Himawari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 2,609
- 1,700
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Unajua namna Google inavyokusanya habari?
Magufuli amemponda sana huyu dada, eti alimfukuza kazi saa 7 na nusu usiku
Binafsi naamini Raisi naye anapenda kuanzisha Mijadala isiyo na tija.
Kwani ni lazima kusema kila Jambo linalomfurahisha au kumkera Sana?
Suala la Dk. Mwele lilishapita na hakutakiwa kulizungumzia tena kwa kuliunganisha na taasisi za kimataifa ambazo kesho na kesho kutwa tutahitaji msaada wao pale ambapo magonjwa ya mlipuko yatakapo tokea.
Jana nimeona BBC NEWS habari kubwa ilikuwa ni Raisi kumpongeza Ofisa aliye charaza wanafunzi viboko.
Huu nao pia ni mjadala mkubwa ambao ameuanzisha na hauna tija. Chanzo cha mjadala huu ni hotuba yake aliyoitoa Jana.
Mh. Raisi ajitahidi kuwa na kifua cha kuifadhi mambo hata kama yanamfurahisha au kumsikitisha.
Aliyekua Mkurugenzi Mkuu wa NIMRI Bi.Mwele malecela ameposti katika akaunti yake ya twitter maneno haya. Nadhani huu ni mrejesho baada ya tamko la Mwenye nyumba kuwa Daktari Mwele malecela alikua anatumika na MABEBERU.
View attachment 1223939
View attachment 1223982
View attachment 1223983
=====
RAIS John Pombe Magufuli, amesema moja ya sababu kumtumbua aliyekuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Tafiti za Kiafya NIMR, Mwele Malecela, ni kiongozi huyo kutoa taarifa ambazo hazikuwa sahihi kuhusiana na ugonjwa wa Zika.
Magufuli ametoa kauli hiyo akiwa mkoani Songwe, wakati alipofika kwenye ziara ya kikazi na kufanikiwa kuzindua kiwanda cha kahawa kilichojengwa na wajasiriamali wa Tanzania, ambapo amesema moja ya mambo ambayo yalipelekea kumtoa kwenye nafasi hiyo Malecelea ni kutangaza ugonjwa.
“Maneno huwa hayaishi, kuna wakati walitangaza kuna ugonjwa wa Zika nchini Tanzania, alipotangaza hivyo wakati mimi najua haupo nilimfukuza saa 7:30 usiku, wala hakuna cha Zika iliyotokea. Baada ya wiki moja wakamteua akawa bosi wao, hii ilionyesha alitumwa kusema aliyoyasema; hizi ni mbinu za kibeberu,” amesema Rais Magufuli.
Asilaumiwe Le mutuz mana mama yake alikuwa mfanyakazi wa ndani wa mzeeNakuunga mkono mkuu 85% ya akili ya mtoto ni kutoka kwa mama
Inaonesha Magu anamuota Mwele miaka yote hii jamani? mhhh...
Mzee alitaka kuona Dr. akihangaika mitaani mwisho apigiwe magoti kama kina Mwigulu, January na Kinana instead nyota ya Dr. inazidi kung'ara.Sio bure kutakuwa na chuki binafsi..
Kuna ma-mtu yana roho za shetwani ingawa kwa nje ni ma-binadamu! Shetani linateseka sana moyoni!Mzee alitaka kuona Dr. akihangaika mitaani mwisho apigiwe magoti kama kina Mwigulu, January na Kinana instead nyota ya Dr. inazidi kung'ara.
Hayo ni mawazo yenu.....Mzee alitaka kuona Dr. akihangaika mitaani mwisho apigiwe magoti kama kina Mwigulu, January na Kinana instead nyota ya Dr. inazidi kung'ara.
Hayo ni mawazo yenu.....
Mzee alitaka kuona Dr. akihangaika mitaani mwisho apigiwe magoti kama kina Mwigulu, January na Kinana instead nyota ya Dr. inazidi kung'ara.
its true, the "stone" has tried to brand her as an enemy of the nation while its vice versa..Dr.Mwele Ntuli Malecela katupa kombora lingine.
..amemnukuu mwandishi George Orwell ktk maneno haya," ...the further the society drifts from the truth, the more it will hate those that speak it..."