Dr. Mwele Malecela aula WHO

Nani kamfitini? Ni kweli nchi ilikuwa na ZIKA? kama ni kweli hiyo zika imeishia wapi? Lazima tukubaliane alikosea tuuu.... kupata cheo kingine hakuprove kuwa hakukosea....
Kama mlikataa kuwepo sasa unaiuliza vipi? Ulofa ni mzigo, na Zika ipo tu.
Hakuna siku wajinga hugeuka wenye vipaji maalum, ila wajinga watabakia kuwa wajinga tuu hadi mwisho wa dahari.
 
Kipara labda ana mshinda Bashite tu nchini kwakutema yai ila wote ni wachovu japo wanakipenda kimombo sema chenyewe akiwapendi
 
kwa mtazamo wako unaona waliomthamini kumpa heshma ya kumpa ukuu hawana akili ila JIWE lako ndo linaakili pale llipomtumbua.
UWE UNAJIONGEZA WAKATI MWENGINE.
Usijifanye mjuzi kilakitu unajua[emoji83] [emoji83] [emoji90] we

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Mshahara wake na marupurupu vinaweza kufika US$50,000 kwa mwezi?
 
Masanja umenena. Nakumbuka Askofu Mkuu Rugambwa alipoteuliwa na Pope Emeritus kuwa Balozi wa Vatican nchini Angola, Mheshimiwa Raisi JM Kikwete alimtumia salamu za pongezi. Hiki ni "kichwa" cha kitanzania na isitoshe ni zao la shule za kitanzania. Ndiyo mambo ya "kutembea kifua mbele". Naunga mkono hoja.
 
Baada ya kutumbuliwa,inaonesha alijifunza vingi
 
Nani kamfitini? Ni kweli nchi ilikuwa na ZIKA? kama ni kweli hiyo zika imeishia wapi? Lazima tukubaliane alikosea tuuu.... kupata cheo kingine hakuprove kuwa hakukosea....
tetea ujinga wa jiwe [emoji90] [emoji90] [emoji83] ...mbafff wee
 
mwambie aende pale fery kivukoni atakutana na ZIKA 3 zinaishipale zinaombaomba
 
Your wrong kabisa.... Mwale kuwambombezi hakumfanyi kuwa mkamilifu lazima tukubali alikosea sana tena sana kutangaza tanzania kuna Zika ....jiulize zika yake iliishia wapi?
Tatizo ya Mwale she is not a medical doctor. Yeye ni mtu wa zoology. Hakustahili kuongoza a national medical research institute, being not a medical proffessional.
 
That is reality mkuu, alionewa kabisa
Alionewa kwa kupewa kuongoza taasisi ambayo hana utaalamu nayo. Hivyo akavurunda kwa kukiuka codes of ethical medical conducts. Ikawa hakuna namna nyingine JPM ya kumfanya isipokuwa kumtumbua!
 
kwa vile alisoma UK tena Chuo maarufu duniani CV yake Ni kubwa. Hizi nafasi za kazi hazipatikani kimchezo mchezo. Pongezi kwake
 
Kuelewa uwezo wa mwenye akili ni lazima nawe uwe na akili.
Sasa kosa lake nini huyo mama kutoa taarifa ya ukweli kuhusu ugonjwa kosa? Sasa bora mungu kamwona akafanye kazi. Ya utaalamu wake bila mashinikizo ya kijinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…