Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 7,729
- 3,569
usikubali kuingia mkenge kifalafala tu ivoWivu wa kijinga bakiza huko huko failed state.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usikubali kuingia mkenge kifalafala tu ivoWivu wa kijinga bakiza huko huko failed state.
Bonge la FIX.
Kama mchina alivyo waingiza mkenge na zile mitungi ya changaa.usikubali kuingia mkenge kifalafala tu ivo
mwisho wa siku,, tuko na kitu cha kuonesha. Mturuki alipotea porini na mpaka sasa hajulikani alikoKama mchina alivyo waingiza mkenge na zile mitungi ya changaa.
Kapotea according to mtu anayesumbuliwa na wivu baada ya mchina kuwaingiza mkenge kwa kuwaletea mikebe ya changaa.mwisho wa siku,, tuko na kitu cha kuonesha. Mturuki alipotea porini na mpaka sasa hajulikani aliko
cheki,, nyinyi sio wa kuonewa wivu... nyinyi ni wa kuhurumiwa tu na wala usininukuu vibaya. yaani munatia huruma kwa kipande cha 200km ambacho mpaka sasa hakijulikani kilipofikia. mulidhani kujenga reli ni kama kugawanya mapaipai?Kapotea according to mtu anayesumbuliwa na wivu baada ya mchina kuwaingiza mkenge kwa kuwaletea mikebe ya changaa.
Badala uhurumie mitungi yenu ya changaa inayopiga hasara, 60s technology, reli isiyoenda popote iliyoishia porini, mmepigwa pesa nyingi,cheki,, nyinyi sio wa kuonewa wivu... nyinyi ni wa kuhurumiwa tu na wala usininukuu vibaya. yaani munatia huruma kwa kipande cha 200km ambacho mpaka sasa hakijulikani kilipofikia. mulidhani kujenga reli ni kama kugawanya mapaipai?
Hao waheshimiwa wapiti huu uziRais wa Zanzibar Mh Dr Shein amesema kabla hajamaliza muhula wake wa uongozi atahakikisha sheria ya kuwatambua Wazanzibari (Watanzania wanaoishi nje ya nchi inakuwepo).
Pia Msemaji wa Zanzibar amesema mipango ya kujenga daraja la kuiunganisha Zanzibar na Tanzania bara imekamilika na taratibu za zabuni mbalimbali zinafanyiwa kazi.
Chanzo: Star Tv Habari
Maendeleo hayana vyama!
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein, amewahakikishia wanadiaspora kuwa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itasimamia na kuhakikisha kuwa sheria ya Diaspora inakamilika kabla ya mwezi Mei, 2020.
China to Macau..
Welcome Zenji to TZ bara bridge..
Wazanzibara mtusamehe maana wabara tutakuja sana huko..
kweli kumbe Bara mpaka Kisiwa cha Zanzibar ni 23miles au 35km
yanawezekana hayo ya daraja la 36km
lkn wenzetu hasa waOman watanuna hao!!!! maana visiwa vyao
nimeikuta mahali hii kitu
![]()
14 Things to Know Before You Go to Zanzibar
Getting lost in Stone Town and getting on Swahili time: smart travel on the Spice Islands.roadsandkingdoms.com
Katafute mavi ya kuku ubanje!Your comment shows how short minded you are. Kwanini isiwezekane daraja kujengwa kati ya Zanzibar na Tanzania Bara? Kwasababu Chadema imeshindwa kujenga ofisi za chama unafikiri basi wengine hawawezi kufanya mambo makubwa?