Hivi kweli wananchi bado mnakubali upuuzi huu kuendelea kuumiza vichwa vyetu? Huyu Mwarabu kama sikosei Mwanakijji aliwahi kuongea naye kwenye simu na akakiri kutohusika na Dowans wala haijui. Na habari zaidi ambazo siwezi kuzithibitisha ni kwamba huyu Mwarabu Mu Oman ni mzawa wa Zanzibar hata familia yake kuna Wazanzibar wanaifahamu. Na tetesi za mjini huyo mbia kutoka Kenya ni mwajiriwa kampuni ya Rostam..
Yaani madudu juu ya madudu yanazidi tu kuendelea kltk nchi ambayo kila siku tunaomba amani na usalama...hiyo amani itatoka wapi ikiwa viongozi wenyewe ndio wa kwanza kuiharibu amani kama vil;e tumetawaliwa na makaburu. Hivi kweli inaingia akilini mwenu kama hukumu ilikwisha tolewa na mahakama sisi tuwalipe Dowans hayo mabilioni ya fedha iweje leo huyo mmliki aje tena Tanzania kujadiliana na serikali yetu ili iweje?..Yaani hukumu imeacha mwanya wa mshitaki na mshitakiwa kujadiliana nje ya hukumu?..Je kama ndivyo kwa nini tuliambiwa ni lazima tulipe na haiepukiki...
Hukumu imesha toka, kinachotaka kutengenezwa hapa ni kuirudisha Dowans izalishe umeme na pengine tusameheane deni huku tukiingia mkataba wa awali ambao unatufanya tulipe mabillioi ya fedha kila mwaka kwa miaka isiyojulikana..kifedha ni faida kubwa kwa mwekezaji..hii kweli ni kuitafuta amani?..na ukisema sena utaambiwa Udini kwa sababu tu alosema alikuwa Padre na mkristu hivyo anachozungumza ni chuki binafsi ya Waislaam. Huu Uislaam jamani unatafsirika kwa majoho na Uarabu wa wahusika ama imani ya kuabudu na kutenda yaliyo mema..Hawa watu wezi hawa jamani tunawakumbatia kwa nini?
Ndugu zangu wana mapinduzi jichungeni sana na maelezo ya viongozi hasa wa dini zote.. iwe wakiislaam au Wakikristu kwani hawa viongozi wamechukua vibahasha na kunadi udini makusudi kudhoofisha nguvu za baadhi wanamapinduzi, hivyo kwa kila kinachozungumzwa na kiongozi wa dini, Wadanganyika wanachukulia kuwa ni mawazo yaliyopitia chama fulani kwani tumekwisha pandikizwa fikra za udini..lakini ukweli ni kwamba kuna mtandao ambao unaendesha udini huu kwa kupitia viongozi wa dini na majibishano yao yameandaliwa makusudi ili wajinga wengi wayakubali kwani hakuna mtu anaweza kuamini Sheikh mkuu au Kardinali fulani wanachukua vibahasha kuhamasisha udini nchini.
Nitarutuidia kusema dini na siasa ni vitu ambavyo haviwezi kwenda sambamba hata kidogo.. dini inamkataza kila mtu kushirikiana na mwenza asiyekuwa dini yake hivyo kuua kabisa uwezo wa siasa kuchagua viongozi wetu kulingana na uwezo wa mtu na sio dini yake. Na kama kuna mtu anabisha anambie yeye kama kuna dini yoyote iwe ya kikristu au kiislaam inaruhusu muumini kuongozwa na kiongozi ambaye sii dini yake?..Sidhani.. hivyo ni halali kidini kwa muumini kumchagua kiongozi wake atoke ktk dini yake lakini kisiasa ni UDINI huo..
Nawaomba sana viongozi wa dini waache mchezo huu kwani hivyo vijisenti na misamaha ya kodi wanayoipata wakijenga uhasama huu ni wao watakao iweka Tanzania ktk nafasi ya yale yaliyowakumba Rwanda..
Yaani madudu juu ya madudu yanazidi tu kuendelea kltk nchi ambayo kila siku tunaomba amani na usalama...hiyo amani itatoka wapi ikiwa viongozi wenyewe ndio wa kwanza kuiharibu amani kama vil;e tumetawaliwa na makaburu. Hivi kweli inaingia akilini mwenu kama hukumu ilikwisha tolewa na mahakama sisi tuwalipe Dowans hayo mabilioni ya fedha iweje leo huyo mmliki aje tena Tanzania kujadiliana na serikali yetu ili iweje?..Yaani hukumu imeacha mwanya wa mshitaki na mshitakiwa kujadiliana nje ya hukumu?..Je kama ndivyo kwa nini tuliambiwa ni lazima tulipe na haiepukiki...
Hukumu imesha toka, kinachotaka kutengenezwa hapa ni kuirudisha Dowans izalishe umeme na pengine tusameheane deni huku tukiingia mkataba wa awali ambao unatufanya tulipe mabillioi ya fedha kila mwaka kwa miaka isiyojulikana..kifedha ni faida kubwa kwa mwekezaji..hii kweli ni kuitafuta amani?..na ukisema sena utaambiwa Udini kwa sababu tu alosema alikuwa Padre na mkristu hivyo anachozungumza ni chuki binafsi ya Waislaam. Huu Uislaam jamani unatafsirika kwa majoho na Uarabu wa wahusika ama imani ya kuabudu na kutenda yaliyo mema..Hawa watu wezi hawa jamani tunawakumbatia kwa nini?
Ndugu zangu wana mapinduzi jichungeni sana na maelezo ya viongozi hasa wa dini zote.. iwe wakiislaam au Wakikristu kwani hawa viongozi wamechukua vibahasha na kunadi udini makusudi kudhoofisha nguvu za baadhi wanamapinduzi, hivyo kwa kila kinachozungumzwa na kiongozi wa dini, Wadanganyika wanachukulia kuwa ni mawazo yaliyopitia chama fulani kwani tumekwisha pandikizwa fikra za udini..lakini ukweli ni kwamba kuna mtandao ambao unaendesha udini huu kwa kupitia viongozi wa dini na majibishano yao yameandaliwa makusudi ili wajinga wengi wayakubali kwani hakuna mtu anaweza kuamini Sheikh mkuu au Kardinali fulani wanachukua vibahasha kuhamasisha udini nchini.
Nitarutuidia kusema dini na siasa ni vitu ambavyo haviwezi kwenda sambamba hata kidogo.. dini inamkataza kila mtu kushirikiana na mwenza asiyekuwa dini yake hivyo kuua kabisa uwezo wa siasa kuchagua viongozi wetu kulingana na uwezo wa mtu na sio dini yake. Na kama kuna mtu anabisha anambie yeye kama kuna dini yoyote iwe ya kikristu au kiislaam inaruhusu muumini kuongozwa na kiongozi ambaye sii dini yake?..Sidhani.. hivyo ni halali kidini kwa muumini kumchagua kiongozi wake atoke ktk dini yake lakini kisiasa ni UDINI huo..
Nawaomba sana viongozi wa dini waache mchezo huu kwani hivyo vijisenti na misamaha ya kodi wanayoipata wakijenga uhasama huu ni wao watakao iweka Tanzania ktk nafasi ya yale yaliyowakumba Rwanda..