TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

Furaha ya milele uumpe ee bwana,
na mwanga wa wa milele umuangazie,
apumzike kwa amani ,
amen!
 

mmmm
tutahama majumbani mwetu sasa.. na sijui tutahamia wapi. hakuna kuliko salama. Ee Mungu utasaidie.
 
Sad! Too Sad!!! Pumzika kwa Amani Dr. Mvungi...Pole kwa wanafamilia na watanzania kwa ujumla
 
R.i.p Dr huu ndio mwisho wa kila binadamu! Hata walio kutenda nao wana siku yao!
 
Hao "Majambazi" ndio hao hao walitaka kutoa roho za Dr Ulimboka,Kibanda etc.

What a shame this country!!!
 
Upumzike pema peponi.Watanzania tuyaenzi mazuri yake yote.Tumepotelewa na Mtu mhimu sana hapa nchini
 
chadema ndio wanaotakiwa kujibu issue ya dr kupigwa mapanga sha,wao ndo watakuw wahusika wakuu wa hili tukio!huu ni mwendelezo wa ile muvi ya kuteka watu na kuwatesa kama walivyofnya ulimboka
 
Ooh my God! Aaah! Nimesonokeka sana. Watanzania tukatae ukatili huu,..
Pole familiya ya Dr Mvungi
pole NCCR Mageuzi
poleni watanzania.
R i p dr Mvungi
 

Na huu mtindo waliouanzisha police wakukamata watuhumiwa bila ya kuwaonyesha kwenye TV bado nakuwa na mashaka juu ya ukweri.
 
Ni huzuni kwa Taifa kwani masahibu yaliyopelekea umauti yanatokana na kazi ya kuhuisha roho ya Taifa (Katiba ya Nchi). Mungu ailaze roho yake mahala pema.

Ni huzuni kubwa sana Poleni wote mlioguswa na msiba huu
 
Allah ailaze roho yake mahala panapostahili....
 
Hawawataki Tume Ya katiba sasa wanauwa wajumbe. Mzee warioba Mungu akulinde
 
Bwana AMEETOA na Bwana AMETWAA.Polen ndugu,jamaa,marafiki.TUTAKUKUMBUKA DAIMA DR.MVUNGI
 

Tenaaaaa
 
Neno la kwenye biblia limetimia.

"Kwa jasho la uso utakula chakula chako hadi utakaporudi ardhini, kwa kuwa ulitwaliwa kutoka humo, kwa kuwa wewe ni mavumbi na mavumbini wewe utarudi" (Mwanzo 3:19).

"Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo" (Yohana 14:2)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…