Dikteta na mvuruga amani anaomba aombewe...........................Vijana tumesoma ajira umeamua kuzuia Mungu anakuona. Dr. Magufuli wafanyakazi tunafanya kazi mishahara umezuia isipande Mungu anakuona.
Wakulima mpaka sasa hivi umeondoa mbolea ya ruzuku Mungu anakuona. Dr Magufuli maisha ni magumu kwa sababu umezuaia pesa ya Serikali isipitishiwe kwenye Commercial Bank Mungu anakuona.
Wee endelea kukaa chini huku unalia tu,Mungu atatenda miujiza.Tunamwachia Mungu tu......
anawaza kujenga chato international airportMagufuli sijui hata anawaza nini
Mbolea ya ruzuku ilikuwa inawafikia wakulima kwa asilimia ngapi kama si nyinyi hao hao mlikuwa mnaipiga juu kwa juu? Acha watu aafanye kazi. Ni wakati wa kutafuta njia sahihi ili msituibie tena.Vijana tumesoma ajira umeamua kuzuia Mungu anakuona. Dr. Magufuli wafanyakazi tunafanya kazi mishahara umezuia isipande Mungu anakuona.
Wakulima mpaka sasa hivi umeondoa mbolea ya ruzuku Mungu anakuona. Dr Magufuli maisha ni magumu kwa sababu umezuaia pesa ya Serikali isipitishiwe kwenye Commercial Bank Mungu anakuona.
Sasa kufuta mbolea ya Ruzuku ndio unamsaidia Mkulima mnyonge kwa nini asiboreshe mfumo?Mbolea ya ruzuku ilikuwa inawafikia wakulima kwa asilimia ngapi kama si nyinyi hao hao mlikuwa mnaipiga juu kwa juu? Acha watu aafanye kazi. Ni wakati wa kutafuta njia sahihi ili msituibie tena.
Ujajua tu kwamba uongozi ni kipaji walaKujipendekeza now inalipa soon utateuliwa kama yule mtangazaji wa Kwenye Runinga