Dr. Slaa: Fungu la 23 la Ikulu halikaguliwi na CAG, tusipopiga kelele sasa milioni 150 keshokutwa itafikia bilioni 3

Dr.slaa wacha unafiki bwana wako magufuli alichagia ujenzi wa msikiti dodoma na hatukusikia chochote kutoka kwako au kwa hao jamaa zao wanaokuunga mkono leo samia kuchangia kanisa imekuwa nongwa ,ingawa mimi kwa Imani yangu siungi mkono muislamu kuchangia kanisa lakini najuwa rais amefanya hivyo kisiasa tu.
 
Slaa kama muadilifu kweli aanze kupinga ule mkataba wa serikali na kanisa,aache unafiki.
 
Nani ana uhakika Vote 23 ndio imechangia milioni 150 Kanisani.
 
Mkuu mmngeanza kuhoji wakati Magufuli alipoanza kutoa milioni tano tano barabarani kwa watu mbali mbali pamoja na kuchangia makanisa na misikiti.

Mwanzoni Rais Samia alisema yeye na Magufuli hawana tofauti, umoja wao ni kwa mambo ya namna hiyo. Bahati mbaya zaidi Magufuli alishaweka precedence mbaya matumizi ya namna hiyo!

Tusiangalie tulipo angaukia bali tulipo jikwaa. Kipindi hiko kila mtu alikuwa kimya pamoja na Dr. Slaa!
 
๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘Dr. Slaa hapa kaonesha unafiki wake kweupeee!
 
๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘Dr. Slaa hapa kaonesha unafiki wake kweupeee
Mkuu usaliti wa Dr. Slaa haukuanza leo, ulianza toka utotoni! Kawaulize wazee zaidi yake huko kwao utapata full pdf la usaliti na unafiki wake na pia utaelewa chimbuko la usaliti wake! Ni Mnafiki mwenye cheo cha juu!
 
Watu wote wakinyamaza sidhani km ndiyo maendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