Dr. Slaa: Kikwete mmiliki wa DOWANS...

Switch on Dowans plant-call Send to a friend Wednesday, 02 March 2011 23:14 digg

By Rosemary Mirondo,
The Citizen Correspondent

Dar es Salaam. The parliamentary committee on Energy and Minerals has advised the government to switch on the Dowans generators immediately as a temporary solution to the power crisis adversely affecting the country.

This was said yesterday by the committee chairman, Mr January Makamba, while briefing journalists shortly after ending its activities which took 12 consecutive days.

According to Mr Makamba, all committee members were unanimous in reaching at the recommendations. He said they came up with 30 recommendations on how the power crisis in the country should be addressed.

"The recommendations comprise short, medium and long term strategies," said Mr Makamba, who is also the Bumbuli MP.

"In reaching at the consensus we took into consideration views from various stakeholders. Among them were the Confederation of Tanzania Industries (CTI), the public and energy producers," he explained.

He said they also considered the fact that government revenues would keep on decreasing by five per cent if the problem did not end soon.

Another factor that took precedence was the fact that Tanzania Revenue Authority (TRA) was losing Sh840 billion, equivalent to 30 per cent of the revenue collected, as a result of the crisis.

He cited some of the recommendations as the government providing fuel to Independent Power Tanzania Limited (IPTL) to enable it to generate 90 per cent of the energy instead of the current ten per cent which was very small.

Another factor was the mining sector which received 125 MW of the electricity. Thus it was not facing the power problem like the rest of the country, he said.

Mr Makamba said the committee advised that out of the 125 MW, it should make available to wananchi 50 MW to reduce the problem they faced.However, he stressed that the recommendations would be submitted to the Speaker for discussion by the parliament.
 
Migodi kuguswa balaa la umeme


*Kamati ya Bunge yataka ipunguziwe matumizi
*Yadai wanatumia umeme kibao, hawana mgawo


Na Mwandishi Wetu

WAKATI suluhisho la mgawo wa umeme nchini halijapatikana huku suala la ama kuwasha au kutowasha mitambo ya Dowans likisumbua
vichwa vya Watanzania, imefahamika kuwa Kamati ya Bunge ya Bunge ya Nishati na Madini imependekeza yafanyika mazungumzo na migodi ya madini ili kuona kama inaweza kupunguza matumizi ya nishati hiyo.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Bw. Januari Makamba alisema jana kuwa migodi hiyo imekuwa ikitumia umeme mkubwa unaofikia megawati 125 kila mmoja, lakini haikuwahi kukumbwa na mgawo wa umeme, jambo ambalo wamesema likikubaliwa sehemu ya nishati hiyo inaweza kusambazwa kupunguza makali katika maeneo mengine.

"Migodi inatumia umeme mwingi sana na haikatiwi hata siku moja, kila mgodi unatumia megawati 125 kwa siku kwa migodi minne ni umeme mwingi sana, tumeshauri kuwepo kwa mazungumzo ya kupunguza matumizi ya umeme kwenye migodi kwa kipindi hiki," alisema Bw. Makamba.

Hilo ni moja ya mapendekezo makubwa manne ya upatikanaji wa umeme haraka ili kupunguza makali yaliyotolewa na kamati hiyo, likiwamo la kuwasha mitambo ya Dowans, ambalo hata hivyo linaweza kuathiriwa na kesi iliyopo mahakamani.

Akizungumzia suala hilo, Bw. Makamba alisema hakuna mahakama iliyozuia utekelezaji wa mapendekezo yao kuhusu hatua za dharura kunusuru nchi na janga la ukosefu wa umeme kama ilivyodaiwa bali kilichozungumzwa ni kwamba serikali itatakiwa kutoa taarifa yoyote iwapo kuna hatua za mazungumzo juu ya matumizi ya mitambo ya Dowans au suala lolote nje ya chombo hicho.

"Tuliwauliza mawakili wa TANESCO kilichosemwa na jaji ni kuwa kama kuna mazungumzo nje ya mahakama basi taarifa itolewe ili mahakama isimamishe kwanza shauri, haijazuia mapendekezo yetu jamani," alisema Bw. Makamba.

"Lakini pia hata kama tungeachana na hilo la mitambo ya Dowans bado kuna mapendekezo mengine matatu ambayo ni muhimu sana kufanyiwa kazi na serikali," alisema Bw. Makamba.

Pendekezo jingine ni pamoja na serikali kuwashwa mitambo ya IPTL yenye uwezo wa kuzalisha megawati 100 kwa siku ambayo kwa sasa inazalisha megawati 10 tu.

Pia waliishauri TANESCO ifanye marekebisho kwenye transfoma zake, umeme unaopotea kwa siku ni sawa na asilimia 75 ya umeme wote unaozalishwa na Songas kwa mwaka mzima ili kuokoa kiasi hicho.
 
hivi huu uzembe wa kutoagiza mitambo yetu kuanzia mwaka juzi ni nani awajibishwe?????????????





Migodi kuguswa balaa la umeme


*Kamati ya Bunge yataka ipunguziwe matumizi
*Yadai wanatumia umeme kibao, hawana mgawo


Na Mwandishi Wetu

WAKATI suluhisho la mgawo wa umeme nchini halijapatikana huku suala la ama kuwasha au kutowasha mitambo ya Dowans likisumbua
vichwa vya Watanzania, imefahamika kuwa Kamati ya Bunge ya Bunge ya Nishati na Madini imependekeza yafanyika mazungumzo na migodi ya madini ili kuona kama inaweza kupunguza matumizi ya nishati hiyo.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Bw. Januari Makamba alisema jana kuwa migodi hiyo imekuwa ikitumia umeme mkubwa unaofikia megawati 125 kila mmoja, lakini haikuwahi kukumbwa na mgawo wa umeme, jambo ambalo wamesema likikubaliwa sehemu ya nishati hiyo inaweza kusambazwa kupunguza makali katika maeneo mengine.

"Migodi inatumia umeme mwingi sana na haikatiwi hata siku moja, kila mgodi unatumia megawati 125 kwa siku kwa migodi minne ni umeme mwingi sana, tumeshauri kuwepo kwa mazungumzo ya kupunguza matumizi ya umeme kwenye migodi kwa kipindi hiki," alisema Bw. Makamba.

