Hajitambui huyo anafuata upepo uelekeako tu jahazi hiloNahisi huyo kijana atakuwa alihusika kwenye utumbuwaji wake, maana si kwa uharo huo anaoutoa[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajitambui huyo anafuata upepo uelekeako tu jahazi hiloNahisi huyo kijana atakuwa alihusika kwenye utumbuwaji wake, maana si kwa uharo huo anaoutoa[emoji23]
mkuu hii mijitu iliyonyweshwa maji ya bendera yaFISIEM ni shidda kwa uhai wa taifa hiliRoho mbaya haijengi
Yule mzee ni dokta wa kufoji,matamshi yake hayahakisi kiwango cha elimu anachodai anacho,ni ngumbalu,Sawa. Sijui mzee yule anayetaka tuoe wake lukuki anajisikiaje akiona haya "majambo"!!
Unaowajua wanakuletea hela home. Au kama ni mtumishi wa umma amekupa maslahi yako? Jitambue usiwe kibendera lofa kweliHivi huwa mnafaidika nini kushangilia mtu asiyekujua wala kukufahamu akipata ulaji ambao ni kwa ajili yake na familia yake?
Binafsi sijawahi kulielewa hili!
Limekua jiwe kuu LA pembeni. Hongera sana Dr.Jiwe walilolikataa waashi
Nchi haibadilishwi na mtu mmoja bali pale kunapokuwa na mazingirwa wezeshwi ya kumfanya kila mtu atumie uwezo wake, vipaji vyake na ujuzi wake katika kuchangia maendeleo ya nchi.Bado unaishi kwa matukio?? Hiyo nafasi ndio itakujengea reli, itakujengea barabara, itakuletea dreamliner, itakununulia vivuko..ifike mahali mpunguze mihemko ya kisiasa..nipe mafanikio ya nchi asharose migiro alipokuwa deputy general UN..
Shida kubwa kiongozi wetu anapenda watu wasio na akili, watu watakaomtukuza na kumwimbia nyimbo za sifa. Wenye akili hawataki maana wenye akili hawawezi kufanya kazi ya kumlamba vidole kama wafanyavyo akina Bashite.Aibu kwa Jiwe!!
Kuelewa uwezo wa mwenye akili ni lazima nawe uwe na akili.This is something to get us in the #FridayFeeling: A huge congratulations to @mwelentuli for her appointment as the new NTDs Director at @WHO. A great appointment by @DrTedros.
View attachment 887879
Mwaka 2016 Uteuzi wa Dk. Mwele Malecela kama Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (National Institute for Medical Research – NIMR) ulitenguliwa na Rais John Magufuli, siku moja baada ya Dk. Mwele kusoma hadharani ripoti iliyoonesha kuwa kuna kina mama wamekutwa na dalili za virusi vya ZIKA nchini Tanzania.
Pamoja na yote hayo, Dk. Malecela anashikilia rekodi nyingi na kubwa sana. Kwa mfano, Dk. Mwele ndiye mwanamke wa kwanza duniani na mwafrika wa kwanza kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Kimataifa cha Taasisi za Afya Jamii (IANPHI) taasisi ambayo ni mwamvuli wa taasisi zote za kitaifa za afya kwenye mataifa yote duniani.
Dk. Malecela alijiunga NIMR mwaka 1987 baada ya kuhitimu shahada zake kutoka Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM), pia ana Shahada ya Uzamivu (PhD) kutoka Chuo Kikuu cha London Uingereza mwaka 1995.
Sekta ya Afya nchini Tanzania haitamsahau kwa mchango wake mkubwa kwenye kujenga misingi ya tafiti za afya na hasa usimamizi wake kwenye Mchakato wa Kuweka Vipaumbele vya Kitaifa vya Tafiti za Afya ambao ulianzishwa mwaka 1999 na baadaye kufanyiwa mapitio mwaka 2005.
Astaghifilullah😂😂😂😂Yule mzee ni dokta wa kufoji,matamshi yake hayahakisi kiwango cha elimu anachodai anacho,ni ngumbalu,
We umeelewa nini mvaa bikini??Mshamba kama wewe wa karomije mwenye baba wa PHD fake utaelewa nini kazi kulegeza makalio tu
Huwezi kuelewa kama huna uwezo wa kuelewa.Hivi huwa mnafaidika nini kushangilia mtu asiyekujua wala kukufahamu akipata ulaji ambao ni kwa ajili yake na familia yake?
Binafsi sijawahi kulielewa hili!
Usitudanganye. UN huna haja ya kupata baraka toka serikalini. You play your part and you apply if you pass the interview you get the post. UN Ina consult nchi anayokwenda kwa kukubaliwa kwake. Nchi atokayo haina la kusema. She is already with UN anyway it is just a move from one station to the other.ninachojuwa ni kwamba Dr Mwele lazima amepata baraka za serekali kuweza kupata hizo nafasi. Msiwachonganishe watu wakuu
Serikali kama nani?ninachojuwa ni kwamba Dr Mwele lazima amepata baraka za serekali kuweza kupata hizo nafasi. Msiwachonganishe watu wakuu
Kiutaaluma aliingilia mamlaka isiyomuhusu na anajua hilo.Anatumia utaalam wake bila kuingiliwa na wanasiasa!
Kivipi labda?ninachojuwa ni kwamba Dr Mwele lazima amepata baraka za serekali kuweza kupata hizo nafasi. Msiwachonganishe watu wakuu
Achana na wajinga hao walahiKiutaaluma aliingilia mamlaka isiyomuhusu na anajua hilo.