Rugby Union
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 402
- 252
wote hawajui kuchambua mpira na kuelza kwa nini hiki au kile kimetokea katika dakika tisini. kuna msemo wa kiingereza " blessed is he who understands the causes of things" sasa tatizo lao wao hawaelezi nii haswa kinatokea katika zile dakika 90 na KWA NINI...yule ambaye anaweza kueleza kwa nini ndio mchambuzi lakini sijaona lolote.
Koment ya maana kuliko zote kwenye huu uzi. Leaky alikuja kipindi ambacho utafutaji wa taarifa na rekodi ulikuwa mgumu sana, kwa hiyo akaonekana yuko nondo jumlisha na kumbukumbu zake murua za matukio ya soka duniani.
Kina Edo wanaonekana wababaishaji kwa kuwa taarifa zote ziko mitandaoni na kila mtu anaweza kuzipata hivyo jamaa wanaonekana copy and paste.
Binafsi simkubali yoyote, hasa kwa kuwa wengi ni wajuaji, mtu anataka ajadili siasa za soka, mambo ya kiufundi, vituko vya mashabiki... Yaani waliomakinika kwenye ufundi pekee i.e wanaochambua kilichotokea kwenye ndimu ni kama akina Mwalimu Kashasha, Ally Mayay na bwana mmoja wa kuitwa Denis Kitambi kabla hajawa kocha wa kufukuzwa na timu aliyoipandisha daraja.