Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Dr. John Pombe Magufuli ametangazwa rasmi kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya 5 baada ya kuongoza kwa kupata kura 58.46%.

attachment.php


Lubuva: Kwa kuwa mheshimiwa Dr. Magufuli, John Pombe Joseph wa CCM amepata kura nyingi zaidi kuliko mgombea mwingine yeyote, kwa niaba ya tume ya taifa ya uchaguzi na kwa mujibu wa vifungu vya 35(e), 35(f) na 81(b) vya sheria ya taifa ya uchaguzi sura 343.

Ninatangaza rasmi matokeo ya uchaguzi ya urais wa mwaka 2015 kwamba

  1. Mheshimiwa Magufuli John Pombe Joseph amechaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
  2. Mheshimiwa Samia Hassan Suluhu amechaguliwa kuwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Asanteni kwa kunisikiliza

===========

Kutoka kwa mwandishi wa FikraPevu


Rise up fallen fighters,rise and take your stance again,because he who fights and run away,lives to fight another day- THE HEATHEN,BOB MARLEY & THE WAILERS
 
Naungana pamoja nanyi, yaani huzuni, we acha tu! Lakini tusikate tamaa, maana miaka inavyoenda ushawishi wa mi ccm unapungua. Kukata tamaa ni dhambi kubwa.
 
Kwahiyo kwa mtazamo wako unaamini kwamba Pombe ndiye atakeyetuondolea haya matatizo? Je! Chui anaweza kujibadilisha madoadoa yake? Kama anaweza, Basi Pombe pamoja na CCM wanaweza kutuondolea matatizo haya.

Acha akili za kilofa ww.mm naamini katika denokrasia.watanzania walio wengi(majority) wamemuamini JPM kama mtu sahihi kwao wa kushughulika na shida zao.kwahiyo husijifanye unajua sana kuliko watanzania mil8 waliofanya maamuzi.na kujifanya unataka kukosoa maamuzi yao.piga kimya liache tingatinga lifanye kazi aliyopewa na watanzania
 
Iweni watu wema kwa manufaa ya Watanzania. Uongozi Mpya wa Awamu ya Tano ni zawadi kwa Watanzania, tuipokee kwa furaha na amani tukizingatia kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi. Mungu ibariki Tanzania, wabariki viongozi wake, watanzania wote wake kwa waume na watoto.

Tanzania ni moja amani yetu ngao yetu. Hongera Rais wetu Mteule Dr. Magufuli na Makamu wako Samia Suluhu.
 
Lowasa pamoja na kupigiwa kampen na wanae kwenye mitandao, kupigiwa kampen na mkewe lakn hola.

Eti alitabiliwa na T.B joshua alitabiliwa sawa lakn michanganyo imezidi. Mara kanisani, mskitin, kwa waganga wa kienyeji,
 
Niliisha andika huko nyuma kwamba CCM ikishinda ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huu na Chadema chini ya Lowassa ikashindwa, hakuna kingine kitakachofuata na huo utakuwa ndio mwisho wa Chadema.

Kwa msingi huo itakuwa ni ndoto kwa Chadema kushika dola ndani ya miaka 50. Subirini muone.
 
Atakiona cha moto niheri angeshindwa tu maake mafisadi na majizi yapo CCM Sasa sijui atakavyotekeleza ahadi zake!
 
Usimshirikishe Mungu kwenye siasa za dunia hii! Kwa maana ni chafu na hazifai!

Hahaha wanifurahisha mpendwa!! Hiv Mungu apaswi kufanyaje?? Na ufunguo kesho ataapishwa je kiapo chake kinamaneno gani he Mungu hata kuwepo pale??.
 
UKAWA itakufa kile kifo cha Babu Duni.KWA KUANZIA NCCR IMESHADEAD.BABU DUNI ANARUDI CUF kuuguza majeraha.Chadema mtaisikia kwa mbaliiii
 
12189770_10156151695060150_3644785753304416403_n.jpg


Tunaitaji nini zaidi kujua kwamba nguvu zetu tuzieleke kwenye TUME HURU YA UCHAGUZI!
 
Shit!!! Kauli ya kuna maisha baada ya uchaguzi ni unafiki uliokomaa ukaota na magamba kama yale ya kenge. Vinginevyo uchakachuaji wa matokeo usingefanyika na kule Zanzibar ZEC isingeweka mpira kwapani
 
Back
Top Bottom