Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Mkuu,,,hiyo ID yako inaonekana ulifnya research kubwa,,[emoji23]Dr. Louis Shika Kid amepokea sehemu kidogo ya mpunga wake $60m kama shilingi bilioni 130 na zaidi za madafu. Dr. Shika amesikika akisema ''Tutaelewana''. Sasa amehama makazi na sasa anaishi makazi bora kabisa ambayo ni ghorofa ambalo kwa ndani linaonesha si haba.
Nikweli..Na kuna video IPO YouTube ..Shigongo katika ubora wake ameona mwanzo hakufaidi,
Ni mpumbavu pekee atakayeamini huu ujinga,
Eti kanywa ile wine ya dompo.Kaonesha makucha yapi sasa?
Wamemtumia weee wameshindwa kumpa hata ka baby walker...
Wanaanza tena.
Namuonea huruma huyu baba...Halafu ukiisikiliza ile interview ya kusafirisha hela kutoka Airport - BOT - ECO Bank head office - ECO Bank branch unajua tu ni famba.
Kama una account ECO Bank Branch A, hela ikienda Head Office ambapo pana Branch unadeposit hapo hapo.
Inagharimu kiasi gani ile?Eti kanywa ile wine ya dompo.
unafanya nini tabata?Mbona nimemuona huku Tabata mawenzi anazurura..ingawa yuko smart mashaAllah
Atamuambia atoe kodi aukunywa hicho anachokunywa................. hapo asipoangalia baba jurgen atamzengua maana anapenda pesa mchaga anasubiri