Tukumbushe aliongea nini?
Edo Kumwembe yuko juu hata makala zake ni za kiufundi, dr.Leakey ni mtoa historia tu ana bias na timu zake kama AC Milan au Germany, sio mchambuzi huru, shafii yaleyale anaongozwa na hisia zaidi.
Dr. Leaky enzi zile alikuwa anasoma mambo mtandaoni then anaonekana anajuuuua. Hawa wengine nao ndo wabachofanya karne hii. Hatuna wachambuzi wa soka
hahahaha! Kuchafua hali ya hewa tena kivipi? hizi ndo timu za dr Leakey, kama timu yako Arsenal siku ikicheza na AC Milan na mchambuzi akawa dr, Leakey studio, mbona utaipatapata!! Atawafagilia waitaliano mpaka kichefuchefuwewe hio timu AC Milan imekujaje hapa tena?
Mbona ndugu yangu unataka kuchafua hali ya hewa...
Yote ni yote Dr Leaky ni mpango mzima na hakuna anayemzidi kwa uchambuzi mzuri wa soka hapa Tanzania
dr leakey ni mzuri kwa historia ya michezo lakini kwa technical issues za uwanjani sio mzuri sana labda edo ndo anaziweza na jeff.dr leakey sio kihivyo kawaida
Kuna wachambuzi wa soka na wachambuzi wa matukio ya soka.Edo ni mchambuzi wa soka walobaki ni wachambuzi wa matukio ya soka na washereheshaji wa soka!.
hahahaha! Kuchafua hali ya hewa tena kivipi? hizi ndo timu za dr Leakey, kama timu yako Arsenal siku ikicheza na AC Milan na mchambuzi akawa dr, Leakey studio, mbona utaipatapata!! Atawafagilia waitaliano mpaka kichefuchefu
Doctor leakey ni proffesinal kwny uchambuz namkubali sana