Dr Slaa: 2015 Nilipelekwa Italia for Presidential Training kwa Mkufunzi wa Angela Mark wa Ujerumani, niliandaliwa Mgombea Urais

Kikwete aliwahi sema Uraisi hausomewi

Slaa hayo ya kusomea uraisi kayatoa wapi?.

Maraisi wote wa Tanzania hakuna aliyewahi kusomea uraisi

Wazungu wimtapeli Slaa kumsomesha elimu feki.yenye cheti feki
Hawasomei ndio lakini watu makini wanapitia coaching za kitalaam kama akina Obama, Macron, Angela Mark, Putin, etc.


Huku kwetu watu wanajiendea endea tu ndio maana tuko hapa tulipo
 
Mimi nilikuwa nimeacha kuingia mitandao ya CH na Maria Space lakini aliyenirudisha ni Dr.Slaa Mzee wetu huwa ni muwazi kama Lissu.
Huko Nyuma hatukuwa tumemwelewa mpaka Lissu alipoamua kugombea Uenyekiti Mambo yamekuwa wazi sana
 
Huko Nyuma hatukuwa tumemwelewa mpaka Lissu alipoamua kugombea Uenyekiti Mambo yamekuwa wazi sana
Dr.Slaa ni kama alizulumiwa nafasi yake ya kugombania Uraisi wa Tanzania.

Mbowe alimchinjia mtoni Mzee wa watu na kuleta mtu anayetuhumiwa na UFISADI na RUSHWA kutokea CCM.
 
Unajua kwanini Kila Rais duniani akichaguliwa lazima aende Vatican? Hata Mama alienda?
Varican ni nchi kama nchi nyingine yoyote ulaya. Viongozi wa mataifa mengine huenda huko kwa mialiko ya kidiplomasia.

Hii ya viongozi wote duniani kutembelea Vatican ni hekaya kama helaya nyingine.

Viongozi wengi sana duniani hawajawahi kukanyaga Vatican. Mfano mrahisi ni Xi Jinping, nchi yake haina hata mhusiano ya kidiplomasia na Vatican. Wajinga ndio waliwao na mabeberu.
 
Uongo mtupu...

Hizo ni siasa tu
 
Hawasomei ndio lakini watu makini wanapitia coaching za kitalaam kama akina Obama, Macron, Angela Mark, Putin, etc.


Huku kwetu watu wanajiendea endea tu ndio maana tuko hapa tulipo
Hao waliofanyiwa coaching kuna nini kikubwa sana cha maana kinachokumbukwa walichokifanya kwenye tawala zao?
 
Umesema viongozi wengi sana hawajaenda ila ukataja mfano mmoja tuπŸ˜…
 
Ukaamini kabisa maneno yake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Hata ubalozi alipewa na huyo balozi ea Canada.
 
Dr.Slaa alikuwa ameshaandaliwa kutwaa madaraka ghafla akaletewa Lowassa na Mbowe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…