mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Wanawake wengi ndiyo walivyo wanamfata mtu kwa sababu ya Maliova
mwanamke yule tamaa ndiyo inapeleka peleka
do you copy ova
Jamaa akiyumba kiuchumi,wanaanza visa,zengwe
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wengi ndiyo walivyo wanamfata mtu kwa sababu ya Maliova
mwanamke yule tamaa ndiyo inapeleka peleka
do you copy ova
Hakuna aliyesoma cuba ambaye hajui nini kipo mbele ya ujinga huo?Hivi unadhania eti kukataa kutoa talaka ili msigawane mali kwa sheria za sasa ni ujanja?!wangapi walikataa kutoa talaka ,lakini ndoa zilivunjwa na mahakama na mali zikagawanywa??eti na wewe umesomea CUBA!!!kama ni HAITI sawa,cuba ipe heshima yake.wasomi wote wa Cuba tuonane hapa
Yule mwanamke alijipanga maana nimeona tamaa za wazi kisa kale kajumba ndio analeta vilio na unafiki mitandaoni
salute kwa wasomi wa CUBA .
View attachment 2510651
Acheni Unoko Mwaka ni Mganga sawa ila usimlinganishe na Madaktari Uchwara wa Tz hii. Mwaka Daktar wa Manesi kabisa.Ajiite mganga wa kienyeji lakini siyo daktari. Maana , huu udaktari una vigezo vyake mwanangu hata kama hatukubaliani navyo. Nakumbuka walikuwapo akina profesa Vulata, Majimarefu na matapeli wngine waliojipachika vyeo wasijue uzito wake.
Mke wa ‘Dokta Mwakai’ haikuwa ndoa yake ya kwanza.Hakuna aliyesoma cuba ambaye hajui nini kipo mbele ya ujinga huo?Hivi unadhania eti kukataa kutoa talaka ili msigawane mali kwa sheria za sasa ni ujanja?!wangapi walikataa kutoa talaka ,lakini ndoa zilivunjwa na mahakama na mali zikagawanywa??eti na wewe umesomea CUBA!!!kama ni HAITI sawa,cuba ipe heshima yake.
Mwigulu Nchemba sio jina lake aliiba la mtu, jina lake MadeluCuba ndio aliposoma Mwigulu Nchemba ?
HqhahahahhaCuba ndio aliposoma Mwigulu Nchemba ?
inshu sio kuolewq mala ngapi ,hiyo ndio inamfanya akose haki yake kwenye ugawanaji mali?Mke wa ‘Dokta Mwakai’ haikuwa ndoa yake ya kwanza.
Aliwai kuolewa na mchizi anaitwa ‘P’ huyu jamaa alikuwa na hela pale nyumba ya sanaa miaka hiyo alikuwa ana tunza wanamuziki wa band $ sio TSH ila jamaa baadae akafirisika yule maza akasepa ndio akaolewa na Dokta. KIFUPI [emoji2320] +[emoji389]