Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Namuonea huruma huyu baba...
Nilikutana nae mahali yupo poa sana kuongea na watu nadhani hawa mafisadi ndio wanachukua hiyo advantage kumtumia kwa maslahi yao binafsi.
Anatia huruma sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namuonea huruma huyu baba...
Nilikutana nae mahali yupo poa sana kuongea na watu nadhani hawa mafisadi ndio wanachukua hiyo advantage kumtumia kwa maslahi yao binafsi.
ha ha ha huwa hatabiriki huyo mtu anaweza kmwambia hata ni fisadi 😱😱😱😱😎inategemea tu jana yake alilala na kitu gani kichwaniAtamuambia atoe kodi au
ni kwasababu anatumia dola na anamtumia boss wake lakini yana mwisho na pia hakutumia akili ameaibika saaaaaanaILA PAMOJA NA KWAMBA KAMA NI KWELI YULE JAMAA ANA ZERO BRAIN ILA AMEFANIKIWA KUWAKAMATA WASOMI WENGI WA DAR ES SALAAM NA HATA TANZANIA KWA UJUMLA WAKE.WEW JAMAA KAWAKAMATA WAUZA NGADA, KAWAKAMATA WALIOTELEKEZA WATOTO,KAMKAMATA GWAJIMA NA MBOWE, KAMKAMATA RUGE WA CLOUDS NA MEDIA YOTE, KAWAKAMATA WABUNGE NA MAWAZIRI, KAWAKAMATA WATUMISHI WA UMMA MKOANI KWAKE AISEE HUYU JAMAA NI HATAREEEE. COMENT NANAI UNATAKA AWE RAI WAKO AJAE BAADA YA MAGU.MIMI NAANZA NA DAB
Mtangazaji mwenyewe hapo keshalegea. Hili zee ni lisanii la kiwango cha lamimadada wa mjini hapo wanamnyemelea kumuita baby
Ukitaka kujua tabia halisi ya mwanadamu mpe vitu viwili tu.ILA PAMOJA NA KWAMBA KAMA NI KWELI YULE JAMAA ANA ZERO BRAIN ILA AMEFANIKIWA KUWAKAMATA WASOMI WENGI WA DAR ES SALAAM NA HATA TANZANIA KWA UJUMLA WAKE.WEW JAMAA KAWAKAMATA WAUZA NGADA, KAWAKAMATA WALIOTELEKEZA WATOTO,KAMKAMATA GWAJIMA NA MBOWE, KAMKAMATA RUGE WA CLOUDS NA MEDIA YOTE, KAWAKAMATA WABUNGE NA MAWAZIRI, KAWAKAMATA WATUMISHI WA UMMA MKOANI KWAKE AISEE HUYU JAMAA NI HATAREEEE. COMENT NANI UNATAKA AWE RAIS WAKO AJAE BAADA YA MAGU (2034.....) MIMI NAANZA NA DAB
Mtangazaji mwenyewe hapo keshalegea. Hili zee ni lisanii la kiwango cha lami
always pesa inakupa madaraka in one way or anotherUkitaka kujua tabia halisi ya mwanadamu mpe vitu viwili tu.
1.Fedha/pesa
2.Mamlaka/Madaraka
Nikweli..Na kuna video IPO YouTube ..
ILA PAMOJA NA KWAMBA KAMA NI KWELI YULE JAMAA ANA ZERO BRAIN ILA AMEFANIKIWA KUWAKAMATA WASOMI WENGI WA DAR ES SALAAM NA HATA TANZANIA KWA UJUMLA WAKE.WEW JAMAA KAWAKAMATA WAUZA NGADA, KAWAKAMATA WALIOTELEKEZA WATOTO,KAMKAMATA GWAJIMA NA MBOWE, KAMKAMATA RUGE WA CLOUDS NA MEDIA YOTE, KAWAKAMATA WABUNGE NA MAWAZIRI, KAWAKAMATA WATUMISHI WA UMMA MKOANI KWAKE AISEE HUYU JAMAA NI HATAREEEE. COMENT NANI UNATAKA AWE RAIS WAKO AJAE BAADA YA MAGU (2034.....) MIMI NAANZA NA DAB
Uzuri ni kuwa, mvamizi amekaribia kukabidhiwa containers zake.itakuwa makontena ya yule mvamizi wa kituo cha runinga...... wanataka kupoteza na ndo yeye anafanyaga uhuni huu
Watanzania ukichaa huwaishi kabisa...yani huyu mgonjwa aliwadanganya mwanzo na sasa ana wadanganya tena wana kubali hahahaha
Dr Shika endelea kuwalaghai matahira
Hazipo ni kiki za shigongo tuuuAsipozitumia kwa umakini zinaisha haraka
Asipozitumia kwa umakini zinaisha haraka