Hilo ni moja ya mapendekezo makubwa manne ya upatikanaji wa umeme haraka ili kupunguza makali yaliyotolewa na kamati hiyo, likiwamo la kuwasha mitambo ya Dowans, ambalo hata hivyo linaweza kuathiriwa na kesi iliyopo mahakamani.

Akizungumzia suala hilo, Bw. Makamba alisema hakuna mahakama iliyozuia utekelezaji wa mapendekezo yao kuhusu hatua za dharura kunusuru nchi na janga la ukosefu wa umeme kama ilivyodaiwa bali kilichozungumzwa ni kwamba serikali itatakiwa kutoa taarifa yoyote iwapo kuna hatua za mazungumzo juu ya matumizi ya mitambo ya Dowans au suala lolote nje ya chombo hicho.

"Tuliwauliza mawakili wa TANESCO kilichosemwa na jaji ni kuwa kama kuna mazungumzo nje ya mahakama basi taarifa itolewe ili mahakama isimamishe kwanza shauri, haijazuia mapendekezo yetu jamani," alisema Bw. Makamba.

"Lakini pia hata kama tungeachana na hilo la mitambo ya Dowans bado kuna mapendekezo mengine matatu ambayo ni muhimu sana kufanyiwa kazi na serikali," alisema Bw. Makamba.

Pendekezo jingine ni pamoja na serikali kuwashwa mitambo ya IPTL yenye uwezo wa kuzalisha megawati 100 kwa siku ambayo kwa sasa inazalisha megawati 10 tu.

Pia waliishauri TANESCO ifanye marekebisho kwenye transfoma zake, umeme unaopotea kwa siku ni sawa na asilimia 75 ya umeme wote unaozalishwa na Songas kwa mwaka mzima ili kuokoa kiasi hicho.
 
Makali ya mgawo wa umeme kuongezeka
• Matarajio ya kupata umeme kwenye vyanzo vya maji yayeyuka

na Datus Boniface


MATARAJIO ya kupata umeme kupitia kwenye vyanzo vya maji yamezidi kupungua baada ya Mamlaka ya Hali ya Hewa kutoa tamko jana la kuwepo kwa uhaba wa mvua za masika kwa mwaka huu.
Katika maelezo yake na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka hiyo, Dk. Agnes Kijazi, alisema mvua za msimu wa masika katika mikoa ya Kanda ya Ziwa Victoria zinatarajiwa kuwa za chini ya wastani na huenda kukatokea uhaba wa chakula kwenye maeneo hayo.
"Maeneo ya Nyanda za Juu Kaskazini Mashariki, mashariki mwa Ziwa Victoria yanatarajiwa kuwa na uhaba wa mvua na upungufu wa maji kwenye mito, mabwawa na maziwa, hivyo shughuli za umwagiliaji zifanyike kwa uangalifu hususan katika mabonde yenye vyanzo vya maji," alisema Kijazi.
Kwa mujibu wa maelezo yake katika Ukanda wa Pwani ya Kaskazini, mikoa ya Pwani, Dar es Salaam, Tanga, Morogoro na mingine katika ukanda huo, mvua za msimu wa masika zinatarajiwa kuwa za wastani.
Alitaja maeneo ya Nyanda za Juu Kaskazini Mashariki, mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara pia mvua za msimu wa masika nazo zinatarajiwa kuwa chini ya wastani.
Alisema kwa mwenendo huo wa mvua, ni wazi kwamba kutakuwa na upungufu wa vina vya maji kwenye mabwawa, mito na maziwa.
"Maeneo ya Nyanda za Juu Kaskazini Mashariki, mashariki mwa Ziwa Victoria yanatarajiwa kuwa na upungufu wa kina cha maji kwenye mito, mabwawa na maziwa.
"Katika maeneo yanayotarajiwa kupata mvua za wastani ni wazi kwamba upatikanaji wa maji katika mito, mabwawa, visima vifupi utakuwa wa wastani pia, hata hivyo wananchi wanashauriwa kutumia maji kwa uangalifu hususan katika mabonde ya Pangani," alisema Dk. Agnes.
Alisema hiki ni kipindi cha vimbunga kusini magharibi mwa Bahari ya Hindi hivyo vinaweza kusababisha upungufu au ongezeko la mvua kwenye baadhi ya maeneo.
Aidha, alitoa tahadhari kwa vituo vinavyoshughulikia maafa, kuchukua hatua ambazo zinaweza kukabiliana na athari zitokanazo na utabiri huo.
Hivi karibuni TANESCO iliwahi kukaririwa ikieleza kuwa mgawo wa umeme unaoendelea sasa umetokana na kushuka kwa kina cha maji katika mabwawa yanayozalisha nishati hiyo, hivyo kupatikana kwa umeme wa uhakika kutategemea mvua za msimu.
Katika taarifa yake ya hivi karibuni, TANESCO ilifafanua kuwa mitambo yote ya kuzalisha umeme katika gridi ya taifa ina uwezo wa megawati 1,006, mitambo ya maji ikiwa na uwezo wa megawati 561 huku mitambo ya gesi na mafuta ikiwa na uwezo wa kuzalisha megawati 445. Kutokana na uhaba wa maji, hivi sasa mitambo ya maji inazalisha wastani wa megawati 180 tu, wakati mitambo ya mafuta na gesi ikizalisha wastani wa megawati 290.
"Upungufu huo mkubwa wa maji katika mabwawa yetu umetokana na ukweli kwamba hakukuwa na mvua za kutosha za vuli mwaka jana katika maeneo mengi ya nchi yetu na pia mvua za masika ambayo huanza mapema katika mikoa ya Kanda ya Kati na Kusini Magharibi zimechelewa kuanza.
"Pia tunatarajia kuwa msimu wa mvua za masika, utaanza punde na hii itafanya uzalishaji umeme katika mitambo ya maji kuongezeka, hivyo kuliondoa tatizo hilo kwa sasa," ilikaririwa TANESCO katika moja ya taarifa zake.
Aidha, kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, William Mhando, alisema mgawo unaoendelea sasa unatokana na kupungua kwa maji kwenye vituo vya kuzalishia umeme vya Kihansi, Mtera na Pangani.
 
