TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

Go and rest brother,you have already put you mark in this nation we wont forget you,forever and always we will remember you,and cherish your works and achievements in our hearts always
 
Kwa kweli inasikitisha sana hawa watu kukatisha maisha ya dr sengondo mvungi,hatua kali kali zidi ya wahusika ichukue mkondo wake.mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi.Amina
 
Kwa nn hutaki kuutambua msiba mkubwa kama huu. Walioshiriki mauaji wamekamatwa na wao ndo watakao elezea sababu za kuua. Sasa nyinyi majajibush inamaana mmbnataka kuanza kuharibu ushahidi ama nn sasa badala ya kuwafariji wafiwa mnaona mmepata dili la siasa. Mnajua siasa mnamachungu kumshinda Ali Songea, Mkwawa, Mirambo, Kinjakitile. Kula kulala acheni upumbavu wenu wajinga wa mwanzo na mwisho. Matusi yakijinga, manapita barabara za lami njooni mlime kijijini tuwajuwe napenda mabadiliko, mpate vumbi na matope ndiko chukula kinapotoka. Mmekaa mjini matusi matusi asubuh hadi jioni hamna kazi za kufanya kwa kuogopa jembe,
 
frankly speaking hatuna waziri wa mambo ya ndani huyu mh ametumikia ccm kwa muda mrefu amesoma akiwa ccm ameoa akiwa ccm kazi ameanzia ccm umoja wa vijana tutegemee nini kipya kutoka kwake lazima atumikie shetani wake ona walivyokuwa wanatoa taarifa za watuhumiwa ,taarifa ilitoka kwa kuchelewa sana as if walikuwa wanasubiria kitu na toka lini waziri akawa msemaji wa matukio badala ya kova kulikoni

Rweye na huyu ni mswahili?
 
Ee Mola ilaze mahali pema peponi roho ya mja wako Dr. Sengondo Mvungi, Ameen
 
Duh....nimekumbuka January 2007 pale Oceanic bay bagamoyo.....tukiwa kwenye semina ya wiki moja na tulikaa adjoining rooms!
Buriani Daktari,Buriani Mvungi!
 
Atrocities in every corner of the globe.

When shall all these evil deeds and devils get vanished?!!!

People are not in a happy disposition just because of people.

Now, who gonna work out on this?
We are looking at each other with mischievous eyes!!!
People trust nobody,this is where we have landed.

Very very very sad!!!
R.I.P ,Dr.Mvungi
 
Nimesikitishwa sana, na kifo cha Dr. Mvungi, binafsi sitamsahau,maana alikuwa mtetezi wa wanyonge, Tunakwenda wapi tanzania? waliohusika wanastahili kunyongwa.
 
Kuna watu wataenda kuuza sura kwenye msiba wake, huku wakiwa wanajua fika wao ndiyo wamemuua. Wanafiki pahala pao ni jehanam tu..
 
Kwa kweli inasikitisha sana hawa watu kukatisha maisha ya dr sengondo mvungi,hatua kali kali zidi ya wahusika ichukue mkondo wake.mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi.Amina

Hivi mhakifu anaweza kumchukulia hatua mhalifu mwenzake!
 
duh.!! Mwenyezi Mungu akupe pumziko la milele mahara pema. umetutangulia wewe mpiganaji , ila nasi tupo njia moja.Amen
 
Hivi Tanzania ya Kova haina movie ya hiki kifo au Mwigulu nae kafa?? Unajua nashindwa kuwaelewa hawa watu, hawana jokes kama kawaida yao?? Huu siyo UGAIDI kweli?? Mwigulu ushahidi wa mbinguni p'seee
 
Pumzika kwa Amani Dr Mvungi tutakumbuka mchango wa muhimu kwa taifa letu la Tanzania
 
Wakati tunafakari nyendo zetu hapa dunia wakati huu wa Msiba mzito kwa Taifa kutokana na kifo cha Dr. Mvungi (alikuwa mjumbe wa kuandaa rasmu ya katiba mpya ya Tanzania)....ebu tusikilize wimbo wa Mbaraka Mwinyishehe (R.I.P) alioimba baada ya kutokea kifo cha Dr. Kreluu...ni kuanzia dakika 0:00 mpaka dakika ya 4.30 katika link hii >>>>>>>>

>>>>>>>>>>Mbaraka Mwinshehe: Kifo chake Dr. Kleruu; Tunachogombea nini - YouTube
 
Ole wako ardhi uliyefunguka na kuinywa damu ya Dr Mvungi. Munge akupe amani ambayo hukuipata hapa duniani. Pumzika kwa amani.
 
Back
Top Bottom