Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Na nikweli, ukweli utabaki pale pale.
Cha ajabu, wazalendo ndo wanaopukutishwa awamu hii kuliko kutuzwa...
Yaani wazalendo ndo wanyamaze kisha tutumie nguvu kubwa kuwaaminisha watu mzalendo ni nani.
Kila siku naiombea Tz yangu, na stakaa chini kumwombea mtu anayeenda kanisani ila matendo yake anayajua moyoni kwake kwamba Mungu hapendi.

Sasa Zika iko wapi? Nayo inafichika kama shilling ya mkoloni?
 
Aliyekua Mkurugenzi Mkuu wa NIMRI Bi.Mwele malecela ameposti katika akaunti yake ya twitter maneno haya. Nadhani huu ni mrejesho baada ya tamko la Mwenye nyumba kuwa Daktari Mwele malecela alikua anatumika na MABEBERU.


View attachment 1223939
View attachment 1223982
View attachment 1223983

=====

RAIS John Pombe Magufuli, amesema moja ya sababu kumtumbua aliyekuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Tafiti za Kiafya NIMR, Mwele Malecela, ni kiongozi huyo kutoa taarifa ambazo hazikuwa sahihi kuhusiana na ugonjwa wa Zika.

Magufuli ametoa kauli hiyo akiwa mkoani Songwe, wakati alipofika kwenye ziara ya kikazi na kufanikiwa kuzindua kiwanda cha kahawa kilichojengwa na wajasiriamali wa Tanzania, ambapo amesema moja ya mambo ambayo yalipelekea kumtoa kwenye nafasi hiyo Malecelea ni kutangaza ugonjwa.

“Maneno huwa hayaishi, kuna wakati walitangaza kuna ugonjwa wa Zika nchini Tanzania, alipotangaza hivyo wakati mimi najua haupo nilimfukuza saa 7:30 usiku, wala hakuna cha Zika iliyotokea. Baada ya wiki moja wakamteua akawa bosi wao, hii ilionyesha alitumwa kusema aliyoyasema; hizi ni mbinu za kibeberu,” amesema Rais Magufuli.

Alimtimua!

Aliondoka!

Hakusema kitu tujue ukweli wake!

Hakumsema chochote aliemtoa kwenye nafasi,alinyamaza kimya!

Hakutoa makala au kuandika kitabu chochote au kufanya interview yoyote kusema her side of story!

Yaliisha akaenda na maisha yake bila tatizo na mtu!

Leo bado mwenye utukufu wote anamsema mtu mnyonge asieweza hata kujibu lolote!

Mwanamke mnyonge,asie na power yeyote!

Hivi kuna nini bwana mkubwa anakiogopa sana kutoka kwa huyu mwanamke!

Kuna kitu very serious wrong na huyu raia!

Ukishafukuza,ukaweka wengine,watu washa move on,huna ya kufanya makubwa zaidi ya haya kumsengenya mtu ambae ulishamtolea hukumu siku nyingi?
 
Hebu just imagine mkuu! Mtu mzima anakaa miaka mitatu karibia minne na kinyongo? Alishamtumbua..mama wa watu kashaendelea na maisha yake...wananchi tushasonga mbele..yeye anakuja kuyafukua tena!?

Naanza kuamini ni Mungu alimfanyia wepesi yule mama akaondoka nchini hapa...na naomba akae huko huko asirudi mpaka huyu jamaa aondoke kwenye hicho kiti. Maana kwa kinyongo hicho inawezekana wakati ule baada ya kumtumbua huenda alikua anamuandalia kesi ya utakatishaji fedha au uhujumu uchumi ili mama wa watu aozee lockup.
Alimtimua!

Aliondoka!

Hakusema kitu tujue ukweli wake!

Hakumsema chochote aliemtoa kwenye nafasi,alinyamaza kimya!

Hakutoa makala au kuandika kitabu chochote au kufanya interview yoyote kusema her side of story!

Yaliisha akaenda na maisha yake bila tatizo na mtu!

Leo bado mwenye utukufu wote anamsema mtu mnyonge asieweza hata kujibu lolote!

Mwanamke mnyonge,asie na power yeyote!

Hivi kuna nini bwana mkubwa anakiogopa sana kutoka kwa huyu mwanamke!

Kuna kitu very serious wrong na huyu raia!

Ukishafukuza,ukaweka wengine,watu washa move on,huna ya kufanya makubwa zaidi ya haya kumsengenya mtu ambae ulishamtolea hukumu siku nyingi?
 
