Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Speechless, I don't know if CCM's will do anything, let's wait for another punishment from our fellow Tanzanians.


✌️✌️✌️✌️✌️
 
Ngoja tuisome namba, lakini naamini tutaisoma wote na wana wa ccm.
 
daaaaaaaa!!!!!! Nilidhania ccm wanaiba rasilimali za tanzania tu!!! Kumbe hata kura za watanzania!!!!!


Daima malipo ni duniani;

mfalme daud na suleiman walikuwa na mafanikio katika uongozi wao kwa kuwa mungu aliwabariki. Lakini mungu hawezi kutoa baraka kwa kiongozi ambaye amewekwa madarakani kwa ulaghai.

Hivyo tusubiri kiama cha maisha.

Tuliahidiwa "ari mpya nguvu mpya na kasi mpya" hatukuiona kwa miaka yote.

Tuliahidiwa "maisha bora kwa kila mtanzania" hatukuyaona miaka yote.

Na sasa "hapa kazi tu" tunaisubiria atimize ahadi zake. Tunachotaka sisi ni kuwa na maisha bora na siyo bora maisha!!!!.

mizambwa inaniuma mimi.

Pole sana!
 
Aaaamin...alipangalomungu mchawi hawez panguaaaa...what we need what we have granted "HAPA KAZI TU"...hakuna mfano wako daah umemuumiza BaBU wa watu vibaYa Yupo hoi..."HATUKUMTAKA HATA MUNGU HAKUMTAKA PIA"...let our TANZANIA being as TANZANIA THE HOME OF MERCY & LOVE we peacefully we harmonlly...HAPA KAZI TU.
 
Kama ukishiriki usaliti lazima usalitiwe na wewe pia, EL alikuwa miongoni mwa wezi wa kura kutubu kwake ni kuibiwa na yeye, hatimaye CCM A wawaibia CCM B hapa ngoma droo

Hakuna maneno yenye uzito kama haya! Amesahau aliiba za wenzake!
 
Viva our hero, Viva Edward Ngoyai Lowassa. Rais wa mioyo ya Wengi. Tunakupenda. Kuna kufa na kukutana na hukumu kwa Mungu. Mwaka huu wa 2015 imezidi. Tumwogope Mungu.
 
hata mimi hapa ubungo wamechagua limbunge linafiki li-kubenea la chaggadema silipendi na kibaya zaidi na diwani ni chaggadema yaani ni kama naishi motoni.nayachukia sana lakini ntafanyaje ndio demokrasia walio wengi wanaamua na wachache mnakaa kimya maana wanasema penye wengi hapaharibiki neno na sauti ya wengi ni sauti ya mungu


swala sio nani kachaguliwa ila kapatikanaje mshindi
 
Mjini kimya, hakuna shangwe kabisa. Hii inadhihirisha kuwa huyu mtu hakuwa chaguo la watu. Nadhani chaguo la wengi lingetangazwa kila mtanzania angekuwa anafrahia wakati huu.

Boda boda na wanywa viroba hushangilia kwa fujo! Pole
 
Ni baada ya ccm kutangaziwa ushindi, ni hatareeeee. Hamna shamrashamra watu vichwa chiniii.
 
attachment.php
 

Attachments

  • 12191864_169184196761894_3347221377369497294_n.jpg
    12191864_169184196761894_3347221377369497294_n.jpg
    51.2 KB · Views: 110
Kwahiyo kwa mtazamo wako unaamini kwamba Pombe ndiye atakeyetuondolea haya matatizo? Je! Chui anaweza kujibadilisha madoadoa yake? Kama anaweza, Basi Pombe pamoja na CCM wanaweza kutuondolea matatizo haya.

EL ndo angeweza?? Kama vp hama nchi!
 
...magamba mnakenua meno tu huku; mpeni na Seif ushindi wake..
 
Back
Top Bottom