Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Hicho kifua hana. Yeye ni kufyatuka tu!
 
Angemjibu kwa Mithali 26:4 ingependeza zaidi.
 
Mzee alitaka kuona Dr. akihangaika mitaani mwisho apigiwe magoti kama kina Mwigulu, January na Kinana instead nyota ya Dr. inazidi kung'ara.
Kuna ma-mtu yana roho za shetwani ingawa kwa nje ni ma-binadamu! Shetani linateseka sana moyoni!
 
Mzee alitaka kuona Dr. akihangaika mitaani mwisho apigiwe magoti kama kina Mwigulu, January na Kinana instead nyota ya Dr. inazidi kung'ara.

Na Ile Kauli yake ya kibaguzi ya 'bahati mbaya Ni mgogo'.....

Kama wagogo wakimpigia kura nitawashangaa Sana...
 
..Dr.Mwele Ntuli Malecela katupa kombora lingine.

..amemnukuu mwandishi George Orwell ktk maneno haya," ...the further the society drifts from the truth, the more it will hate those that speak it..."
its true, the "stone" has tried to brand her as an enemy of the nation while its vice versa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…