Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Utakuta alikuwa mgonjwa wake. Hawa matapeli kwa kulaghai wake za watu sina hamu.Ndio nasikia alikua na ndoa ya kanisani mwaka akaivunja akamuoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuta alikuwa mgonjwa wake. Hawa matapeli kwa kulaghai wake za watu sina hamu.Ndio nasikia alikua na ndoa ya kanisani mwaka akaivunja akamuoa
Sijakuelewa. Sijui kama hata nawe unaelewa unachosema. Una uzoefu wowote wa ndoa? Kutoa au kutotoa talaka ni la wahusika. Kwani walipopendana hawakulazimishwa. Kadhalika, wakiamua kuachana ni haki yao. Usijumuishe na kudhani wote wana maoni na mawazo kama yako mwanangu.mwanaume wa kweli hawezi toa talaka, yeye ni kichwa. Inarekebisha hata yaliyoshindikana, wanaume wa kweli na wanaume halisi hawatoi talaka wala hawaachi. Ni wale wanaume wachache tu washamba na wasiojitambua ndio hufanya kutoa talaka kukimbia tatizo lakini wanaume wa kweli anatatua tatizo (mwanaume ni director wa familia, innovator wa familia, problem solver wa familia, mwanaume ni final say wa familia). HAKUNA TALAKA KWA MWANAUME ANAYEJITAMBUA HALOO! 😎
nakubaliana na wewemwanaume wa kweli hawezi toa talaka, yeye ni kichwa. Inarekebisha hata yaliyoshindikana, wanaume wa kweli na wanaume halisi hawatoi talaka wala hawaachi. Ni wale wanaume wachache tu washamba na wasiojitambua ndio hufanya kutoa talaka kukimbia tatizo lakini wanaume wa kweli anatatua tatizo (mwanaume ni director wa familia, innovator wa familia, problem solver wa familia, mwanaume ni final say wa familia). HAKUNA TALAKA KWA MWANAUME ANAYEJITAMBUA HALOO! 😎
Kati yako na Mwaka nani anayeganga njaa?Kumbe ni hawa ujanja ujanja na uganga njaa?
kaka wanawake wanapenda mambo mazuri sio kila siku unalilia tuHuyo mwanamke alimwacha Mwanaume wake kwa dharau kubwa na Dhihaka, wakiishi Masaiti - Tegeta!
Ki ufupi Doctor Mwaka alivunja Ndoa ya Mwanaume mwenxake kabla yake....!
Hii mambo ya kusema Ngoja nikatafute Tiba mbadala, basi ikatafutwa Tiba mbadala mpaka ikavunja Ndoa.
Karma is really!
Hii stori Ina uhalisia au ni mawazo yako?Huyo mwanamke alimwacha Mwanaume wake kwa dharau kubwa na Dhihaka, wakiishi Masaiti - Tegeta!
Ki ufupi Doctor Mwaka alivunja Ndoa ya Mwanaume mwenxake kabla yake....!
Hii mambo ya kusema Ngoja nikatafute Tiba mbadala, basi ikatafutwa Tiba mbadala mpaka ikavunja Ndoa.
Karma is really!
We huwajuwi walisoma Cubawasomi wote wa Cuba tuonane hapa
Yule mwanamke alijipanga maana nimeona tamaa za wazi kisa kale kajumba ndio analeta vilio na unafiki mitandaoni
salute kwa wasomi wa CUBA
View attachment 2510651
So mwanamke akichepuka na akapata VVU, ukamgundua ila Mungu akakusaidia usiambukizwe, utabaki naye?mwanaume wa kweli hawezi toa talaka, yeye ni kichwa. Inarekebisha hata yaliyoshindikana, wanaume wa kweli na wanaume halisi hawatoi talaka wala hawaachi. Ni wale wanaume wachache tu washamba na wasiojitambua ndio hufanya kutoa talaka kukimbia tatizo lakini wanaume wa kweli anatatua tatizo (mwanaume ni director wa familia, innovator wa familia, problem solver wa familia, mwanaume ni final say wa familia). HAKUNA TALAKA KWA MWANAUME ANAYEJITAMBUA HALOO! 😎
Jibu unalo. Kwanza, unajua mimi ni nani na ninafanya nini? Sijipachiki cheo chochote wala kufukuzia wake za watu
Daah nilisikia hii story na huyo mwanamke alifunga ndoa kabisa na huyo jamaa alikua safi mambo ilivyobadilika kidogo tuu akatimkia kwa Dokta Pimbi ila jamaa nasikia alioa tena na maisha yanaendelea...kweli Karma is real..Huyo mwanamke alimwacha Mwanaume wake kwa dharau kubwa na Dhihaka, wakiishi Masaiti - Tegeta!
Ki ufupi Doctor Mwaka alivunja Ndoa ya Mwanaume mwenxake kabla yake....!
Hii mambo ya kusema Ngoja nikatafute Tiba mbadala, basi ikatafutwa Tiba mbadala mpaka ikavunja Ndoa.
Karma is really!
kaka hizo radio mbao hamna kitu kama hikoDaah nilisikia hii story na huyo mwanamke alifunga ndoa kabisa na huyo jamaa alikua safi mambo ilivyobadilika kidogo tuu akatimkia kwa Dokta Pimbi ila jamaa nasikia alioa tena na maisha yanaendelea...kweli Karma is real..
Wahuni waliochanga na kunywa bia walilalamika sana kwenye kundi sio redio mbao mkuu mimi niliwapotezea...kaka hizo radio mbao hamna kitu kama hiko
EDUCATION iN cuba is really
PIA USIDHANI KILA MTU ANA MAONI KAMA YAKO MWANANGU, NDIO MAANA MADA IMELETWA HUMU KILA MTU ALETE ANAVYOAMINI NA ANAVYOONASijakuelewa. Sijui kama hata nawe unaelewa unachosema. Una uzoefu wowote wa ndoa? Kutoa au kutotoa talaka ni la wahusika. Kwani walipopendana hawakulazimishwa. Kadhalika, wakiamua kuachana ni haki yao. Usijumuishe na kudhani wote wana maoni na mawazo kama yako mwanangu.
UNABAKI NAYE NDIO UKWELISo mwanamke akichepuka na akapata VVU, ukamgundua ila Mungu akakusaidia usiambukizwe, utabaki naye?
Si alifata pesa haya sasa apambane na hali yakeHuyo mwanamke alimwacha Mwanaume wake kwa dharau kubwa na Dhihaka, wakiishi Masaiti - Tegeta!
Ki ufupi Doctor Mwaka alivunja Ndoa ya Mwanaume mwenxake kabla yake....!
Hii mambo ya kusema Ngoja nikatafute Tiba mbadala, basi ikatafutwa Tiba mbadala mpaka ikavunja Ndoa.
Karma is really!
Mwigulu kasomea republic of tozo.Cuba ndio aliposoma Mwigulu Nchemba ?
ovaSi alifata pesa haya sasa apambane na hali yake
Au kampata mwanaume mwenye kisu kikali zaidi ya mwaka [emoji1] ndy anataka kwenda
Ova