ngaro
Senior Member
- Jul 1, 2012
- 111
- 49
Hii imeniuma sana... This was planned ...na sio majambazi wa kawaida..hawa wametumwa ili kufifisha juhudi za kupata katiba mpya...yule comedian wa jeshi la polisi anasema wamekamatwa...lakini huwezi kukamata wauza gongo kisha ukawapa hii kesi...
Watanzania tubadili namna ya kufikiri matukio...tufikiri in 3 way dimension..kwanini documents zae zimetoweka..laptop nk...
Hakuna atakaye baki duniani...wamepanga ila Allah yupo...
R.I.P Dk Mvungi....
Watanzania tubadili namna ya kufikiri matukio...tufikiri in 3 way dimension..kwanini documents zae zimetoweka..laptop nk...
Hakuna atakaye baki duniani...wamepanga ila Allah yupo...
R.I.P Dk Mvungi....