Tuna gesi asilia................................tuna makaa ya mawe..........lakini hadi leo hatuoni aibu katika karne ya 21 kuzungumzia mvua kama kigezo cha kupata au kukosa umeme............................it is shameful to these mediocre.......................
 
Watumiaji umeme wailalamikia TANESCO



na Mwandishi wetu




SIKU chache baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Madini (EWURA) kuruhusu Shirika la Umeme (TANESCO) kupandisha gharama ya umeme, imebainika kuwa gharama nyingine zimeongezeka kinyemela.

Uchunguzi uliofanywa katika vituo vya mawakala wa kuuzia umeme wa LUKU, umebaini kuwa mawakala hao wamekuwa wakiwatoza wateja bei kubwa nje ya ile inayokatwa kwenye mashine za Maxcom.

Baadhi ya mawakala wamekuwa wakiwadai wateja pesa za ziada kama malipo yao ya uwakala ili waweze kuuza umeme huo, ambapo wanakata shilingi 300 kwa mtu anayetaka umeme wa shilingi 5,000 na shilingi 500 kwa mtu anayetaka umeme wa sh 10,000.

Mawakala hao maarufu kama ‘Maxumeme', walisema kuwa wamepewa maelekezo kutoka TANESCO kuwakata wateja pesa ya uwakala kama kazi ya kuwadumia badala ya kudai shirika hilo.

Msemaji wa Ewura, Titus Kaguo, alipoulizwa kama TANESCO wameomba kibali cha kuongeza gharama ya kuwalipa mawakala wao, alikataa na kusema kuwa taarifa hizo ni mpya kwake.

"Subiri hapa hapa ngoja niwapigie simu TANESCO wanipe majibu…" alisema na kumpigia simu Badra Masoud, ambaye ni msemaji wa TANESCO na kujibiwa kuwa shirika hilo halina habari kama mawakala wameongeza hiyo bei, badala yake wamekuwa wakiwalipa asilimia tano ya mauzo.

Hata hivyo Tanzania Daima Jumapili ilionyeshwa vielelezo vya risiti zinazoonyesha wateja waliotoa shilingi 5,000 wanauziwa umeme wa sh 4,700.
 
Kina cha maji chapungua Nyumba ya Mungu

Imeandikwa na Shadrack Sagati, Mwanga; Tarehe: 6th March 2011 @ 08:15 Imesomwa na watu: 10; Jumla ya maoni: 0





KINA cha maji katika bwawa la Nyumba ya Mungu ambalo linategemewa kwa kuzalisha umeme katika vyanzo vya maji vilivyoko katika mto Pangani, kinazidi kupungua.

Hadi jana kina cha maji kilikuwa mita 684.86 na shirika la umeme linasema watasimamisha uzalishaji iwapo kina hicho kitafikia mita 682.72.

John Sauki ambaye ni Mhandisi wa kituo cha kuzalishia umeme cha Nyumba ya Mungu, alisema wanatarajia kuwa maji hayo yatawatosha hadi hapo mvua za masika zitakaponyesha.

Alisema licha ya kuwa mamlaka ya bonde la mto Pangani kuwapatia mita za ujazo 20 kwa sekunde, lakini wamekuwa wanayatumia maji hayo kuhakikisha kuwa angalau wanazalisha megawati 6.5 kwa muda wa saa nne na megawati 4 saa 24.

Kituo hicho chenye mashine mbili kinazalisha megawati nane, lakini kutokana na uhaba wa maji katika bwawa hilo, wamekuwa wanawasha mashine moja tu ambayo inazalisha megawati nne na wakati wa usiku wanawasha mashine nyingine na kuzalisha megawati hizo 6.5.

Kituo hicho ambacho kimejengwa mwaka 1968 licha ya kuwa cha siku nyingi, Sauki alisema kwamba mashine zote ziko katika hali nzuri na zina uwezo wa kuzalisha megawati nane kama kuna upatikanaji wa maji.

"Kituo kiko katika hali nzuri kama tunapata maji mengi tuna uwezo wa kuzalisha megawati zote nane," alisema Sauki.

Alisema licha ya kuwa bwawa la Nyumba ya Mungu halimilikiwi na Tanesco, lakini anaisifu Mamlaka ya Bonde la Pangani kuwa limekuwa linafanya kazi nzuri katika ugawaji wa maji hayo.

Alisema kutokana na mamlaka hiyo kuwa makini ndio maana vituo vya mto Pangani havijawahi kusimamisha uzalishaji wa umeme hata kama kuna ukosefu wa mvua.

Maji katika bwawa hilo yanatumiwa pia na watumiaji wengine kwa matumizi ya binadamu katika wilaya za Simanjiro mkoani Manyara na Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro.

 
Hali ya Hewa yatangaza kuanza mvua za Masika Send to a friend
Saturday, 05 March 2011 09:24
0


Joseph Zablon

MVUA za masika zinatarajiwa kuanza rasmi wakati wowote kuanzia sasa na maeneo mengi yatapata mvua za wastani, suala ambalo huenda likaathiri shughuli za kilimo baadhi ya maeneo.Akizungumza kuhusu utabiri uliofanywa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Kaimu mkurugenzi wa mamlaka hiyo, Dk Agnes Kijazi, alisema mvua hizo zitamalizika katikati ya Aprili mwaka huu.

Dk Kijazi alisema kutokana na hali hiyo ni vema maeneo ambayo yatapata mvua, wakulima kuwasiliana na maofisa ugani kutokana na ukweli kuwa, mvua hizo ni za muda mfupi hivyo hata mazao ambayo yatalimwa yanatakiwa yawe ya muda mfupi kulingana na maelekezo ya watalaamu wa kilimo.

"Mvua utabiri unaonyesha kuwa zitakuwa ni za wastani na kuna maeneo ambayo zitakuwa chini ya wastani," alisema na kuongeza kuwa, huenda uharibifu wa miundombinu ukatokea maeneo ambayo yatapata mvua za wastani.Dk Kijaza alisema Kanda ya Ziwa mvua zitaanza wiki ijayo na mikoa hiyo ambayo ni Mwanza, Kagera na Kaskazini mwa mikoa ya Shinyanga na Kigoma itapata mvua za wastani.

