kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
mwaka ni msomi wa natural common senseKama usomi ndo kama vile basi bora tusipoteze ela kusoma tukafanye mambo mengine tu hata ya kilimo!
Kumbe ni hawa ujanja ujanja na uganga njaa?wasomi wote wa Cuba tuonane hapa
Yule mwanamke alijipanga maana nimeona tamaa za wazi kisa kale kajumba ndio analeta vilio na unafiki mitandaoni
salute kwa wasomi wa CUBA
View attachment 2510651
uganga njaa kivipi kivipi mkuu wakati watu wanapona ?Kumbe ni hawa ujanja ujanja na uganga njaa?
Ajiite mganga wa kienyeji lakini siyo daktari. Maana , huu udaktari una vigezo vyake mwanangu hata kama hatukubaliani navyo. Nakumbuka walikuwapo akina profesa Vulata, Majimarefu na matapeli wngine waliojipachika vyeo wasijue uzito wake.uganga njaa kivipi kivipi mkuu wakati watu wanapona ?
nakubaliana na wewe lakini mwaka yupo tofaouti na hao uliowataja tena tofauti yao ni kwa vitendoAjiite mganga wa kienyeji lakini siyo daktari. Maana , huu udaktari una vigezo vyake mwanangu hata kama hatukubaliani navyo. Nakumbuka walikuwapo akina profesa Vulata, Majimarefu na matapeli wngine waliojipachika vyeo wasijue uzito wake.
🤣🤣uganga njaa kivipi kivipi mkuu wakati watu wanapona ?
Wahuni hao...mnaidhalilisha cuba
Wewe... una uhakika?Huyo mwanamke alimwacha Mwanaume wake kwa dharau kubwa na Dhihaka, wakiishi Masaiti - Tegeta!
Ki ufupi Doctor Mwaka alivunja Ndoa ya Mwanaume mwenxake kabla yake....!
Hii mambo ya kusema Ngoja nikatafute Tiba mbadala, basi ikatafutwa Tiba mbadala mpaka ikavunja Ndoa.
Karma is really!
ha ha 🤣🤣🤣🤣Huyo mwanamke alimwacha Mwanaume wake kwa dharau kubwa na Dhihaka, wakiishi Masaiti - Tegeta!
Ki ufupi Doctor Mwaka alivunja Ndoa ya Mwanaume mwenxake kabla yake....!
Hii mambo ya kusema Ngoja nikatafute Tiba mbadala, basi ikatafutwa Tiba mbadala mpaka ikavunja Ndoa.
Karma is really!
Tupo kibao..tunakuongalieni tu...ningetamani kuwajua wasomi wengi waliosomea CUBA
Bila guts hakuna matapeli. Ndivyo walivyo hao. Wanaposaka tonge, hawafuati wala kuogopa sheria yoyote mwanangunakubaliana na wewe lakini mwaka yupo tofaouti na hao uliowataja tena tofauti yao ni kwa vitendo
dokta mwaka kwa upande wa nidhamu ya uoga hiko kitu ajaumbwa nacho
Ndio nasikia alikua na ndoa ya kanisani mwaka akaivunja akamuoaHuyo mwanamke alimwacha Mwanaume wake kwa dharau kubwa na Dhihaka, wakiishi Masaiti - Tegeta!
Ki ufupi Doctor Mwaka alivunja Ndoa ya Mwanaume mwenxake kabla yake....!
Hii mambo ya kusema Ngoja nikatafute Tiba mbadala, basi ikatafutwa Tiba mbadala mpaka ikavunja Ndoa.
Karma is really!
mwaka yeye yupo tofauti kaka tena yeye akiongea kitu kinaeleweka tofauti na waganga njaa wengineBila guts hakuna matapeli. Ndivyo walivyo hao. Wanaposaka tonge, hawafuati wala kuogopa sheria yoyote mwanangu