Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Ni kama vile utafurahia Chadema ikifa. Why? Kama Chadema ikifa, who do you think will the real loser?


Mpuuzze Tu Hana akili, hajui faida ya kuwa Na vyama vingi, yeye anaona Ni uadui!
 

Nadhani Lowasa kachanganyikiwa-kwani nimesikia anasema eti tume imtangaze yy kwani matokeo yake yanaonyesha kuwa kashinda kwa 62% huyu jamaa ni mbabe kiasi cha kuamuru tume imtangaze kwa data zake za nyumbani kwake.
 
Hongera Magufuli kwa zali ulilopata maana hakika ni zali. Kila la heri ktk kutimiza kauli mbiu ya HapaKazi Tu
 
Nitapiga kura kama kutakuwa na katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

+ uwezekano wa kuhoji matokeo mahakamani. Labda hapo nitashawishika. Ila CCM hii iliyorudi madarakani tena na wabunge wengi unafikiri kweli itatuletea hayo? Mie nadhani itapigwa photocopy katiba hii halafu iitwe katiba mpya. Maana mfumo huu ndio unawaweka madarakani.
 
Indeed
 
Usitukate stim acha tusheherekee tuliomchagua hayo mengine sio kazi yako ushauri wako kampe uiyempigia kura Magufuli anayo Ilani na itamwongoza kwa kuanzia. Ya Kitaifa ndio inayoleta shida Znz mwacheni Jembe ajiachie magogoni kama msuli alishatumia sana Ujenzi, Uvuvi na Ardhi.

Hapa kazi tu, ukitaka mabadiliko kzungushe mikono na Lowasa wenu aliyegawa Taifa hili kwa ubaguzi.
 
Alikwisha sema bana -- Matumaini-- Mabadiliko --- Monduli-- Labda kama hukumsikia
 

Sioni kitufe cha like
 

Asante. Bahati mbaya sana watz wengi hawajui hili wengine wanaombea vyama vya upinzani vife... Especially kwa nchi changa kama zetu -Ili chama tawala kifanye vizuri kinahitaji upinzani imara, na hapo ndo wananchi tunapata maendeleo! This is political ecology!
 
Chadema fisadi itakufa itarudi chadema Asili Nccr itabikia kusomwewa kipa imara
 
Lawama Kwa Hawa:-
Nec
Police
Ccm
Jk
Na Wote Waliounga Mkono Wizi Wa Kura Mpaka Uchaguzi Umekuwa Na Makando Kando
 
Cummon mods mbona mmeunganisha uzi ambao hauhusian ni hii mada, yaan hata baada ya matokeo bado mnaendelea kutunyanyasa na forum yenu
 
.huku vijana washaingia barabarani wanaimba " wamechinja KUKU, tumechinja NG'OMBE DUME" na zaidi kuna mmoja wao kapitiwa na gari, ndo anakimbizwa Hospitalini mda huu..

Pole yake na hivi hakuna dawa ndio atatia akili!
 
Alisema yeye ni muadilifu.Uadilifu wake u wapi wakati kaingia kwa wizi? Serikali ijayo itakuwa na
wizi kuliko zote zilizopita.
 

Magufuli kachaguliwa na watanzania walio wengi na wala hakukuwa na wizi wa kura. Au kwako wewe ushindi ni ule ti wa mgombea wako hata kama watu wamemkataa. Watanzania wasingempatia kura kwa kuwa wanapenda nchi yao. Fanyeni kazi acheni kushinda mitandaoni. Hapalipi na maendeleo utayaonea kwa jirani.
 
watatunyanyasa sana hawa jamaa m nawaza hadi naogopa yaan.

wala usiwaze mkuu great presidents never do that,,, utashangaa kawa rafiki wa ambao hawakumpigia kura zaid ya waliompigia.. mwisho wa siku ana nchi moja tu ya kujenga!
 
VIJANA wetu bado wanafanya tallying na kuandika historia ya nchi hii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…