Utabiri huo kulingana na Dk Kijazi, unaonyesha ukanda wa Pwani kaskazini mikoa ya Pwani, Dar es Salaam, Tanga, kaskazini mwa Mkoa wa Morogoro, visiwa vya Unguja na Pemba mvua zinatarajiwa kuanza wiki ya tatu ya Machi na zitakuwa za wastani.

Alisema mikoa ya Nyanda za Juu Kusini Magharibi, Kanda ya Kusini na Pwani kusini maeneo mengi yatapata mvua za wastani hadi juu ya kiwango hicho, mikoa hiyo ni Ruvuma, Rukwa, Lindi na Mtwara na mvua hizo zitakatika wiki ya pili ya Aprili mwaka huu.Alitaja mikoa ya Kanda ya Kati; Dodoma na Singida kuwa maeneo mengi yatakuwa na mvua za wastani, hali hiyo ya upatikanaji mvua kulingana na utabiri huo huenda ikapunguza hali ya unyevunyevu kwenye udongo.

"Upungufu huo unatarajiwa maeneo ya Nyanda za Juu Kaskazini Mashariki, Mkoa wa Mara na Mashariki ya Shinyanga na kuchangia uchelewaji upandaji mbegu za mazao tofauti," alisema Dk Kijazi.Dk Kijazi alisisitiza uvunaji wa maji ya mvua ili kufidia upungufu huo ambao huenda ukapelekea ukame kwa baadhi ya maeneo na wagufaji wanashauriwa kuuza mifugo yao kipindi hiki.

Alisema kipindi hiki ni cha vimbunga kusini magharibi mwa Bahari ya Hindi, hivyo vinaweza kusababisha upungufu au ongezeko la mvua kwenye baadhi ya maaneo na vipindi vya mvua fupi na kubwa vinaweza kutokea.Mwisho
 
Taarifa ya kamati yatua kwa Spika, Serikali Send to a friend Tuesday, 08 March 2011 20:20

Nora Damian
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Uratibu na Bunge) William Lukuvi amesema tayari amepokea mapendekezo ya Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini kuhusu kuwashwa kwa mitambo ya Dowans.
Akizungumza na Mwananchi jijini Dar es Salaam jana, Lukuvi alisema mapendekezo hayo yaliwasilishwa kwa spika wa bunge na yeye tayari ameyapokea.

Alisema hatua itakayofuata mapendekezo hayo yatawasilishwa bungeni kwa ajili ya kujadiliwa na wao kama serikali watatoa ushauri wao.

"Mapendekezo yamewasilishwa kwa Spika na mimi nimeletewa nimeyaona ni mazuri wameishauri serikali hatua za muda mfupi na mrefu wa kukabiliana na tatizo la umeme nchini,"alisema Lukuvi.

Waziri huyo alisema ili uwe ushauri wa Bunge lazima uwasilishwe bungeni na kwamba wao watatoa maelezo ya namna walivyoupokea ushauri huo na utekelezaji wake.

Hivi karibuni Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini inayoongozwa na January Makamba ilipendekeza kuwashwa kwa mitambo ya Dowans ili kukabiliana na tatizo la mgao wa umeme ambao umeikumba nchi.

Msuguano wa kutaka mitambo ya Dowans iwashwe au la ulisababisha kamati hiyo kupewa kazi ya kuandaa mapendekezo yake ya namna ya kukabiliana na tatizo hilo.

Kamati hiyo ilipewa jukumu la kuandaa mapendekezo ya muda mfupi, wa kati na mrefu wa namna ya kukabiliana na tatizo la mgao wa umeme ili kuiokoa nchi katika janga hilo.

Hata hivyo wananchi wengi bado wanapinga hatua hiyo ya kutaka kuwashwa kwa mitambo hiyo huku wafanyabiashara na watu wengine wakipendekeza iwashwe.

Comments




0 #6 issa moshi 2011-03-09 16:26 katiba tanganyika hivi kumbe na huyu mwamvita makamba ni mtoto wa huyu makamba wa ccm?basi makubwa ndiyo hayo wanayo imba wasanii baba katibu kijana mbunge bint mkurugenzi na watoto wa nyerere walikuwa hivyo sikumbuki jamani siku nyingi nimekimbia nyumbani msaada wadau
Quote









+1 #5 elibariki yerald 2011-03-09 16:08 haki ya mungu bora tu nchi isitawalike huu ni uhuni.....
Quote









0 #4 Katiba TANGANYIKA 2011-03-09 10:49 Quoting MBILIGI:
Kuna uhusiano wa karibu kati ya Familia ya Makamba na Rostam Aziz.
Mwamvita Makamba ni mkurugenzi wa mawasiliano wa Vodacom, kampuni kubwa sana,Je anayo elimu kwa nafasi hiyo?
January alienda marekani kusoma tunaambiwa scholarship. kweli ilikuwa scolarship? Je aliipata vipi?Na nani alimtafutia kazi Ikulu?
Mafisadi walimfanyia njama Mzee Shelukindo Bumbuli kumpenyeza January, freshman Bungeni anapewa uenyekiti wa kamati ya Mzee Shelukindo,Je kwa sababu gani?
Mzee Makamba anabolonga CCM, kaigawa na imefanya vibaya uchaguzi uliopita,lakini bado anamiliki ukatibu mkuu wa CCM. Do you know who is behind all these?
Nani anayetajwa kuhusiana na wizi wa pesa za EPA na KAGODA? Baadhi ya hizo pesa zilitumika kumuingiza Mh JK 2005.Piga ua DOWANS lazima 2015.
Hivyo January analofanya ni kwa manufaa ya Mafisadi kulipa fadhila maana 2015 uwaziri unamngojea​

CCM yote ni undugu naizesheni!
JK anaanda wanae pia, Kawawa nao wapo,Makamba ndio hivyo, nk.

Itifika wakati Tz utamaduni wa kurithishana uwe wa kawaida. Viongozi awajui maadili ya uongozi, kwamba viongozi wasitumie nafasi walizonazo kwa manufaa yao na family zao!

