TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

duh r.i.p Dr wa ukweli, ila sema hii hari ingelikuwa imethibitiwa tangu kwa akina ulimboka haya matukio yangekoma, lakini leo sirikali inaleta ngojela tu. Sasa nadhani kuna umuhimu wa kuwa na ulinzi binafsi!
 
he didn't lecture me but he was my lecturer back UDSM
dirty game took him away
may his soul R.I.P...!!!
 
Last edited by a moderator:
siasa mpaka misibani? WATZ mnatufikisha huko? yaani nani atakuwa wa kwanza na nani atahudhuria ni mitaji yenu wanasiasa? kwa kweli ndo maana mpo tayar kununu VIROBA ili vijana muwaendeleezee ujinga hata kama mnajua mnawaua na familia zao_haki ya nani mna mengi ya kujibu kwa M/mungu
 
Naona safari hii kazi ajafanya. Rama maana inaonekana ipo Tofauti kabisa na zile zilizopita.

Chocjonde wadau inaonekana kwa sasa wanakijana/vijana wapya kabisa wa shughuli hii na kwa walichokifanya kwa Mvungi hakika hawa wapo Professional zaidi.

Kova anakamata wanywa Gongo anasema ndio wahusika.
 
Amekufa kutokana na kazi ya kuhuisha roho ya taifa? Ina maana hao waliomvamia wamefanya hivyo kwa sababu ya ujumbe wake wa katiba? Kwani Mvungi ni nani hadi awe na sababu ya kuuawa na asiwe Warioba au jaji Ramadhani?

Hali ya ujambazi ni ya kutisha nchi nzima, na watu wanakufa kila kunapokucha, sema tu kwamba huku mitaani kwetu tukifa, wanaonekana wamekufa panya tu, si polisi wala viongozi wa serikali wanaojitokeza kuonyesha japo maskitiko yao kutokana na kitendo hicho. Juzi tu nilikuwa majohe huku maeneo ya pugu, ujambazi uliopo huko unatisha. Nenda maeneo ya Chanika na rudi ukonga, hadi huko mbezi na kimara. Watu wanazika kila siku kutokana na kuuawa kwa mapanga au risasi. Ila sema tu kwa kuwa hakuna serikali basi tumekuwa tukijizikia ndugu zetu kimyakimya, na hakuna yeyote anayekamatwa kuhusiana na matukio hayo. leo kwa kuwa ameuawa Mvungi tunasema ameuawa kutokana na kazi yake. Hawa wengine wanaokufa kila siku wenyewe huwa wanauawa kutokana na nini? kwanini tusikubali tu kuwa usalama wa nchi hivi sasa ni mbaya? Tukubali ukweli kwamba hali ya nchi yetu ni mbaya, na tunahitaji kuchukua hatua makini kukabiliana nyao na si kusingizia halbari ya kazi yake.

Mkuu nyamaza, kichwa cha katiba ndo hivyo kimesha zimwa na wahuni.
 
Daudi Safari-mwenzako kwenye kesi ya RWAKATARE walimtosa wakamuacha gerezzani na ndiye at least kule mtaa wa Ufipa anajulikana, wewe uliyetoka huku..........................utafia gerezani kwa kukosa dhamana tu.
 
Last edited by a moderator:
Vibaka 9 waliohusika wamekamatwa na vijana wa kamanda Kova. Wamekutwa na mapanga pamoja na baadhi ya vitu walivyopora ikiwemo Simu ya marehemu Dr. Mvungi.
 
chadema ndio wanaotakiwa kujibu issue ya dr kupigwa mapanga sha,wao ndo watakuw wahusika wakuu wa hili tukio!huu ni mwendelezo wa ile muvi ya kuteka watu na kuwatesa kama walivyofnya ulimboka

Kuna watu hawako serious jamani,mods pigeni ban wehu kama huyu...R.I.P dr Mvungi
 
Serikali imesahau sana maeneo ya pembezoni na vijijini, hakuna vituo vya polisi, ukienda vijijini utashangaa.. Km 100 hakuna polisi!? Miaka 50 ya uhuru...

Eneo hili anakumbukwa Mzee wa Kiraracha A.L. Mrema
 
RIP Dr. Mvungi hata mimi amenifundisha Jurispudence. Inabidi ulinzi uimarishwe pembenzoni mwa Dar mfano Goba walimkata mapanga yangu mmoja kwa kuanza na mkato wa msalaba kichwani, mguu na mkono walishindwa kuvitenganisha kasha wakamalizia kwa kumng'oa meno manne (4). Mstaafu mmoja alilawitiwa mbele ya familia na mkewe kubakwa hadharani. Miezi miwili imepita haijulikani kama huyu Mzee amejiuwa au amehama jiji. Hii nguvu ya kung'oa kucha; meno na jicho dhidi ya akina Dr. Ulimboka na Kibanda tungeilekeza huko Goba; Mbezi Mpigi na maeneo yote hatarishi hapa Dar na kwingineko nchini.

Hii ni hatari sana,dunia imebadilika sana,hii ndo tanzania watu km dr mvungi wanapoteza maisha kwa bei rahisi halafu mtu km mwigulu anaishi.
 
najaribu kuvuta taswira kichwan mwangu namuona kajirita anashikwa makalio ametulia tuli haangaiki,naona mwanaume mwenzie anakuja anamuwekea dushelele lake

Jamani tofautisheni kati ya masiara na kifo cha ukweli.
 
Na doubt matumizi yake kwenye pesa za ulinzi.
 
Back
Top Bottom