Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Huyo nae mropokaji wote treni lao moja
Nanukuu
"Nyerere alikua rais mwongo mwongo na mwenye hila"
Sasa hivi yeye TL kawa kama mbayuwayu hajui afanye nini kambi kashanyea.
😂😂😂😂 Akafie mbele huko, nasikia ana ziara, sijui ziara kama nani
 
WACHUNGUZI HURU, WANASAMBAZIA WAPI TAFITI ZAO?

VIONGOZI WETU SI WA KUWAAMINI KWA JINSI WANAVYOTUNGA SHERIA ZA KUFANYA MAMBO KUWA SIRI.
 
Mbali na vijembe.
Kumbe unaweza kuficha ugonjwa (wa Ebola na bado ukafanikiwa kuuficha kama ilivotokea kwenye Zika) na usiumbuke? Basi wewe utakuwa muumbaji wa huo ugonjwa.
😍😍😍 Laiti nyumbu wangeng'amua hili japo kwa juu juu wangeona jinsi gani akili zao zilivyo mavi

Hivi unaanzaje kuificha Ebola? Zaidi ya mwezi sasa haijau angalau watu 500?pathetic, aliewapa jina nyumbu hakukosea
 
Yes, she is well educated lakini kama mkurugenzi wa taasisi kubwa ya tafiti za magonjwa aliteleza kutoa taarifa ya ugonjwa mkubwa kama Zika bila wakubwa wake kuwa na taarifa...(siamini kabisa kama anatumiwa na mabeberu)
Inaonekana watu hawaijui sana Zika, hivi mfano ingekuwa ni ugonjwa kama Ebola hivi, kabla ya mtu wa taasisi ya NIMR kuutangaza unadhani Ikulu isingejulishwa kabla?
Hizi Pandemics huwa zina kautaratibu wake wa namna ya kujulisha umma...

Hii argument iko fair na reasoned. Lakini ni ngumu kukubali kwamba ni tofauti ya uelewa wa protocol za kufuata kutangaza majibu ya tafiti kama husika ndio sababu ya yote haya. If anything, yesterday's proclamations continued to demonstrate lack of reason and understanding nuanced subjects on the part of our administration.
Timing ya tamko linanipelekea kuamini limetolewa kuwajibu wanaosema kuna uwezekano wa kuwepo kwa ebola case. Kama ni utalii, Waingereza, Wamarekani na Wakanada wameshatoa angalizo kwa watu wao, na tamko la jana sioni kama lina msaada kwao. Lilichofanikiwa kufanya ni kuwaogofya wataalamu wetu kwenye ufanyakazi wao wasirudie kosa. Gharama yake ni uwezekano wa mgogoro na haya mashirika.
 
Alisema kuna dalili za ugonjwa wa ZIKA not kuna ugonjwa wa ZIKA
Vyovyote alivyosema, taarifa ya pamdemic kama Zika ilipaswa kujulikana Ikulu (kuna kitengo cha maafa), Wizara, Usalama wa Taifa na Jeshi...

Hizi ni protokali mkuu na wala hazihitaji mjadala...
 
Inakosekanaje Google sasa kwa mfano?! Hata kwenye repository ya London School of Hygiene and Tropical Diseases ipo! Ila tukitafuta za wanaoongea sana hata Google hazipo! Ukim-google japo ni PhD holder unakutana na picha za matukio tu, no machapisho no dissertation! Aibu hii!!
😂😂😂😂😂 Kaa Google maisha yako yaelekea usawa upi, ukikaa kugoogle JIWE unapoteza muda wako tu

Yaani Magu ni don't care person, yeye hata umchukie vipi wala kwake hajali anasimama kwenye ukweli tu kama bulldozer linanyoosha tu, PhD my foot
 
Ila kiukweli CCM safari hii umetuweza hahaha...
Kumfukuza kazi mwele saa saba na nusu Dr Mwele...so what......Duh

Kila siku beberu beberu so what...unafikiri kila mtu anaweza kuwa beberu hahaha...
Kitambaa cha nguo hata kuvaa kwenyewe kumeletwa na wazungu....leo beberu beberu.....hamna jambo lingine....kila siku wimbo huo huo....