Je wasio na wazazi ama ndugu kwenye uongozi wanauwezo wa kuingia madarakani kwa mtindo huu?
Quote









0 #3 CHILOLONGO 2011-03-09 09:39 Haya, mambo ndo hayo. Nyerere kuzimu uliko tusaidie!!!!!!! !!!!!!!!sZ8q
Quote









+3 #2 MBILIGI 2011-03-09 08:35 Kuna uhusiano wa karibu kati ya Familia ya Makamba na Rostam Aziz.
Mwamvita Makamba ni mkurugenzi wa mawasiliano wa Vodacom, kampuni kubwa sana,Je anayo elimu kwa nafasi hiyo?
January alienda marekani kusoma tunaambiwa scholarship. kweli ilikuwa scolarship? Je aliipata vipi?Na nani alimtafutia kazi Ikulu?
Mafisadi walimfanyia njama Mzee Shelukindo Bumbuli kumpenyeza January, freshman Bungeni anapewa uenyekiti wa kamati ya Mzee Shelukindo,Je kwa sababu gani?
Mzee Makamba anabolonga CCM, kaigawa na imefanya vibaya uchaguzi uliopita,lakini bado anamiliki ukatibu mkuu wa CCM. Do you know who is behind all these?
Nani anayetajwa kuhusiana na wizi wa pesa za EPA na KAGODA? Baadhi ya hizo pesa zilitumika kumuingiza Mh JK 2005.Piga ua DOWANS lazima 2015.
Hivyo January analofanya ni kwa manufaa ya Mafisadi kulipa fadhila maana 2015 uwaziri unamngojea
Quote









+1 #1 Bakari 2011-03-09 05:57 January, unapoelekea ni kubaya mdogo wangu. Unasu[NENO BAYA] uharakishwaji wa kutafuta 'indosement' ya kuwashwa mitambo ya Dowans. Hachana na hili suala, litasababisha bunge zima kuanguka usipokuwa makini.

Binafsi nawaomba wabunge wa CCM wahachane na suala la Dowans maana kuna 'options' nyingine za kutatua upungufu wa umeme. Huyu kijana ameingia kwenye siasa vibaya, asije kuwaangamiza wote.
Quote
 
Taarifa ya kamati yatua kwa Spika, Serikali Send to a friend Tuesday, 08 March 2011 20:20

Nora Damian
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Uratibu na Bunge) William Lukuvi amesema tayari amepokea mapendekezo ya Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini kuhusu kuwashwa kwa mitambo ya Dowans.
Akizungumza na Mwananchi jijini Dar es Salaam jana, Lukuvi alisema mapendekezo hayo yaliwasilishwa kwa spika wa bunge na yeye tayari ameyapokea.

Alisema hatua itakayofuata mapendekezo hayo yatawasilishwa bungeni kwa ajili ya kujadiliwa na wao kama serikali watatoa ushauri wao.

“Mapendekezo yamewasilishwa kwa Spika na mimi nimeletewa nimeyaona ni mazuri wameishauri serikali hatua za muda mfupi na mrefu wa kukabiliana na tatizo la umeme nchini,”alisema Lukuvi.

Waziri huyo alisema ili uwe ushauri wa Bunge lazima uwasilishwe bungeni na kwamba wao watatoa maelezo ya namna walivyoupokea ushauri huo na utekelezaji wake.

Hivi karibuni Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini inayoongozwa na January Makamba ilipendekeza kuwashwa kwa mitambo ya Dowans ili kukabiliana na tatizo la mgao wa umeme ambao umeikumba nchi.

Msuguano wa kutaka mitambo ya Dowans iwashwe au la ulisababisha kamati hiyo kupewa kazi ya kuandaa mapendekezo yake ya namna ya kukabiliana na tatizo hilo.

Kamati hiyo ilipewa jukumu la kuandaa mapendekezo ya muda mfupi, wa kati na mrefu wa namna ya kukabiliana na tatizo la mgao wa umeme ili kuiokoa nchi katika janga hilo.

Hata hivyo wananchi wengi bado wanapinga hatua hiyo ya kutaka kuwashwa kwa mitambo hiyo huku wafanyabiashara na watu wengine wakipendekeza iwashwe.

Comments




0 #6 issa moshi 2011-03-09 16:26 katiba tanganyika hivi kumbe na huyu mwamvita makamba ni mtoto wa huyu makamba wa ccm?basi makubwa ndiyo hayo wanayo imba wasanii baba katibu kijana mbunge bint mkurugenzi na watoto wa nyerere walikuwa hivyo sikumbuki jamani siku nyingi nimekimbia nyumbani msaada wadau
Quote









+1 #5 elibariki yerald 2011-03-09 16:08 haki ya mungu bora tu nchi isitawalike huu ni uhuni.....
Quote









0 #4 Katiba TANGANYIKA 2011-03-09 10:49 Quoting MBILIGI:
Kuna uhusiano wa karibu kati ya Familia ya Makamba na Rostam Aziz.
Mwamvita Makamba ni mkurugenzi wa mawasiliano wa Vodacom, kampuni kubwa sana,Je anayo elimu kwa nafasi hiyo?
January alienda marekani kusoma tunaambiwa scholarship. kweli ilikuwa scolarship? Je aliipata vipi?Na nani alimtafutia kazi Ikulu?
Mafisadi walimfanyia njama Mzee Shelukindo Bumbuli kumpenyeza January, freshman Bungeni anapewa uenyekiti wa kamati ya Mzee Shelukindo,Je kwa sababu gani?
Mzee Makamba anabolonga CCM, kaigawa na imefanya vibaya uchaguzi uliopita,lakini bado anamiliki ukatibu mkuu wa CCM. Do you know who is behind all these?
Nani anayetajwa kuhusiana na wizi wa pesa za EPA na KAGODA? Baadhi ya hizo pesa zilitumika kumuingiza Mh JK 2005.Piga ua DOWANS lazima 2015.
Hivyo January analofanya ni kwa manufaa ya Mafisadi kulipa fadhila maana 2015 uwaziri unamngojea​
CCM yote ni undugu naizesheni!
JK anaanda wanae pia, Kawawa nao wapo,Makamba ndio hivyo, nk.

