nchasi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 564
- 185
Auwaye kwa upanga................
Inatia uchungu sana kuwauwa watetezi wa taifa kwa sababu ya maslahi ya haohao wanaokufa kesho badala ya kutizama mbele zaidi kwamba hata vizazi na vizazi vingeufaidi mchango wa marehemu. Ee mungu tunakuomba umpokee mja wako na utupe mbadala katila harakati hizi.
Inatia uchungu sana kuwauwa watetezi wa taifa kwa sababu ya maslahi ya haohao wanaokufa kesho badala ya kutizama mbele zaidi kwamba hata vizazi na vizazi vingeufaidi mchango wa marehemu. Ee mungu tunakuomba umpokee mja wako na utupe mbadala katila harakati hizi.