki Abdallah ni mchumi kitaaluma na ana Phd , siyo aliitwa Dr kwa ajili ya mpira.

Nishamuona sana katika makongamano ya uchumi.
 
Acha kudanganya watu, Liki Abdallah ni mchumi kitaaluma na ana Phd , siyo aliitwa Dr kwa ajili ya mpira.

Nishamuona sana katika makongamano ya uchumi.
Sio udaktari wa heshima kama msoga?
 

Sawia kabisa!

Naukumbuka vyema kabisa uchambuzi wake wa Euro '96.

Halafu...hivi pia hakuchambua World Cup '94 ITV?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…