Umeishi Ukonga ipi mkuu ??Hao watakuwa wanaota ndoto za mchana, wenyewe si ajabu hata maisha yao hawayamudu hizo pesa za daraja watoe wapi. Nadhani watu wanatafuta kiki za ubunge 2020.
Nimeishi UK najua lifestyle ya Wabongo wengi tuu so tusidanganyane
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka picha ya daraja la kuelea tuioneView attachment 1303651
Mwenyekiti wa Baraza la Diaspora Duniani(TDC Global)Norman Jasson amesema kuwa Watanzania waishio Nchi za nje (Diaspora)wapo kwenye mkakati wa kujenga daraja lenye urefu wa takribani Kilomita 30.01 kutoka DSM hadi Zanzibar .
_
Kwa sasa wanasubiri Baraka za Serikali ili kuanza upembuzi yakinifu ili kujua gharama za ujenzi wa daraja hilo, Daraja hilo litakuwa na njia 3, moja ni kupitisha magari yanayotoka DSM kwenda Zanzibar na njia ya pili ni magari yanayotoka Zanzibar kuja DSM na njia ya tatu ni kwa ajili ya watembea kwa miguu na waendesha baiskeli.
_
Mapendekezo matatu ya ujenzi wa Daraja hilo yametolewa ambayo ni moja, kujenga Daraja la kupita ndani ya Bahari, pili Daraja la kupita juu na tatu ni daraja linaloelea majini ambalo ndilo lililopendekezwa na ujenzi wake ni rahisi maana hutengenezwa Nchi Kavu na kusafirishwa na Meli na kisha kuunganishwa.
_
Daraja la ndani ya maji halikuchaguliwa kwasababu ndani ya maji DSM badi Zanzibar kuna mkondo wa maji na maporomoko, Daraja la juu halikuchaguliwa kwasababu Bahari ya Hindi eneo hilo kuna kina kirefu, Daraja la kuelea limechaguliwa kwasababu ujenzi wake ni rahisi na gharama zake ni nafuu na garantii yake ni miaka 100
Wakifarikigi huko abroad pesa za jeneza na kuwasafirisha mbinde, leo eti wanataka kujenga daraja!View attachment 1303651
Mwenyekiti wa Baraza la Diaspora Duniani (TDC Global) Norman Jasson amesema kuwa Watanzania waishio Nchi za nje (Diaspora) wapo kwenye mkakati wa kujenga daraja lenye urefu wa takribani Kilomita 30.01 kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar.
Kwa sasa wanasubiri Baraka za Serikali ili kuanza upembuzi yakinifu ili kujua gharama za ujenzi wa daraja hilo, Daraja hilo litakuwa na njia 3, moja ni kupitisha magari yanayotoka DSM kwenda Zanzibar na njia ya pili ni magari yanayotoka Zanzibar kuja DSM na njia ya tatu ni kwa ajili ya watembea kwa miguu na waendesha baiskeli.
Mapendekezo matatu ya ujenzi wa Daraja hilo yametolewa ambayo ni moja, kujenga Daraja la kupita ndani ya Bahari, pili Daraja la kupita juu na tatu ni daraja linaloelea majini ambalo ndilo lililopendekezwa na ujenzi wake ni rahisi maana hutengenezwa Nchi Kavu na kusafirishwa na Meli na kisha kuunganishwa.
Daraja la ndani ya maji halikuchaguliwa kwasababu ndani ya maji DSM badi Zanzibar kuna mkondo wa maji na maporomoko, Daraja la juu halikuchaguliwa kwasababu Bahari ya Hindi eneo hilo kuna kina kirefu, Daraja la kuelea limechaguliwa kwasababu ujenzi wake ni rahisi na gharama zake ni nafuu na garantii yake ni miaka 100.
[emoji23][emoji23][emoji23] nilicheka sana kuskia hii mazafantazWakifarikigi huko abroad pesa za jeneza na kuwasafirisha mbinde, leo eti wanataka kujenga daraja!
Umenikumbusha miaka kama mitatu imepita kuna jamaa alifia France haaaa haaaa kusafirisha mwili wake ilikuwa inshu ilibidi Ndugu zake huku bongo wachangishane ili kuongezea pesa ya kuleta mwili sasa hilo daraja wanajenga kwa pesa ganWakifarikigi huko abroad pesa za jeneza na kuwasafirisha mbinde, leo eti wanataka kujenga daraja!
Kuna jambo lingine nyuma yake subirini.....hao wabeba ma box wanao fanya 'odd jobs' kule hawana uwezo wa kua organised kiasi hicho kabisa kuna bepari analetwa kwa mgogo wa diaspora abinafusishiwe akusanye pesa yake miaka yote, anataka kuzima kalele za raia tu, namna hiyoBaba zao na mama zao wanakufa huku, wanashindwa kuja kuzika sababu hawana nauli. Uwezo wa kujenga Hilo daraja wanapata wapi?
Wanafia huko nje, maiti zinakaa miezi nane ndipo ziletwe bongo.
Wanashindwa kusaidiana wakati wa dhiki watawezaje kujitolea daraja na wao wamechoka?
Aisee wajenge daraja kama la kigamboni au la salenda ilo la kuelea au chini ya maji kwa TZ tunaweza kuua watu,njia tatu ni design nzuri sana.View attachment 1303651
Mwenyekiti wa Baraza la Diaspora Duniani (TDC Global) Norman Jasson amesema kuwa Watanzania waishio Nchi za nje (Diaspora) wapo kwenye mkakati wa kujenga daraja lenye urefu wa takribani Kilomita 30.01 kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar.
Kwa sasa wanasubiri Baraka za Serikali ili kuanza upembuzi yakinifu ili kujua gharama za ujenzi wa daraja hilo, Daraja hilo litakuwa na njia 3, moja ni kupitisha magari yanayotoka DSM kwenda Zanzibar na njia ya pili ni magari yanayotoka Zanzibar kuja DSM na njia ya tatu ni kwa ajili ya watembea kwa miguu na waendesha baiskeli.
Mapendekezo matatu ya ujenzi wa Daraja hilo yametolewa ambayo ni moja, kujenga Daraja la kupita ndani ya Bahari, pili Daraja la kupita juu na tatu ni daraja linaloelea majini ambalo ndilo lililopendekezwa na ujenzi wake ni rahisi maana hutengenezwa Nchi Kavu na kusafirishwa na Meli na kisha kuunganishwa.
Daraja la ndani ya maji halikuchaguliwa kwasababu ndani ya maji DSM badi Zanzibar kuna mkondo wa maji na maporomoko, Daraja la juu halikuchaguliwa kwasababu Bahari ya Hindi eneo hilo kuna kina kirefu, Daraja la kuelea limechaguliwa kwasababu ujenzi wake ni rahisi na gharama zake ni nafuu na garantii yake ni miaka 100.
Ha ha haaaa naona wabeba box wanataka kujitutumuaHao watakuwa wanaota ndoto za mchana, wenyewe si ajabu hata maisha yao hawayamudu hizo pesa za daraja watoe wapi. Nadhani watu wanatafuta kiki za ubunge 2020.
Nimeishi UK najua lifestyle ya Wabongo wengi tuu so tusidanganyane
Sent using Jamii Forums mobile app
Jengeni ile Banda ri ya Mpiga duri kwanza ikiwa nyinyi ni wa kweli na wenye Mapenzi na Zanzibar.Pia Msemaji wa Zanzibar amesema mipango ya kujenga daraja la kuiunganisha Zanzibar na Tanzania bara imekamilika na taratibu za zabuni mbalimbali zinafanyiwa kazi.