Itifika wakati Tz utamaduni wa kurithishana uwe wa kawaida. Viongozi awajui maadili ya uongozi, kwamba viongozi wasitumie nafasi walizonazo kwa manufaa yao na family zao!

Je wasio na wazazi ama ndugu kwenye uongozi wanauwezo wa kuingia madarakani kwa mtindo huu?
Quote









0 #3 CHILOLONGO 2011-03-09 09:39 Haya, mambo ndo hayo. Nyerere kuzimu uliko tusaidie!!!!!!! !!!!!!!!sZ8q
Quote









+3 #2 MBILIGI 2011-03-09 08:35 Kuna uhusiano wa karibu kati ya Familia ya Makamba na Rostam Aziz.
Mwamvita Makamba ni mkurugenzi wa mawasiliano wa Vodacom, kampuni kubwa sana,Je anayo elimu kwa nafasi hiyo?
January alienda marekani kusoma tunaambiwa scholarship. kweli ilikuwa scolarship? Je aliipata vipi?Na nani alimtafutia kazi Ikulu?
Mafisadi walimfanyia njama Mzee Shelukindo Bumbuli kumpenyeza January, freshman Bungeni anapewa uenyekiti wa kamati ya Mzee Shelukindo,Je kwa sababu gani?
Mzee Makamba anabolonga CCM, kaigawa na imefanya vibaya uchaguzi uliopita,lakini bado anamiliki ukatibu mkuu wa CCM. Do you know who is behind all these?
Nani anayetajwa kuhusiana na wizi wa pesa za EPA na KAGODA? Baadhi ya hizo pesa zilitumika kumuingiza Mh JK 2005.Piga ua DOWANS lazima 2015.
Hivyo January analofanya ni kwa manufaa ya Mafisadi kulipa fadhila maana 2015 uwaziri unamngojea
Quote









+1 #1 Bakari 2011-03-09 05:57 January, unapoelekea ni kubaya mdogo wangu. Unasu[NENO BAYA] uharakishwaji wa kutafuta 'indosement' ya kuwashwa mitambo ya Dowans. Hachana na hili suala, litasababisha bunge zima kuanguka usipokuwa makini.

Binafsi nawaomba wabunge wa CCM wahachane na suala la Dowans maana kuna 'options' nyingine za kutatua upungufu wa umeme. Huyu kijana ameingia kwenye siasa vibaya, asije kuwaangamiza wote.
Quote
 
