Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

he scientific evidence is complete and compelling, the AIDS Virus is a designer bi-product of the U.S. Special Virus program. The Special Virus program was a federal virus development program that persisted in the United States from 1962 until 1978. The U.S. Special Virus was then added as compliment' to vaccine inoculations in Africa and Manhattan. Shortly thereafter the world was overwhelmed with mass infections of a human retrovirus that differed from any known human disease, it was highly contagious and more importantly, it could kill.

A review of the Special Virus Flow Chart ("research logic") reveals the United States was seeking a ;virus particle' that would negatively impact the defense mechanisms of the immune system. The program sought to modify the genome of the virus particle in which to splice in an animal "wasting disease" called "Visna".

. Recently, American and world scientists confirm with 100% certainty the laboratory genesis of AIDS. This fact is further underscored when one reviews the ;multiply-spliced' nature of the HIV gene and Dr. Gallo's 1971 Special Virus paper, "Reverse Transcriptase of Type-C virus Particles of Human Origin".

Dr. Gallo's 1971 Special Virus paper is identical to his 1984 announcement of AIDS. Upon further review the record reveals that he filed his patent on AIDS, before he made the announcement with Secretary Heckler. Earlier this year, Dr. Gallo conceded his role as a ;Project Officer' for the federal virus development program, the Special Virus.


The Flow Chart of the program and the 15 progress reports are irrefutable evidence of the United States' secret plan to cull world populations via the unleashing of a stealth biological microorganism that would ;waste' humanity.
 
Halafu haohao wamarekani wanatuletea kondom kujikinga na gonjwa walilolitengeneza wenyewe!
 
Microbiology Scientist yeyote aliesoma nje hata degree ya kwanza tu alikua anajua hili. HIV ana hallmarks zote za lab engineered virus, nilishawahi kuandika tena humu humu zamani.

Na nikasema mwafrika ana ubavu wa kufanya nini hata akiambiwa? Hatuna! Ukweli ndio huo lakini hatuna tuwezalo fanya. Kuambiwa samahani tu kuhusu slave trade hatujaambiwa hadi leo, ila Jews na holocoust tayari, aborignes kule australia wameambiwa.
 
Tukiwaambia dunia inaendeshwa na watu wachache wenye agenda sa siri kwa wanadamu,mnabisha.nilisoma siku nyingi sana kuwa AIDS is a man made disease.it's not a curse to sick from HIV virus, because that was not God's plan.ni mpango wa binadamu wachache wenye nguvu wanaoitawala dunia hii na walio karibu na fallen angels, kutaka wewe au mimi ufe kwa maumbikizi ya ukimwi.STUKA!.
 
Kuna mwamerika mweusi askari aliwahi andika habari hizi kuwa serikali yao ilihusika na mpango wa kutengeneza virusi vya UKIMWI siku za nyuma lakini walimpuuzia!!! Sasa siri iko uwanjani je hawa marekani watalipa reparations kwa nchi zilizoathirika na expereiment zao?
 
Ukimwi upo bado ngono zinafanyika kwa level vipi km kusingekuwa na ukimwi? It might be god plan.
 
Nchi nyingi zilizoendelea zina research institutes zilizo chini ya mashirika ya kijasusi.
Kwa mujibu wa machapisho kadhaa, mbali na ukimwi, ebola ni moja ya maradhi alotengenezwa kwenye maabara.

Nilipata kusoma mahali "BOSS" shirika la kijasusi la makaburu wa SA wnalijaribu kutengeneza virus vyenye uwezo wa kuathiri non white race, hasa weusi.

Kwa takwimu Afrika kusini mwa sahara (SSA) tunaongoza kwa kuzaliana hata baada ya ukimwi kuwepo.
 
tukiwaambia dunia inaendeshwa na watu wachache wenye agenda sa siri kwa wanadamu,mnabisha.nilisoma siku nyingi sana kuwa AIDS is a man made disease.it's not a curse to sick from HIV virus, because that was not God's plan.ni mpango wa binadamu wachache wenye nguvu wanaoitawala dunia hii na walio karibu na fallen angels, kutaka wewe au mimi ufe kwa maumbikizi ya ukimwi.STUKA!.

Mungu atakuwa ameapprove hii kitu maana anachukia uzinzi kila mtu akiamua atulie ukimwi utaupata wapi? Na kama Mungu hakutaka mbona asitupe akili ya kutafuta kinga na dawa? Maana alisema hatatupanish kwa gharika au sodoma na goromah hii ndio adhabu tuliyopewa!
 
Hii kitu inajulikana ni ya lab ila ilihusishwa na kuwauwa mateka wa vita ya Vietnam. Baadhi ya watafiti wa mambo wanasema ilishindikana kuikontrol ikasambaa hovyo hata kule marekan
 
Kujadili nani ni mtaalamu wa kutengeneza virusi au nani ndiye aligundua ni kumpa sifa shetani tu.Nadhani swali la kujiuliza na KWANINI?? Ukweli unajulikana na sio yeye tu mgunduzi. Ni ndoto ya taifa lake la Marekani na wazungu wote kuwamaliza watu weusi kwa kutumia mbinu yoyote ya kufanikisha hilo. Wazungu wanajua ukweli kuwa watu weusi ni watu wateule wa Mungu na mkakati huu haujaanza leo wala jana, ulianza miaka 400 kabla ya kuzaliwa Yesu wakati Wagiriki walipoivamia Israeli (tambua kuwa wa Israeli ni sisi watu weusi....hapa unatakiwa kufungua akili yako na kuutafuta ukweli) na baadae Warumi ambao vita ya mwaka 127 B.K waliazimia kuwamaliza watu weusi(Gladiators) na ndipo weusi wakaikimbia nchi yao na kukimbilia kwa ndugu zao kusini (Kushi, SHEBA na Misri) na walikodiwa wa Hispania ili kuteketeza Historia na maandiko yanayoonyesha historia ya watu weusi na baadae walibadilisha na kuondoa baadhi ya vitabu kwenye biblia vinavyoonyesha uhalisia na vipengele vyote vinavyoonyesha Myahudi ni mtu mweusi...
Walipoanzisha biashara ya utumwa iliyodumu kwa miaka 400 pia lengo lilikuwa hili hilo tu kwanza kuikata historia ya mtu mweusi na muunganiko wake na Mungu na pia kuwauwa wote waliochukuliwa utumwani... (MF. Weusi wote waliokuwa Argentina waliuawa na wengine kukimbilia nchi za jirani... ndio maana hakuna mchezaji mweusi kwenye timu ya taifa ya Argentina wakati inapakana na Brazil ambapo weusi ni wengi)[isome barua ya Lynch au Google hidden books and icons]
Hivyo weupe hawana jema na sisi... fuatilieni historia ya kweli...historia tunayo soma ni white washed au imetengenezwa ili kupotosha ukweli.
 
Huu ni mpango wa watu weupe kuwauwa weusi maskini na kuwatia hofu zisizo na msingi, ukitaka kuielewa hii mada ingia fadhilipaulo.com tafuta makala imeandikwa ''ukweli kuhusu ukimwi'', kimsingi hakuna cha kirusi wala nini wanacheza na saikolojia yako na hayo madawa yao ya ARV ambayo NDIYO ukimwi wenyewe. Jifunze zaidi kuhusu hiv na ARV
 
Back
Top Bottom