Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo hamkulijua? Lieni na mgombea wenu na nyodo zake za kuhutubia dakika mbili eti mapenzi mahaba. Kuna mapenzi mahaba kwenye siasa? Sasa ndiyo mtamwelewa Dr. Mihogo. Was he an asset or a liability? Mtu mmemshambulia for 10 yrs non stop kuwa ni fisadi leo from nowhere kawa msafi. Watu siyo wajinga kihivyo hata wanywe viroba namna gani!Tume ya uchaguzi ni jumuiya ya CCM sawa na UVCCM au jumuiya ya wazazi.
Natafuta viroba leo. Nani anavyo? Leo hata barabara nitapiga deki na kuzimia nitazimia. Jimama langu uwiiiiii. Leo ni siku ya mapenzi mahaba bebi! It's a new day!!!
Tume ya uchaguzi ni jumuiya ya CCM sawa na UVCCM au jumuiya ya wazazi.
Tume ya uchaguzi ni jumuiya ya CCM sawa na UVCCM au jumuiya ya wazazi.
Wako wapi wale manabii waliomtabiria lowasa ushindi???
Wadanganyika hebu tuvute subira.
Rais ni JPM, lowassa tumekata tena, hata akigombea umonita wa darasani, TUTAMKATA TU, hamna namna maana ana nyota ya kukatwa.
Kama hakuna tume huru ya uchaguzi ata wakimsimamisha Lusinde bado watashinda kwa kishindo.2020 ccm itashindwa vibaya sana kwa sababu sio watendaji na watimizaji wa ahadi zao, tuone huo ufisadi atakavyo pambana nao.
Mnaosema hapa kazi msije mkalalamika kuwa hamna kazi. Tunasubiri viwanda nchi nzima. Tunasubir mil50 kila kijiji.