TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

Tatizo la kutolelewa na wazazi ,hujuh ni wakati gani uongee nini na wakati gani ufiche ujinga wako.

Mkuu tupo msibani unataka malumbano ya nini? Yeye kaeleza hisia zake na jinsi anavyomfahamu Dr. Mvungi. Sasa unataka ya Lema kwani kafa?! Subiri afe ndio uone aina ya salam za rambi rambi zitakzo tolewa.
 
Comedian wa Jeshi la Polisi alishasema eti kofia ya CHADEMA ilipatikana kwenye crime scene

This is where there is a link ( political assassination with blaim shift). Tulishajua janja yao. Yanamwisho. Tulishajitambua. Time will tell.
 
We are sorry for your loss.
Dr sengondo mvungi, was such a great person,
he will live on in our memories forever
 
R.I.P. Dr Sengondo Mvungi!Ulikuwa shujaa wa kweli wa watanzania!
 
WAMEMUUWA, HANA KOSA LOLOTE, MSIMAMO WAKE ULIKUWA MADHUBUTI, NAAMINI WAMEMUUA, KAMa KAWAIDA YAO
 
Watu wote mnaotukana sidhani kama mnamtendea mema matehemu na familia yake. Mtmbuweni kuwa huu ni wakati wa maombolezo tu, si vyema kuzidi kuipa familia yake machungu ya kuzidi mnooo. Wauwaji wamekamatwa na ushahidi upo tusubiri sasa sheria uchukuwe mkondo wake. Kama walihusika kibinafsi ama kichama ama kiushabiki tu, yote yatafahamika, tusizuwe mambo baadaye tukajenga Uadui usio na maana yeyote. Mimi naamini hao jamaa hivi sasa miongoni mwao yupo anayejuta sana sana. MWENYE ENZI, MUNGU AMLIPE MEMA ALOYACHUMA. POLENI SANA FAMILIA PAMOJA NA WANAFUNZI WAKE MARAFIKI NA WOTE WENGINEO MLOGUSWA NA MSIBA HUU KWA NAMNA YE YOTE ILE. TUKITAMBUA UTAIFA WETU MAKUNDI HAYATA TUDHURU. AAAAMIIIIIIIN
 
RIP Dr. Mvungi!

Ndg Watanzania wenzangu, kila kukicha tunashuhudia mauaji ya watanzania wenzetu wasio na hatia, tena raia wa kawaida! swali la kujiuliza ni; Kama ujambazi umeongezeka sana hapa nchini ni kwanini wananchi wa kawaida tena wale wanaoonekana kupingana na serikali ndio wanaumizwa? Kwanini mtu kama Lukuvi, Wassira, Pinda tusisikie wamejeruhiwa? wengine watakuja na hoja mufilis kuwa hao viongozi wanalindwa, je vp kuhusu Nape, Nchemba, Ridhiwan, Sendeka na wahuni wengine wa CCM na serikali yao?

Kumbe hawa wahuni wanalindwa na kodi zetu alafu asante yao ni kuwadhuru na kuua raia walipa kodi wa nchi hii?

Ndg zangu watanzania, mtakumbuka kuwa hapajawahi kutokea mauaji ya kinyama ya aina hii unaofanywa na serikali ya ccm katika awamu zote isipokua hii ya huyu FISADI KIKWETE!-shame on him! Hivi huyu mbumbavu hudhan yeye hatokufa? Atakua Rais maisha? Hato-face mkono wa sheria?

Hata Kikwete acheze vipi kete ya mwisho ya kuwapatia wananchi KATIBA eti kama ndio zawadi, nasema hatokwepa mkono wa sheria aslani! DR. MVUNGI sio mtu wa kumpoteza katika kipindi hiki muhimu sana kwa nchi yetu kuelekea kupata Katiba mpya!

DR. mvungi, nenda salama, pumzika kwa amani lakini usijali, maana umewa-grom wengi, tupo mia mamilioni wenye mtazamo kama wako. Walidhani wakikuondoa katika uso wa hii dunia, basi watafanikiwa kumbe kazi ndio kwanza imeanza!

Tumejawa na hasira, Hasira ya kusonga mbele daima kurudi mwisho! Kifo cha DR. Mvungi shujaa wetu, kiwe ni alama ya ukombozi wa taifa mama Tanzania kutoka kwa wakoloni weusi ccm!

Kifo cha DR. Mvungi, ni ishara ya kuzaliwa mamilioni kama MVUNGI. We are very, very close! Tusikate tamaa!!

mkuu huo ndio ukweli, kama taifa hasa wana harakati inabidi muwe maikini sana.
 
Si kila kifo ni mpango wa mungu, maandiko yanatwambia ''msimwogope awezae kuua mwili ila hawezi kuua roho'' wamemuua.. Ila nao watakufa...
 
Kabla ya kukulaumu natamani kwanza kujua mama yako na baba yako then nilinganishe muunganiko gani wa begu za kijinga zinazoweza kutoa kiumbe asiye kuwa na chembe hata moja ya akili? Pole sana kwa bahati mbaya.

anza kwanza na wazaz wako tena kwa upande wa mama,then ulinganishe na akili ya yule mwanaume aliyezaa naye wanje!ukimaliza ndo uhamie kwang
 
RIP DR.Edmund Sengondo Mvungi,Poleni sana Watanzania kwa kupoteza avery potential resource.Ni pigo kwa wananchi na ushindi kwa wauaji,mawakala wa wachukia mabadiliko na mafisadi.
 
Back
Top Bottom