kidonto
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 1,961
- 2,918
Ni kama vile utafurahia Chadema ikifa. Why? Kama Chadema ikifa, who do you think will the real loser?
Mpuuzze Tu Hana akili, hajui faida ya kuwa Na vyama vingi, yeye anaona Ni uadui!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama vile utafurahia Chadema ikifa. Why? Kama Chadema ikifa, who do you think will the real loser?
Niliisha andika huko nyuma kwamba CCM ikishinda ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huu na Chadema chini ya Lowassa ikashindwa, hakuna kingine kitakachofuata na huo utakuwa ndio mwisho wa Chadema.
Kwa msingi huo itakuwa ni ndoto kwa Chadema kushika dola ndani ya miaka 50. Subirini muone.
Nitapiga kura kama kutakuwa na katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Indeeduliwavumilia pindi walipoliondoa jina lako kwa hila ulipokuwa kwao,lakini ukukata tamaa kwa kuwa ulikuwa na lengo halisi la kuikomboa nchi yako,safari yako ya matumaini ikageuka kuwa safari ya mabadiliko lakini bado tena ulitukanwa,ukadhihakiwa mpaka na MATASA,wajinga,na vijana wenye ndimi za fila,ukavikwa joho la ufisadi kama yesu alivyovikwa taji la miiba lakini bado ulivumilia,kwa kweli ulivumilia,lakini cha kushangaza safari hii tena wamepola ushindi wako na wewe bado upo kimya?mpaka lini kipenzi chetu EDO?sema kitu basi nasi tutafanya,mbona European obsevers wamekuandalia njia?mbona US ipo upande wako?mbona kagame yupo upande wako?na zaidi ya hayo sisi vijana tupo upande wake?tunajua umeshinda lakini haki haiji bila ya upanga.sema kitu EDO,sema basi!!
CHAMA TAWALA kinabeba lawama 80% (kinatumia madaraka yake kuzidi kuwafanya wananchi wewe misukule, tena makusudi, ili kitawale milele. Na hata pale ambapo wananchi wamebadilika na kuchagua upinzani, kinatumia vhyombo vyake vya dola kufanya uchakachuzi)
WANANCHI nao wanabeba lawama 15% ( sidhani kama wananchi wa Tanzania wana tofauti na wa Kenya au Zambia. Asilimia kubwa ni waoga wa mabadiliko. Na uoga huo unahusiana na propoganda za chama tawala)
UPINZANI unaweza kuwa nao unabeba lawama 5% (kwa hakika vyama vya upinzani kimoja kimoja na katika muungano wao wa UKAWA wamejitahidi sana kutoa elimu ya uraia na ushahidi ni ukombozi wa jiji mama wa majiji ya Tanganyika, DSM. Lakini hawajaweza kufanya kazi nzuri kuwafikia wananchi katika ngome za chama tawala kv mikoa ya kati na kusini. Pia hawakupaswa kupoteza majimbo ambayo tayari yaliishakuwa ngome zao. kulikuwepo na upungufu wa kimkakati kuhusu ushindi)
Hapa kazi tu. Majungu ukawa
Nchi hii ina wajinga wengi sana unaomba chama cha upinzani kife ili iweje?vyama vya upinzani ndo vimefanya watz waijue serikali yao ilivyo ktk utendaji mimi kwa mtazamo wangu ningeomba viimarike ili serikali iwe makini.Nilikuwa na mengi ya kukuelimisha lakni muda sina ahsante
.huku vijana washaingia barabarani wanaimba " wamechinja KUKU, tumechinja NG'OMBE DUME" na zaidi kuna mmoja wao kapitiwa na gari, ndo anakimbizwa Hospitalini mda huu..
Hata Magufuli anajua kuwa hakushinda kihalali na asifikiri kuwa ndio imepita ,upinzani wa leo ni mkubwa sana na atakaposimama ,kwa kweli atakuwa hana nguvu ,kwani ukweli unajulikana kama hakushinda ,haya tusubiri ale hicho kiapo kwa Mungu wake ili aanza kupokea adhabu ya kuongopa mbele ya Mungu.
Unafikiri kiongozi aneshinda kwa hila atakuwa na habari na huruma na wewe ,hata kama upo CCM ,hivi anakujua wewe kama ndie uliempa kura ,marungu yanayokuja hayatawakumba wapinzani bali kwa kweli watakaoumia zaidi ni wale waliosheherekea ushindi usio wa kihalali. Hii ndio siri watakaoumia na kujuta ni ccm na mapolisi.
watatunyanyasa sana hawa jamaa m nawaza hadi naogopa yaan.