Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Alimtimua!

Aliondoka!

Hakusema kitu tujue ukweli wake!

Hakumsema chochote aliemtoa kwenye nafasi,alinyamaza kimya!

Hakutoa makala au kuandika kitabu chochote au kufanya interview yoyote kusema her side of story!

Yaliisha akaenda na maisha yake bila tatizo na mtu!

Leo bado mwenye utukufu wote anamsema mtu mnyonge asieweza hata kujibu lolote!

Mwanamke mnyonge,asie na power yeyote!

Hivi kuna nini bwana mkubwa anakiogopa sana kutoka kwa huyu mwanamke!


Kuna kitu very serious wrong na huyu raia!

Ukishafukuza,ukaweka wengine,watu washa move on,huna ya kufanya makubwa zaidi ya haya kumsengenya mtu ambae ulishamtolea hukumu siku nyingi?

Hata Mimi nashangaa sana.
Unajua siyo kitu kizuri KWA mwanaume kugombana au kuzozana NA mwanamke kulingana NA utamaduni wa kiafrika. Mwanamke mwingine ktk ugomvi Kama huu anaweza kukudhalilisha KWA umma, anaweza kusema kuwa "ulimtongoza kisha akakulkatalia" ndio maana unamsakama sana.
 
Huyo nae mropokaji wote treni lao moja
Nanukuu
"Nyerere alikua rais mwongo mwongo na mwenye hila"
Sasa hivi yeye TL kawa kama mbayuwayu hajui afanye nini kambi kashanyea.
Unataka kuumaminisha umma kwamba Nyerere alikuwa maraika, ama Yesu?
Yaani unaamanini kabisa Nyerere hakufanya makosa na yakaonwa na binadamu wenzie? Na kama kuna makosa aliyafanya, dhambi iko wapi kama yeye pia ni binadamu ?
Yaani kwa sababu ni Baba wa Taifa ndo tufumbie macho alipojikwaa... Yeye mwenyewe alisema, na ka andika kitabu "ujisahihishe"
Wewe unataka wasijisahihishe? ..!
 
Unataka kuumaminisha umma kwamba Nyerere alikuwa maraika, ama Yesu?
Yaani unaamanini kabisa Nyerere hakufanya makosa na yakaonwa na binadamu wenzie? Na kama kuna makosa aliyafanya, dhambi iko wapi kama yeye pia ni binadamu ?
Yaani kwa sababu ni Baba wa Taifa ndo tufumbie macho alipojikwaa... Yeye mwenyewe alisema, na ka andika kitabu "ujisahihishe"
Wewe unataka wasijisahihishe? ..!
Rudi shule ujifunze kuandika kwanza bwege ww umeandika nini?soma ulichoandika
 
Inakosekanaje Google sasa kwa mfano?! Hata kwenye repository ya London School of Hygiene and Tropical Diseases ipo! Ila tukitafuta za wanaoongea sana hata Google hazipo! Ukim-google japo ni PhD holder unakutana na picha za matukio tu, no machapisho no dissertation! Aibu hii!!
Yako ipo huko !?
 
Uko sahihi mkuu lakn kwa hulka za wanadamu huwa ni ngumu mno kushinda hali kama ile, muda mwingine tunaumizwa ama kufurahishwa na ishara ya haya ni mtu akiumizwa analia, anaweza pia kupigana hata ngumi yote hii ni ishara ya disscontent lakn pia akiwa na furaha atacheka, kutabasamu ama hata kuimba wimbo wenye kuonyesha hali ile, kwa mh Rais na tukio alilolitenda Dr Mwele bado inajimuktadhanisha na maelezo yangu haya na ukweli hakuna ugonjwa wa ZIKA uliokuja kutukia sasa swali tulitakiwa kujiuliza je zika aliizika dr mwele? Kwanini hakukuwa na hata dalili baada ya taarifa yake hyo na kutumbuliwa kwake? Kwanini Rais asionyeshe hasra zake kwa alichokifanya huyo mtumishi wa umma?

