MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
man u vs as roma nakumbuka alimzungumzia vizuri fransisco totti mpaka leo maneno yake yapo kichwani kila nikiiona as roma au picha ya totti namkumbuka DrHahaa kumbe mkuu unakumbuka?
Michuzi nae akawa akitumia mda mwingi tu watu wanapiga simu kumtuliza
na kumwambia amuache Dr aongee...
Edo pia alikuwa anaboa hadi basi...
dah kweli miaka inabadilika
ni living legend ila kizazi cha fb kimesombwa na edo