Hakika Dowans itaondoka na mtu


Ruhazi Ruhazi​

WASWAHILI walinena, aliyetota hajui kutota, msemo ambao nimelazimika kuutumia kuanzia makala hii kutokana na haya yanayoendelea kutokea nchini kwa sasa kuhusiana na sakata la mgawo wa umeme.
Tumemsikia Rais Jakaya Kikwete ‘JK' alivyokuja juu baada ya kuuona mwitikio wa wananchi katika maandamano yaliyoitishwa na yanayoendelea kufanyika katika maeneo mbalimbali ya nchi yakiongozwa na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Niliwahi kuandika mara mbili katika safu yangu hii kwamba suala la ueme lisichukuliwe kisiasa, nilitahadharisha na kufafanua umuhimu wa umeme katika jamii, huku nikikumbusha athari za kukosekana kwa umeme katika jamii.
Ni bahati mbaya sana kwamba JK hakushtuka wala wasaidizi wake, achilia mbali washauri wake, hawakutaka kumsaidia kusaka ufumbuzi wa tatizo la umeme nchini.
Japo bado ni siku chache tangu tuingie kwenye mgawo lakini makali yake yamewafikia wananchi kila pembe hapa nchini, uchumi umeyumba, maisha yamepanda na wanaoumia kwa kiasi kikubwa ni wananchi wa kada ya chini.
CHADEMA wameitumia nafasi hii kisiasa, wameunasa umma, wameungwa mkono na watu wanaokata tamaa, wananachi wanawaona ndio wakombozi wao kwa sasa.
Kila wanakopita agenda hiyo imekuwa ikiwapa turufu na kuzidi kuaminiwa na wananchi, ni ukweli usiopingika kwamba hili litawafanya wavipiku vyama vyote hata CCM, kwa kuwa ukali wa maisha hauchagui chama bali unatukumba sote.
Mtikisiko wake umemuogopesha JK, lakini ndiyo yale ya aliyetota hajui kutota, kwani anachokifanya kwa sasa ni kuinyooshea kidole CHADEMA, badala ya kusaka ufumbuzi wa haraka na wa kudumu wa tatizo hili.
Ni bahati mbaya sana kwamba hata wasaidizi hawajajua nini kinachopaswa kufanywa kwa sasa badala yake wanazidi kuangukia kwenye mtego wa kisiasa wa kutumia nguvu nyingi kupangua hoja zisizo rasmi na kuinyooshea kidole CHADEMA.
Nasema wanakosea na kuzidi kupotea, kauli zao zinawadhihirishia wananchi kuwa CCM ya JK haiwezi kuwaondolea adha hii ya mgawo wa umeme ambao sasa unataka kujifanya kidonda ndugu.
Hili ni kosa kubwa analolifanya JK na serikali yake, huwezi ukaacha kushughulikia tatizo na kuanza kujibizana na CHADEMA wakati wananchi wanaumizwa na mgawo unaoendelea.
Cha msingi ilikuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumshauri kiongozi wao mkuu achukue uamuzi wa haraka wa kupata ufumbuzi, ili kuwanyima CHADEMA kitu cha kuwapa ujiko mbele ya wananchi na si kuwasakama kwa maneno.
Ni kichekesho kwamba JK analiacha hili na kwenda kufanya ziara ambazo manufaa yake hayataonekana moja kwa moja kwa Watanzania kama wanavyoiona athari ya mgawo wa umeme kwa sasa.
Kwa hiyo kutokana na CHADEMA kubaini kuwa JK analichukulia suala la mgawo kuwa la kisiasa nao wameingiza siasa. Kwa hili wameshinda.
Tunafunzwa kuwa daima mwenye shida na njaa ndiye anayemjua Mungu na katu si aliyeshiba na yu katikati ya ngoma, kwa hiyo Watanzania wote kwa sasa wamo katika shida hivyo yeyote atakayewapa ahadi ya kuwaokoa, watamuamini.
Suala la kutekelezwa kwa ahadi hiyo, wataliangalia hapo baadaye lakini kwa sasa wanaridhishwa na ahadi hiyo ya matumani, kwa kuwa JK na serikali yake haonekani kuguswa na hili tatizo lililopo kwa sasa.
Hapa tulipofikia si mahala pa siasa tena, bali unahitajika utendaji ambao unaanza mara moja na si ule wa kusubiri, kwa kuwa watu wamekata tamaa.
Ni bahati mbaya sana kwamba hakuna mtendaji ndani ya serikali anayedhani au kuamini kuwa hili la umeme pekee linatosha kubadili kila kitu katika taifa letu.
Inasikitisha kuwa JK ameliona hilo lakini bado anasuasua kuchukua hatua stahili na hili ni kosa ambalo anaweza kuja kulijutia maishani mwake.
Wananchi wakishaamini kuwa CHADEMA ndiyo yenye huruma nao inayoweza kuwapigania kwa hali yoyote ile, hapatatokea mtu wa kuwabadili katika imani hiyo.
Binafsi naamini kuwa CHADEMA hawana uwezo wala nia ya kuwasaidia wananchi kuondokana na matatizo haya ya umeme lakini wamelichukua hili kisiasa, watafanikisha malengo yao.
Sina shaka kwa hilo kutokana na uzoefu niliokuwa nao pamoja na hali ilivyo nchini kwa sasa, ni kwa sababu wamewapokea wafiwa kulia, kwa hiyo kila awaonaye anajua kuwa nao ni wafiwa.
Laiti kama CHADEMA wangekuwa na nia ya kuwasaidia wananchi kuondokana na matatizo haya kwa sasa wangekuwa wakipishana katika kufanya mazungumzo na vyama marafiki kutoka kila pembe ya dunia kusaka wale watakaokuwa tayari kuwasaidia kuiondoa nchi katika giza.
Lakini ni bahati mbaya kwamba wameamua kutumia udhaifu na usingizi wa pono wa serikali ya JK, kulamba dume katika mchezo unaoendelea na wanaweza kupata ushindi rahisi sana.
Hapo walipofikia CHADEMA katika mchezo huu wa kisiasa unaoendelea ni vigumu kwa CCM kuwazuia wasiaminiwe na wananchi wanaoathirika kutokana na mgawo, achilia mbali upandaji wa gharama za maisha usioendena na vipato vyao.
Ninajiuliza kama si siasa, nini kinamfanya rais kuwa tayari kufanya ziara nje ya nchi, Makamu wake Mohammed Gharib Bilal na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda nao wakifanya ziara za kuzunguka mikoani kama vile kila kitu ni shwari.
Ni hapo ninapoukumbuka msemo wa aliyetota hajui kutota, kwa sababu tatizo hili ni kubwa lakini linachukuliwa kwa udogo na watawala, udhaifu ambao CHADEMA wameuona na wanautumia kupata ujiko.
Umeme huu uliosababisha kuletwa nchini kwa kampuni inayoaminika kuwa ya kitapeli ya Richmond, ambayo pamoja na kutafuna mamilioni ya shilingi za Watanzania lakini haikuwapatia umeme inasababisha watu waichukie serikali.
Wengi wanaamini kwamba kuna ujanja ulifanyika kuondoka madarakani kwa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa na mawaziri Nazir Karamagi na Ibrahim Msabaha, bila kuchukuliwa hatua huku taifa likiendelea kutafunwa kutokana na tenda hiyo kurithishwa kwa Dowans.
Ni hapo ninapoamini kuwa kauli aliyoitoa JK na hata hizi zinazotolewa leo na wasaidizi wake kutoka CCM leo, kwamba CHADEMA wanataka kuifanya nchi isitawalike si kauli zinazohitajiwa kwa sasa na wananchi.
Kwa sasa wananchi wanataka waupate umeme wa uhakika na unafuu katika maisha yao ya kila siku, porojo au utetezi wa aina yoyote hautasikilizwa.
Watanzania hawana jingine, hivyo ni vema JK akalitambua na kuanza kulifanyia kazi badala ya kuweweseka kwa yale yaliyowakuta marais, Ben Ali wa Tunisia, Hosni Mubarak wa Misri na upinzani wa wananchi unaoendelea sasa kwa Muammar Gaddafi wa Libya.
Ingawa mapinduzi yaliyowaondoa madarakani marais hawa wa Afrika Kaskazini hayaelezwi kinagaubaga, lakini ukweli usiopingika ni kwamba ugumu wa maisha na dharau ya watawala kwa wananchi ndiyo sababu kuu.



Mwandishi wa makala hii anapatikana kwa simu 0713 – 765757, barua pepe: wiruhinda@yahoo.com
 
Serikali yapokea mabilioni ya umeme


na Asha Bani


WAKATI nchi ikiwa katika tatizo sugu la mgawo wa umeme unaohatarisha baadhi ya viwanda kufungwa kutokana na uzalishaji kushuka, jana Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imetoa kiasi cha shilingi bilioni 251.62 kwa Tanzania kwa lengo la kusaidia upatikanaji wa umeme vijijini.
Mbali na kusaidia upatikanaji wa umeme benki hiyo pia imefadhili miradi 500 ya usambazaji wa maji ambayo itasaidia takriban watu mil. 10 vijijini.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mara baada ya kutiliana saini mkataba na Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo, Mkurugenzi wa Benki hiyo, Gabriel Negatu, alisema fedha hizo ni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi miwili ya maji vijijini na umeme.
Akitoa mchanganuo wa fedha hizo alisema kiasi cha shilingi bilioni 148.2 ni za mkopo na bilioni 153 ni msaada ambazo zitaelekezwa katika mradi wa kusambaza maji vijijini sambamba na uchimbaji wa visima.
Aidha alisema shilingi bilioni 103.42 zitatumika katika uwekaji wa mradi wa umeme Iringa hadi Shinyanga ambapo pamoja na benki hiyo mradi ulikuwa tayari umeshafadhiliwa na Benki ya Dunia, Korea EDCF, JICA na wafadhili wengine huku benki hiyo ikidai kuongeza nguvu.
Alisema kuwa mpango wa usambazaji wa maji vijijini utahusisha miradi midogo zaidi ya 500 ikilenga kuwanufaisha zaidi ya wananchi milioni 10 ikiwemo ya kusaidia shule 264 ili kupata huduma ya maji.
"Mradi wa usambazaji wa umeme Iringa hadi Shinyanga utawezesha kupata KW 400 kutoka 220 kwa sasa katika grid ya taifa," alisema Negatu
Naye Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo aliishukuru benki hiyo kwa msaada ambapo alisema miradi hiyo pia itasaidia kukuza uchumi kwa kuwa utapita katika maeneo ambayo yana shughuli za madini.
Hivi karibuni Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja alilielezea Bunge miradi ambayo itafanyika ili kuweza kusaidia kupunguza tatizo la umeme ikiwemo mradi wa umeme Iringa hadi Shinyanga.
Huo ni mradi mmojawapo ambao umeanza kutekelezwa ambapo ukikamilika utatoa jumla ya megawati 400 katika gridi ya taifa.
 