Muda mwingine tunashabikia ujinga tu lakn ukwel wa habar hii tulipaswa kujiuliza swali hili tu kwamba huu ugonjwa ulikuwepo kweli? Kwann ulipotea?
....pia kuna watu hawajui ukimwi/Ebola/kipindu pindu/ na kimeta ni magonjwa ya kupandikizwa ! Husikii Korea na China/ Urusi wakihangaika na hayo magonjwa
 
Alikuwa anazungumzia propaganda zinazoenezwa kwamba Tanzania kuna Ebola, ili watu wamwelewe ilikuwa ni lazima arejee yalotokea nyuma kwa kutolea huo mfano.
Malofa uwezo wa kuelewa hawana ! Maana kauliza mbona kila ana ya magonjwa ya mlipuko yako Congo ya Kabila !? ....ni kwa sababu waibe rasilimali
 
Ila kiukweli CCM safari hii umetuweza hahaha...
Kumfukuza kazi mwele saa saba na nusu Dr Mwele...so what......Duh

Kila siku beberu beberu so what...unafikiri kila mtu anaweza kuwa beberu hahaha...
Kitambaa cha nguo hata kuvaa kwenyewe kumeletwa na wazungu....leo beberu beberu.....hamna jambo lingine....kila siku wimbo huo huo....

Pamoja na madhaifu yake mara mia tano Jakaya angeendelea tu....This president is making life so boring...na bora angekuwa anasoma tu alichoandaliwa...naamini washauri wake wanatamani kumwambia hili sema tatizo ni hulka yake na woga wa kufukuzwa kazi saa saba na nusu usiku...
Mwalimu alipambana nao sana, kuanzia ukombozi kusini mwa Afrika mpaka kupanga foleni kwa ajili ya sabuni na unga !
 
Kwetu ni mwiko kukaa unagombana gombana na mwanamke.....hawa ni mama zetu wewe ulishafanya maamuzi ukamfukuza kazi..huu ndio ulikuwa mwisho wa mchezo.....
Haya leo yanatoka wapi?......ulitaka afe nini?
Ok kapata kazi...wengine wamempa wewe unaumia...kwani unamlipa wewe mshahara...very strange....tuache roho za hivi sijui huko makanisani tunafuata nini?..
Tuwafunze watoto zetu mambo mema ....
I m out
...waliomtuma ndio wamempa kazi, huo ndio ujumbe !
 
Dawa ya msaliti inajulikana, kama mimi ningekuwa Rais huyo mama nisingeishia kumtumbua tu, angepambana na kesi ya uhujumu uchumi.
Mtu akipata uzoefu wa utalii na mahoteli yanavyo yumba sector ya Utalii ikipata misuko suko, kwa kweli ni uhujumu uchumi
 
Tatizo magu roho ina muuma kwamba licha ya kumfukuza kazi huyo mama ameendelea kuchanja mbuga siku zote mwisho wa ubaya ni aibu hila ufanye wewe maumivu pia upate wewe
Waliomtuma wamempa kazi ! Una mfano wa mgonjwa wa Zika popote utuonyeshe !?
 
Exactly! Alitaka huyu mama ateseke hapa kitaa bila kazi. Ile kwamba amepewa kazi tena kubwa kuliko hii aliyotumbuliwa imemuuma sana...tena inaonekana imemuuma muda mrefu maana kaongea kwa uchungu.
...waliomtuma !
 
This president is a nut....!
Tunaweza kusema kwa ujumla Magufuli ni mtu mnafiki sana,mtu mwenye kinyongo,hasira,wivu wa kike,mmbeya na mwenye visasi kwa sana! Kwa sifa hizi this man wasn't supposed to be the Head of State……!
Labda babako angefaa !
 
Kama ugonjwa ulikuwepo au upo, tutajuwaje kama wenye kutoa taarifa ya kuwepo au kutokuwepo wamekaa kimya baada ya uchunguzi ( wamezuiwa kusema kilichopo)?

Hata kuhusu EBOLA bado ni MTIHANI

SHERIA YA TAKWIMU ILITUNGWA KWA MAANA YA MAMBO KAMA HAYA,


ILI IWE SIRI.
Suala ni kudhibiti, sio kutangaza na kuyumbisha nchi !
 
Kwa namna/ jinsi ugonjwa wa Zika ulivyo hatari, Tulionao na kusikia Hali ilivyokuwa Brazil.
Kwa kanchi maskini Kama ketu Tz ,Tuingiliwe na Zika, akina Mama vijijini wangepona Kweli?
Malaria Tu inatupa presha sembuse hiyo Zika na Ebola!!
 
Back
Top Bottom