Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

😍😍😍 Laiti nyumbu wangeng'amua hili japo kwa juu juu wangeona jinsi gani akili zao zilivyo mavi

Hivi unaanzaje kuificha Ebola? Zaidi ya mwezi sasa haijau angalau watu 500?pathetic, aliewapa jina nyumbu hakukosea

Wanaokufa na kufariki hospitalini na majumbani mwa watu, nani amethibitisha kuwa si ebola au zika kwa jinsi uchunguzi ulivyobanwa kama mijutano ya Chadema na ACT - Wazalendo?

Nimekwambia, sheria ya takwima na utafiti haikuja kwa bahati mbaya, ni kwa kudanganya uhalisia wa mambo.

Wagonjwa wawili wa ebola, uchunguzi haujatolewa mpaka wafike 25.

Ni neema ya Mungu tu, likilipuka mojawapo hutasema wewe.

Uwazi husaidia hata jamii kuelimishana.
 
Binafsi naamini Raisi naye anapenda kuanzisha Mijadala isiyo na tija.

Kwani ni lazima kusema kila Jambo linalomfurahisha au kumkera Sana?

Suala la Dk. Mwele lilishapita na hakutakiwa kulizungumzia tena kwa kuliunganisha na taasisi za kimataifa ambazo kesho na kesho kutwa tutahitaji msaada wao pale ambapo magonjwa ya mlipuko yatakapo tokea.

Jana nimeona BBC NEWS habari kubwa ilikuwa ni Raisi kumpongeza Ofisa aliye charaza wanafunzi viboko.

Huu nao pia ni mjadala mkubwa ambao ameuanzisha na hauna tija. Chanzo cha mjadala huu ni hotuba yake aliyoitoa Jana.

Mh. Raisi ajitahidi kuwa na kifua cha kuifadhi mambo hata kama yanamfurahisha au kumsikitisha.
Mijadara kama hii inamuinua sana JPM kwenye nyanja za kimataifa hasa kwa watu makini.

Acheni kuogopa. JPM ameshaishika robo ya dunia inamuelewa sana.
 
Dr. Mwele ungekaa kimya mama!, ukishambuliwa ukatulia mimi huwa naona inakuwa bora zaidi kuliko kujibu...anyway watu tunatofautiana malezi!
 
Tuna Rais wa mipasho kichwa kitupu kabisa kila analosikia anataka kukujibu mengine awe na kifua yaani huoni tofauti ya rais na bongo movie
 
Wanaokufa na kufariki hospitalini na majumbani mwa watu, nani amethibitisha kuwa si ebola au zika kwa jinsi uchunguzi ulivyobanwa kama mijutano ya Chadema na ACT - Wazalendo?

Nimekwambia, sheria ya takwima na utafiti haikuja kwa bahati mbaya, ni kwa kudanganya uhalisia wa mambo.

Wagonjwa wawili wa ebola, uchunguzi haujatolewa mpaka wafike 25.

Ni neema ya Mungu tu, likilipuka mojawapo hutasema wewe.

Uwazi husaidia hata jamii kuelimishana.
Hivi ebola ina hitaji uchunguzi? Unafikiri iko kama kikohozi ile?
 
Tulipodai ya Meko kijana wetu Saa Nane alichinjwa kama beberu wa bar
Thesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Diseases.
 
Alimtimua!

Aliondoka!

Hakusema kitu tujue ukweli wake!

Hakumsema chochote aliemtoa kwenye nafasi,alinyamaza kimya!

Hakutoa makala au kuandika kitabu chochote au kufanya interview yoyote kusema her side of story!

Yaliisha akaenda na maisha yake bila tatizo na mtu!

Leo bado mwenye utukufu wote anamsema mtu mnyonge asieweza hata kujibu lolote!

Mwanamke mnyonge,asie na power yeyote!

Hivi kuna nini bwana mkubwa anakiogopa sana kutoka kwa huyu mwanamke!

Kuna kitu very serious wrong na huyu raia!

Ukishafukuza,ukaweka wengine,watu washa move on,huna ya kufanya makubwa zaidi ya haya kumsengenya mtu ambae ulishamtolea hukumu siku nyingi?
Haya nambo ni makubwa sana yapo juu ya uwezo wako wa kufikiri!
 
Tena niliona kama Rais ameongea kwa uchungu sana aiseeee
Kwa hiyo kama aliongea kwa uchungu tufanyeje, Hili suala la zika na Mwele mbona limeshakuwa la kitambo sana. Huyo muandaa hotuba wa rais ndio kalikumbuka juzi......
Mama wa watu hana makuu na mtu isitoshe anaumwa bado mna msema sema tu, iliwauma mbaya alivyopata kazi ma-mbele huko
 
Safi sana.

Majibu haya yanamtosha kabisa bwana yule na vibaraka wake.
 
It seems JPM aliumia sana Dr. Mwele kupata shavu one week baada ya kumtumbua. No point dishing out that attack kwa kitu ambacho hana uhakika nacho (kwamba Mwele alikuwa anatumwa na Mabeberu na walimpa kazi kama shukrani). Sio vyema kwa Rais mzima kuongea jambo hadharani bila facts.
 
That is a crap....
tuonyeshe hiyo zika iko wp!?

Crap to thyself……!
Usiwe bwege na juha la kutupwa! Zika ni VIRUSI huwezi kuviona kwa macho kama vile una angalia runinga sebuleni……!
Daktari Mwele ni mubobezi ktk mambo ya Utafiti na anapowasilisha Research report ya ugonjwa wowote pamoja na watafiti wenzake aghalabu wanakuwa wamefikia htmisho……!
Tatizo ni pale MWANASIASA UCHWARA anapoingilia mambo na maswala ya KITAFITI……!!
 
Kwani mkuu unafahamu Zika ni nini?

Nasubiri jibu.
Katika hili Magu is right mbona hako kagonjwa alikosema mbombezi wa magonjwa hakakuendelea? Au aliondoka nako? Maana mwele dr alikuwa sahihi tungeendelea kusikia ama kushuhudia watu wakifa. Lakini kimyaaaa
 
Back
Top Bottom