Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

ukweli ni muhimu kuujua lakini ukweli huu umenivurugia tumbo langu,,,hapa najisikia kichefuchefu tu
 
Huyu mutu, akionekana hapa bongo lazima atachomwa moto kwani huyo ni sheitwan
 
Teh teh mchagulie adhabu nyingine kama ni vumbi nawe vumbini utarudi
mmmmh!naomba Mungu amgeuze huyu jamaa kuwa majivu au vumbi,shida gani ametuletea mshezi huyu
 
Na ugonjwa huu ulivyoanza walisema eti Waafrika walifanya mapenzi na manyani waliokuwa na AIDS na ndio huko ugonjwa ulikopatikana.Jamani mtu mweusi anaonewa sio mchezo.Lakini sasa kwa nini wasilipe fidia kwa waliohusika kuleta hilo gonjwamaana familia nyingi zimeathirikaMarekani has to pay this cost
 
hii ni movie pia ya "The Walking Dead".


Imagine dunia ilivyopenda ngono sasa hivi ingekuwa vipi bila ukimwi? May be ni mipango ya Mungu tujiangalie sana mienendo yetu.
 
hii ni movie pia ya "The Walking Dead".


Imagine dunia ilivyopenda ngono sasa hivi ingekuwa vipi bila ukimwi? May be ni mipango ya Mungu tujiangalie sana mienendo yetu.

Hiyo movie si ishatoka au
 
Famili nyingi zimeumia na huu Ugonjwa watoto wadogo wamekufa bila hatia
 
Na hawako tayari kutafuta tiba maana hizi foundations, condoms na ARVs zinawafanya trillionaires.
 
hii ni movie pia ya "The Walking Dead".


Imagine dunia ilivyopenda ngono sasa hivi ingekuwa vipi bila ukimwi? May be ni mipango ya Mungu tujiangalie sana mienendo yetu.
Usiseme ni mipango ya Mungu bali Mungu aliliachilia/aliruhusu ili tujiangalie sana mienendo yetu.
 
Watu wengine bwana sasa hili lijamaa liliwaza nini!!! duuuuuuuuuuuuh amepunguza raha kweli huyu............Laaaaaaana na iwe juu yake shetani huyu
 
Back
Top Bottom