Pamoja na madhaifu yake mara mia tano Jakaya angeendelea tu....This president is making life so boring...na bora angekuwa anasoma tu alichoandaliwa...naamini washauri wake wanatamani kumwambia hili sema tatizo ni hulka yake na woga wa kufukuzwa kazi saa saba na nusu usiku...
😂😂😂😂 Kamfate msoga umtunuku urais
 
Katika hili Magu is right mbona hako kagonjwa alikosema mbombezi wa magonjwa hakakuendelea? Au aliondoka nako? Maana mwele dr alikuwa sahihi tungeendelea kusikia ama kushuhudia watu wakifa. Lakini kimyaaaa
Inawezekana kulikuwa na "Patient Zero", ila si unajua serikali ina mkono mrefu...if you know what i mean
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kaa Google maisha yako yaelekea usawa upi, ukikaa kugoogle JIWE unapoteza muda wako tu

Yaani Magu ni don't care person, yeye hata umchukie vipi wala kwake hajali anasimama kwenye ukweli tu kama bulldozer linanyoosha tu, PhD my foot
Yeye alichanwa ukweli na Heche akabaki akisema usinijibu hivyo wewe ni kama mwanangu,hahah.
 
Aliyekua Mkurugenzi Mkuu wa NIMRI Bi.Mwele malecela ameposti katika akaunti yake ya twitter maneno haya. Nadhani huu ni mrejesho baada ya tamko la Mwenye nyumba kuwa Daktari Mwele malecela alikua anatumika na MABEBERU.


View attachment 1223939
View attachment 1223982
View attachment 1223983

=====

RAIS John Pombe Magufuli, amesema moja ya sababu kumtumbua aliyekuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Tafiti za Kiafya NIMR, Mwele Malecela, ni kiongozi huyo kutoa taarifa ambazo hazikuwa sahihi kuhusiana na ugonjwa wa Zika.

Magufuli ametoa kauli hiyo akiwa mkoani Songwe, wakati alipofika kwenye ziara ya kikazi na kufanikiwa kuzindua kiwanda cha kahawa kilichojengwa na wajasiriamali wa Tanzania, ambapo amesema moja ya mambo ambayo yalipelekea kumtoa kwenye nafasi hiyo Malecelea ni kutangaza ugonjwa.

“Maneno huwa hayaishi, kuna wakati walitangaza kuna ugonjwa wa Zika nchini Tanzania, alipotangaza hivyo wakati mimi najua haupo nilimfukuza saa 7:30 usiku, wala hakuna cha Zika iliyotokea. Baada ya wiki moja wakamteua akawa bosi wao, hii ilionyesha alitumwa kusema aliyoyasema; hizi ni mbinu za kibeberu,” amesema Rais Magufuli.
Hapo ndipo utakapoona tofauti kati ya PhD ya krosho vs PhD ya MD
 
Mkuu jana nlikupa swali hukujibu.

Unaamini ni kweli angeweza kutoa taarifa kama hiyo bila wakubwa kujua?

Lile swala la kikokotoo unaamini rais alikua hajui mpaka akaishia kumtumbua yule mama?

Mkuu tumia akili vizuri na usipende kuamini kila kitu kinachosemwa na mwanasiasa.
As long as Dr Mwele mwenyewe hajajitetea kuwa aliwapa taarifa wakubwa zake, kwa nini sisi wananchi tusiamini kuwa aliteleza katika hilo?
 
Yeye alichanwa ukweli na Heche akabaki akisema usinijibu hivyo wewe ni kama mwanangu,hahah.
😂😂😂😂 Ukweli upiii huo Acha uongo, Heche alikua akitumia lugha ya command katika kuadress shida za jimbo lake na sio personal life ya Magu, hana huo ubavu

😂😂😂 Jana naona wabunge wote wa chadema kutoka nyanda za juu walikua high table wanapiga makofi balaa kwa JIWE
 
Huyu Amshukuru Mungu kuwa ana passport ya UN vinginevyo asingekuja ondoka wala kanyaga Tz. Na jamaa alivyo na kinyongo lazima atalipiza kwa familia yake
 
Huyu Amshukuru Mungu kuwa ana passport ya UN vinginevyo asingekuja ondoka wala kanyaga Tz. Na jamaa alivyo na kinyongo lazima atalipiza kwa familia yake
huyu ni wa familia ya john au siyo?
 
Thesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Diseases.
Unataka kusema? Au unataka kufanya ulinganifu na ya mlopokaji mahala ilipo?
 
Back
Top Bottom