Dr. Magufuli, Mungu anakuona

Dr. Magufuli, Mungu anakuona

Vijana tumesoma ajira umeamua kuzuia Mungu anakuona. Dr. Magufuli wafanyakazi tunafanya kazi mishahara umezuia isipande Mungu anakuona.
Wakulima mpaka sasa hivi umeondoa mbolea ya ruzuku Mungu anakuona. Dr Magufuli maisha ni magumu kwa sababu umezuaia pesa ya Serikali isipitishiwe kwenye Commercial Bank Mungu anakuona.
Dikteta na mvuruga amani anaomba aombewe...........................
 
Kila anachokifanya akumbuke Mungu anamwona
 
Vijana tumesoma ajira umeamua kuzuia Mungu anakuona. Dr. Magufuli wafanyakazi tunafanya kazi mishahara umezuia isipande Mungu anakuona.
Wakulima mpaka sasa hivi umeondoa mbolea ya ruzuku Mungu anakuona. Dr Magufuli maisha ni magumu kwa sababu umezuaia pesa ya Serikali isipitishiwe kwenye Commercial Bank Mungu anakuona.
Mbolea ya ruzuku ilikuwa inawafikia wakulima kwa asilimia ngapi kama si nyinyi hao hao mlikuwa mnaipiga juu kwa juu? Acha watu aafanye kazi. Ni wakati wa kutafuta njia sahihi ili msituibie tena.
 
Kuna wafanyakazi tunapiga kazi lakini tuko kwenye orodha ya watumishi hewa...
No salary, maisha magumu..............!!!!!!!!!
Mungu anakuonaaa
 
Mbolea ya ruzuku ilikuwa inawafikia wakulima kwa asilimia ngapi kama si nyinyi hao hao mlikuwa mnaipiga juu kwa juu? Acha watu aafanye kazi. Ni wakati wa kutafuta njia sahihi ili msituibie tena.
Sasa kufuta mbolea ya Ruzuku ndio unamsaidia Mkulima mnyonge kwa nini asiboreshe mfumo?
 
tanzania uchumi unakuwa kwa kasi sana hasa ukanda wa afrika mashariki.

ngoja tuzidi kuona
 
Back
Top Bottom