Umeoneee...na wakati huo jamaa atakua kakaa pembeni amembebesha zigo mtu mwingine.

Ila kusema kweli nimeanza kuona ni kwanini waziri ummy anapata kigugumizi kwenye ebola...maana kwa kinyongo cha huyu jamaa..akitangaza anaweza akafungwa lockup kabisa kwa kuhujumu uchumi.
Baada ya miaka 10 ndipo utakapojua kuwa begani kwako kuna mzigo wa madeni usioweza kuutua huku kwenye vibanda vyako vijana wasomi bila ajira, waliogeukia ukibaka!!!
 
Hahaaa eti ni don't care! Seriously?!
Basi amwache Dr. Mwele apige kazi, tayari yuko juu japo juhudi za kumshusha zimegonga mwamba na yeye aendelee na u-dont care wake!!
 
Tabia ya kificha majanga imekua ni desturi kwa awamu hii ya 5 kisa kuogopa watalii wasijue.
Kipindupindu kimeua sana wilaya ya ngorongoro hakuna aliyethubutu kutipoti
 
Sasa Zika iko wapi? Nayo inafichika kama shilling ya mkoloni?
Zika si ugonjwa wa mlipuko. Unakula taratibu na hivyo kuua maelfu kimya kimya. Sasa ikiwa mtaalamu aliachishwa kazi saa Saba na nusu usiku, waliobaki wanaogopa kumwaga unga.
Kwa serikali inayopenda sifa, kuficha uovu kwao si taabu. Kuiamini ni kujitoa ufahamu.
 
Zika si ugonjwa wa mlipuko. Unakula taratibu na hivyo kuua maelfu kimya kimya. Sasa ikiwa mtaalamu aliachishwa kazi saa Saba na nusu usiku, waliobaki wanaogopa kumwaga unga.
Kwa serikali inayopenda sifa, kuficha uovu kwao si taabu. Kuiamini ni kujitoa ufahamu.

Do you know the effects of Zika? Tuache masihala. Watoto wanazaliwa na kichwa upande.
Shida yetu kubwa ni kuwa wasomi tunaokariri
 
Inakosekanaje Google sasa kwa mfano?! Hata kwenye repository ya London School of Hygiene and Tropical Diseases ipo! Ila tukitafuta za wanaoongea sana hata Google hazipo! Ukim-google japo ni PhD holder unakutana na picha za matukio tu, no machapisho no dissertation! Aibu hii!!
Kuna mtu kakutanishwa na Joka lenye njaa kwa kuhoji hiz mambo
 
Do you know the effects of Zika? Tuache masihala. Watoto wanazaliwa na kichwa upande.
Shida yetu kubwa ni kuwa wasomi tunaokariri
Hoja ni kuwa watoto hao wakizaliwa Muhimbili kwa mfano; Ni daktari gani atakuwa tayari kuweka hadharani kuwa wapo!!!?
 
Katika kipindi ambacho huyu dada anapaswa kukaa kimya na kuacha mambo yapite na wakati uamue ndiyo huu.
Dada amejibu na ni haki yake. Yeye Ni 'citizen' wa nchi hii. Magufuli kuwa Rais hakumpi haki ya kuwachokonoa watu na kuwafanya maadui wa nchi.
 
Kaka mkubwa ni black sheep of the family
IMG_20190920_004125.jpeg
 
Yes, she is well educated lakini kama mkurugenzi wa taasisi kubwa ya tafiti za magonjwa aliteleza kutoa taarifa ya ugonjwa mkubwa kama Zika bila wakubwa wake kuwa na taarifa...(siamini kabisa kama anatumiwa na mabeberu)

Inaonekana watu hawaijui sana Zika, hivi mfano ingekuwa ni ugonjwa kama Ebola hivi, kabla ya mtu wa taasisi ya NIMR kuutangaza unadhani Ikulu isingejulishwa kabla?

Hizi Pandemics huwa zina kautaratibu wake wa namna ya kujulisha umma...
At the end of the day, issue ya Dr. Mwele is a done deal na hakukuwa na sababu ya Rais kuliongelea tena na kuonyesha kuwa Mwelle alifanya hivyo kwa maelekezo ya WHO, ambao anawaita mabeberu!!! Hao unaowaita mabeberu, kesho unakimbilia misaada toka kwao. Tuwe na aibu jamani.
 
Back
Top Bottom