ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
umeulizwa?Thesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Diseases.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeulizwa?Thesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Diseases.
thanks sir, stay blessedTHE SEAL,
Maneno haya yamenikumbusha novel moja ya James Hadley Chase.....''This is for real''
Ulichokisema hapa ni ukweli mtupu kuhusu Bwana John Pombe Magufuli....!The man is so coward,weak and uncultured!
Kwenye principles za Management wanasema kiongozi ambaye ni dhaifu huwa ana wasiwasi sana kuhsu watu walio smart kuliko yeye na siku zote atajitahidi kuwa-suppress ili wasionekana na anakuwa na hasira sana pale inapoonekana wanampa challenges kwenye utawala wake!
Magufuli ni mtu aliyejaa HOFU,MASHAKA na WASIWASI mwingi ndo maana anafanya haya tunayoyaona. Wataalamu wa saikolojia wanasema Hofu au kwa kimombo FEAR ni changamoto kubwa sana kwa binadamu na inakuwa mbaya sana pale Kiongozi Mkuu wa nchi anapokuwa amejaa HOFU ndiyo maana wakatafisri kirefu cha FEAR= False Evidence Appearing Real. Kuna vitu viko wazi kabisa kwa hofu aliyo nayo Magufuli k.m. Ulinzi wake tunaona amezungukwa na TISS na JW wenye sialha za moto wakti wote....halafu hapo hapo jukwaani anasema ati...''Tanzania ni nchi ya AMANI,UPENDO na MSHIKAMANO........'' Two different pictures...!!!
Karibu sanaDuuuh sawa
Tuanzie hapaBinafsi naamini Raisi naye anapenda kuanzisha Mijadala isiyo na tija.
Kwani ni lazima kusema kila Jambo linalomfurahisha au kumkera Sana?
Suala la Dk. Mwele lilishapita na hakutakiwa kulizungumzia tena kwa kuliunganisha na taasisi za kimataifa ambazo kesho na kesho kutwa tutahitaji msaada wao pale ambapo magonjwa ya mlipuko yatakapo tokea.
Jana nimeona BBC NEWS habari kubwa ilikuwa ni Raisi kumpongeza Ofisa aliye charaza wanafunzi viboko.
Huu nao pia ni mjadala mkubwa ambao ameuanzisha na hauna tija. Chanzo cha mjadala huu ni hotuba yake aliyoitoa Jana.
Mh. Raisi ajitahidi kuwa na kifua cha kuifadhi mambo hata kama yanamfurahisha au kumsikitisha.
Hivi ya jamaa yetu inapatikana wapi au ni ile PhD ya Gamboshi?Thesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Diseases.
Binafsi nimekuelewa kwa uzuri kabisa mkuu.
Magufuli amemponda sana huyu dada, eti alimfukuza kazi saa 7 na nusu usiku
Daaah watu mna fact wallah basi tuThesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Diseases.
Mkuu unaniaibisha, unalinganisha hali ya hewa na utangazaji wa ugonjwa!, kuutangaza mlipuko wa ugonjwa ni kazi ya waziri wa afya. Dada Mwele alipaswa kwanza kuongea na waziri wake ndipo atangaze kama zika imeingia Tanzania au la.
Tunarudi kulekule kwenye mamlaka ya kutangaza magonjwa. Ni procedures tu.Zika Fever symptoms is as same as Dengue Fever symptoms.
Dengue Fever:
- rash
- fever
- headache
- fatigue
- conjunctivitis
- joint pain
Hizo dalili marked in 'red' zinafanana ni kugeuza lugha badala ya fatigue unasema exhaustion(uchovu in swahili)
- rash.
- muscle pain.
- swollen lymph nodes.
- headache.
- fever.
- exhaustion.
Kama mtu akisema wanaougua Dengue Fever yawezekana ni wagonjwa wa Zika Fever pia atakuwa amekosea? Tatizo hakuna wa kuthibitisha au ku-challenge vipimo vya Dengue maana Ummi Mwalimu na Wizara yale wote wanacheza ngoma ya Magufuli.Ukipinga tu watumbuliwa usiku wa manane....!!!
Umesoma na kujibu kwa haraka mnoSwali lako lilitakiwa kujibiwa na Dr, Mwele Malecela lakini babu yako kamtimua....!!!
Wewe subiri siku ukiugua na Madaktari watakapo kuonesha vipimo na kukuambia wewe ni Mwathirika wa ZIKA...!!!
[emoji23][emoji23]nacheka kama mazuriThesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Medicines.
Mkubwa ndiyo nani Munhu pele yake ndiyo mkubwa mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke leo yupo kesho hayupo angalia sana usimuabuduHuyu Dr Mwele angekaa kimya!! Huwezi kushindana na mkubwa!!
Nakuunga mkono mkuu 85% ya akili ya mtoto ni kutoka kwa mamaAsilimia nyingi za akili ya mtoto hutoka kwa Mama
Angekua katoka kwa PK hapo angepigwa wanted list.genocidaireHuyu Dr Mwele angekaa kimya!! Huwezi kushindana na mkubwa!!
Duh! Unajua namna Google inavyokusanya habari?Inakosekanaje Google sasa kwa mfano?! Hata kwenye repository ya London School of Hygiene and Tropical Diseases ipo! Ila tukitafuta za wanaoongea sana hata Google hazipo! Ukim-google japo ni PhD holder unakutana na picha za matukio tu, no machapisho no dissertation! Aibu hii!!
Usitishwe na majina ya kimalkia kimalkia london school of huku na huko.Thesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Medicines.
Umesoma na kujibu kwa haraka mnoSwali lako lilitakiwa kujibiwa na Dr, Mwele Malecela lakini babu yako kamtimua....!!!
Wewe subiri siku ukiugua na Madaktari watakapo kuonesha vipimo na kukuambia wewe ni Mwathirika wa ZIKA...!!!
Kuna New York University sijui of bussiness and blah blah hapo Nairobi.Usitishwe na majina ya kimalkia kimalkia london school of huku na huko.