Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
PhD ya mtu fulani haipo kabisa
Kuna mtu alipotezwa hajaonekana mpaka kesho kisa kahoji Thesis ya PhD ya mtu fulani.......!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PhD ya mtu fulani haipo kabisa
Gay ni wewe nafamilia yako kama unaona ni sifa kumpa mwingine sifa mbaya ambayo hana.Mtakufa na presha za kuumbuka, huyo kahab wenu atatafuta uraia mwingine wenye maslahi ya mabeberu ka alivyofanya gay lis
Subiri uzae taahira ndiyo utajua Zika ipo au haipoSasa Zika iko wapi? Nayo inafichika kama shilling ya mkoloni?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kawaza aliifanya kwa kisukumaJee ya Dr John?
Inamuelewa karma kiongozi mpumbavu na wa ajabu na wengine wanajua ni mpenda sifa wanampa sifa za uongo kwa malachi yaoMijadara kama hii inamuinua sana JPM kwenye nyanja za kimataifa hasa kwa watu makini.
Acheni kuogopa. JPM ameshaishika robo ya dunia inamuelewa sana.
Hata ya majalalani ipo kwa hiyo hiyo ina walakiniKwahiyo unamaanisha ya DAKITARI wetu mkubwa mkubwa haipo gugo sio. Huko gugo kwenu ni kwa mabeberu, thesis za madaktari wetu tumezihifadhi samunge
Asante kwa hili dada yangu, but the problem is here, magufuli does not even have a clue what thesis is, inspite of him being called dr pombe magufuli, 2 people who have low thinking capacity,people who are academic dwarfs will always fear people who are or who have high intellect, magufuli really fears smart and intelligent people, thats why you see he is sorrounded by sycophants and bootlickers
NimekuelewaTHE SEAL,
Maneno haya yamenikumbusha novel moja ya James Hadley Chase.....''This is for real''
Ulichokisema hapa ni ukweli mtupu kuhusu Bwana John Pombe Magufuli....!The man is so coward,weak and uncultured!
Kwenye principles za Management wanasema kiongozi ambaye ni dhaifu huwa ana wasiwasi sana kuhsu watu walio smart kuliko yeye na siku zote atajitahidi kuwa-suppress ili wasionekana na anakuwa na hasira sana pale inapoonekana wanampa challenges kwenye utawala wake!
Magufuli ni mtu aliyejaa HOFU,MASHAKA na WASIWASI mwingi ndo maana anafanya haya tunayoyaona. Wataalamu wa saikolojia wanasema Hofu au kwa kimombo FEAR ni changamoto kubwa sana kwa binadamu na inakuwa mbaya sana pale Kiongozi Mkuu wa nchi anapokuwa amejaa HOFU ndiyo maana wakatafisri kirefu cha FEAR= False Evidence Appearing Real. Kuna vitu viko wazi kabisa kwa hofu aliyo nayo Magufuli k.m. Ulinzi wake tunaona amezungukwa na TISS na JW wenye sialha za moto wakti wote....halafu hapo hapo jukwaani anasema ati...''Tanzania ni nchi ya AMANI,UPENDO na MSHIKAMANO........'' Two different pictures...!!!
Usipende kutisha watu, unadhani uuaji wa watu ni sifa? Ng'ombe we!Angalia mkono wako. Hii ni Tanzania usiandike jambo huna ushaidi ukaisumbuwa nafsi yako. Hili nitaifa kamili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kawaza aliifanya kwa kisukuma
Hapo nilipo sina mbavu🤣🤣🤣🤣.......!!!Subiri uzae taahira ndiyo utajua Zika ipo au haipo
Bonge la ushauri... Ataupata? Washauri wake watampatia?Binafsi naamini Raisi naye anapenda kuanzisha Mijadala isiyo na tija.
Kwani ni lazima kusema kila Jambo linalomfurahisha au kumkera Sana?
Suala la Dk. Mwele lilishapita na hakutakiwa kulizungumzia tena kwa kuliunganisha na taasisi za kimataifa ambazo kesho na kesho kutwa tutahitaji msaada wao pale ambapo magonjwa ya mlipuko yatakapo tokea.
Jana nimeona BBC NEWS habari kubwa ilikuwa ni Raisi kumpongeza Ofisa aliye charaza wanafunzi viboko.
Huu nao pia ni mjadala mkubwa ambao ameuanzisha na hauna tija. Chanzo cha mjadala huu ni hotuba yake aliyoitoa Jana.
Mh. Raisi ajitahidi kuwa na kifua cha kuifadhi mambo hata kama yanamfurahisha au kumsikitisha.
Hivi ugonjwa wa ZIKA upoje na ueneaji wake upoje na unachukua muda gani kuenea kwa watu wengi kiasi cha kuonekana kutisha?
Tupo sanahamna humu hawapo mkuu
HahahaaaaKuna mtu alipotezwa hajaonekana mpaka kesho kisa kahoji Thesis ya PhD ya mtu fulani.......!!!
Huyo mwanamke alitangaza jambo hadharani pasipo kuongea kwanza na bosi wake ambaye ni waziri wa afya anayefanya kazi chini ya rais wa nchi.
Ukiwa msomi sana unajikuta katika hatari ya kuwa ni kiburi cha elimu yako, unasahau kuwa unaweza kuwa na elimu kumzidi bosi wako lakini unafanya kazi kwa muongozo wake. Wasomi wa kiafrika wanao udhaifu huo.
Mpenda sifa huku wakijua ujanja ujanja NO.Inamuelewa karma kiongozi mpumbavu na wa ajabu na wengine wanajua ni mpenda sifa wanampa sifa za uongo kwa malachi yao