Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa....maana mipumbav ni wengiWabongo wanashikwa akili na gigy money,sembuse Dr shika
Tutaelewana tuNmekuelewa
Kwanza BOT, Sidhani Kama Kuna Account Za Wateja Wa NjeHalafu ukiisikiliza ile interview ya kusafirisha hela kutoka Airport - BOT - ECO Bank head office - ECO Bank branch unajua tu ni famba.
Kama una account ECO Bank Branch A, hela ikienda Head Office ambapo pana Branch unadeposit hapo hapo.
hata mm nmemuona juzi mnazi mmoja na bwanga lake[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mbona nimemuona huku Tabata mawenzi anazurura..ingawa yuko smart mashaAllah
Dr. Louis Shika Kid amepokea sehemu kidogo ya mpunga wake $60m kama shilingi bilioni 130 na zaidi za madafu. Dr. Shika amesikika akisema ''Tutaelewana''. Sasa amehama makazi na sasa anaishi makazi bora kabisa ambayo ni ghorofa ambalo kwa ndani linaonesha si haba.
Dr. Louis Shika Kid amepokea sehemu kidogo ya mpunga wake $60m kama shilingi bilioni 130 na zaidi za madafu. Dr. Shika amesikika akisema ''Tutaelewana''. Sasa amehama makazi na sasa anaishi makazi bora kabisa ambayo ni ghorofa ambalo kwa ndani linaonesha si haba.
........Na kimepata mkunaji!Kipele kiota sasa