secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
fallacy....Sina muda na wewe takataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fallacy....Sina muda na wewe takataka
Tunakoelekea;Binafsi naamini Raisi naye anapenda kuanzisha Mijadala isiyo na tija.
Kwani ni lazima kusema kila Jambo linalomfurahisha au kumkera Sana?
Suala la Dk. Mwele lilishapita na hakutakiwa kulizungumzia tena kwa kuliunganisha na taasisi za kimataifa ambazo kesho na kesho kutwa tutahitaji msaada wao pale ambapo magonjwa ya mlipuko yatakapo tokea.
Jana nimeona BBC NEWS habari kubwa ilikuwa ni Raisi kumpongeza Ofisa aliye charaza wanafunzi viboko.
Huu nao pia ni mjadala mkubwa ambao ameuanzisha na hauna tija. Chanzo cha mjadala huu ni hotuba yake aliyoitoa Jana.
Mh. Raisi ajitahidi kuwa na kifua cha kuifadhi mambo hata kama yanamfurahisha au kumsikitisha.
Lazma aogope unadhani kuvaa suti na kwenda kuomba vyandarua na ela kwa wanaume wenzako ni jambo gumu , kuna jamii aijazoea kuombaomba kaa ukiju ilo.Ndio maana anaogopa kwenda Marekani na Ulaya
Na nikweli, ukweli utabaki pale pale.
Cha ajabu, wazalendo ndo wanaopukutishwa awamu hii kuliko kutuzwa...
Yaani wazalendo ndo wanyamaze kisha tutumie nguvu kubwa kuwaaminisha watu mzalendo ni nani.
Kila siku naiombea Tz yangu, na stakaa chini kumwombea mtu anayeenda kanisani ila matendo yake anayajua moyoni kwake kwamba Mungu hapendi.
Waarabu wana usemi: Ish wa taraa...Thesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Diseases.
Mkwara mbuziAhsante mkuu,umeongea kwa busara sana,ujumbe umfikie mlengwa.
Kutembea ama!!?Ndio maana anaogopa kwenda Marekani na Ulaya
Mbona povu jingi mkuu au na wewe ulishaandikaga thesis ya maganda ya koroshow??Umri wako utakuwa miaka 6. Ila uzuri watu ka wewe mnaishia kufa kwa presha.
Ndio maana anaogopa kwenda Marekani na Ulaya
Urais alidondoshewa Kama embe dodo, wenye kufanya "vetting" hawakufanya kazi yao vema kuzuia "msema kila kitu" asiingie Ikulu!!!!!!Binafsi naamini Raisi naye anapenda kuanzisha Mijadala isiyo na tija.
Kwani ni lazima kusema kila Jambo linalomfurahisha au kumkera Sana?
Suala la Dk. Mwele lilishapita na hakutakiwa kulizungumzia tena kwa kuliunganisha na taasisi za kimataifa ambazo kesho na kesho kutwa tutahitaji msaada wao pale ambapo magonjwa ya mlipuko yatakapo tokea.
Jana nimeona BBC NEWS habari kubwa ilikuwa ni Raisi kumpongeza Ofisa aliye charaza wanafunzi viboko.
Huu nao pia ni mjadala mkubwa ambao ameuanzisha na hauna tija. Chanzo cha mjadala huu ni hotuba yake aliyoitoa Jana.
Mh. Raisi ajitahidi kuwa na kifua cha kuifadhi mambo hata kama yanamfurahisha au kumsikitisha.
Baada ya miaka 10 ndipo utakapojua kuwa begani kwako kuna mzigo wa madeni usioweza kuutua huku kwenye vibanda vyako vijana wasomi bila ajira, waliogeukia ukibaka!!!Ila ndiye genious anayejenga nchi
Hivi kiongozi kuwa na bifu na mwanamke kiasi cha kurudiarudia kumshutumu kila mara inaweza kuhusiana na kukataliwa mahusiano ?Aliyekua Mkurugenzi Mkuu wa NIMRI Bi.Mwele malecela ameposti katika akaunti yake ya twitter maneno haya. Nadhani huu ni mrejesho baada ya tamko la Mwenye nyumba kuwa Daktari Mwele malecela alikua anatumika na MABEBERU.
View attachment 1223939
View attachment 1223982
View attachment 1223983
=====
RAIS John Pombe Magufuli, amesema moja ya sababu kumtumbua aliyekuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Tafiti za Kiafya NIMR, Mwele Malecela, ni kiongozi huyo kutoa taarifa ambazo hazikuwa sahihi kuhusiana na ugonjwa wa Zika.
Magufuli ametoa kauli hiyo akiwa mkoani Songwe, wakati alipofika kwenye ziara ya kikazi na kufanikiwa kuzindua kiwanda cha kahawa kilichojengwa na wajasiriamali wa Tanzania, ambapo amesema moja ya mambo ambayo yalipelekea kumtoa kwenye nafasi hiyo Malecelea ni kutangaza ugonjwa.
“Maneno huwa hayaishi, kuna wakati walitangaza kuna ugonjwa wa Zika nchini Tanzania, alipotangaza hivyo wakati mimi najua haupo nilimfukuza saa 7:30 usiku, wala hakuna cha Zika iliyotokea. Baada ya wiki moja wakamteua akawa bosi wao, hii ilionyesha alitumwa kusema aliyoyasema; hizi ni mbinu za kibeberu,” amesema Rais Magufuli.
Weka link.Thesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Diseases.
Thesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Diseases.
Mtakufa na presha za kuumbuka, huyo kahab wenu atatafuta uraia mwingine wenye maslahi ya mabeberu ka alivyofanya gay lisMbona povu jingi mkuu au na wewe ulishaandikaga thesis ya maganda ya koroshow??
Kaka mkubwa ni black sheep of the familyIla huyu mama nikimuangaliaga huwa siamini kama amezaliwa na baba mmoja na lemutuz
Huyu Amshukuru Mungu kuwa ana passport ya UN vinginevyo asingekuja ondoka wala kanyaga Tz. Na jamaa alivyo na kinyongo lazima atalipiza kwa familia yake