Tanesco wataka Serikali ilipe bil. 94 za Dowans

Imeandikwa na Oscar Job; Tarehe: 12th March 2011 @ 12:00 Imesomwa na watu: 228; Jumla ya maoni: 0



Habari Zaidi: Mvua yasababisha maafa, 66 hawana makazi
Pinda aagiza BOT, TRA, TIC waache ukiritimba
Makinda:Vijembe bungeni havinisumbui
Monduli wataka waliofeli 'form 4' warudie shule
DC wa Ilemela afariki dunia India
'Babu wa Loliondo' ruksa kuendelea kutibu
Tanesco wataka Serikali ilipe bil. 94 za Dowans
Mil.250/- kukarabati shule aliyosoma Nyerere
Waziri: Shule za Kata zimepunguza mimba
Bilioni 252/- kutumika kusambazia maji, umeme
Kamati ya Mrema yaomba helikopta
Wanafunzi 16,000 Musoma hawana madawati
Kamati ya Cheyo yaibana Wizara ya Maji
Watu 27 waliopima figo waishia Muhimbili
Moto wateketeza nyumba mbili Dar es Salaam
Ndugu wawili wadaiwa kuua
Viongozi serikalini wamkera Njoolay
Msaada wa kisheria kutolewa kwa `sms'
Wanakijiji 84 wadaiwa kuchoma magari ya mwekezaji
Daktari anamjisi mtoto, amwambukiza Ukimwi

Habari zinazosomwa zaidi: Balaa lingine kwa Chenge
Salama: Jasiri aliyetangaza kuishi na virusi vya Ukimwi
Dina Marius, mrithi wa Amina Chifupa
‘Housigeli' anataka kuniharibia ndoa
Kikwete achekecha wakuu wa wilaya
Vatican yamvua jimbo Askofu
Waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano waongezeka kwa 22%
Orijino Komedi, Jay Dee waitwa Iringa
Interpol yatumika kusaka wenye zeutamu
JK apigilia msumari wa mwisho Dowans
WAFANYAKAZI wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wameitaka Serikali kuilipa Kampuni Dowans deni lake la zaidi ya Sh bilioni 95 kwa madai kuwa, ndiyo iliyoshiriki mchakato wa mkataba huo bila kuzingatia ushauri wa kitaalamu kutoka Tanesco.

Aidha, wameitaka ipitie upya mikataba ya uzalishaji umeme ya Kampuni za IPTL na Songas, kwa madai kuwa mikataba hiyo ni mizigo mikubwa kwa shirika hilo, wateja na Watanzania kwa jumla.

Hayo yalisemwa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Majadiliano ya Shirika hilo, Abdul Mkama, wakati akisoma maazimio 10 kwenda kwa Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, ambayo yalifikiwa katika Mkutano Mkuu wa Jukwaa la Viongozi wa matawi ya TUICO –Tanesco, uliofanyika Januari 12 hadi 15 Dodoma.

Alisema wao wafanyakazi wa shirika hilo, waliipitia na kuisoma kwa makini hotuba ya Januari 7 ya Waziri huyo, hivyo baada ya kuijadili waliona ni vyema kuja na mapendekezo hayo ili kuleta ufanisi mzuri wa kazi kwa shirika hilo likiwamo la nani anatakiwa kuilipa Dowans.

Kuhusu IPTL na Songas, walimtaka Waziri Ngeleja awaeleze Watanzania michanganuo inayolipwa na Tanesco na Serikali kwa kampuni binafsi zinazozalisha umeme kwa mikataba mibovu kwa kuwa imeendelea kusababisha hasara kubwa.

"IPTL inalipwa Sh bilioni 3 kwa mwezi, azalishe asizalishe, Songas Sh bilioni 6.4 kwa mwezi, izalishe au isizalishe na jukumu la kununua gesi au mafuta ya IPTL na Songas ni la nani?, kama Wizara isipofanya hivyo, jukumu hili tutalibeba sisi viongozi" alisema Mkama.

Mbali na maazimio hayo, viongozi hao waliitaka Serikali kutoa tamko la Kampuni tanzu ya ARTUMAS iliyopewa jukumu la kufanya biashara katika mikoa ya Kusini ya Lindi na Mtwara, kwa sababu uendeshaji wake ni wa hasara.

Alisema mbali na kampuni hiyo kuwezeshwa na Serikali kwa kupewa vitendea kazi hususani magari, imeshindwa kufanya chochote hadi sasa, hali iliyosababisha kuzua migogoro isiyo ya lazima baina ya wafanyakazi wa Tanesco na wateja wa mikoa hiyo.

Aidha, walisema kwa kuwa Serikali ina nia ya kuwapa Watanzania umeme wa uhakika na kuondoa mgawo kwa kukamilisha miradi kama iliyoainishwa katika hotuba ya Waziri, wanataka miradi hiyo ipitiwe kitaalamu ili isije ikawa mzigo kwa shirika hilo kama ilivyo kwa IPTL na Songas.

"Aidha, ili tuweze kurejesha imani ya Tanesco kwa Watanzania, tunamwomba Waziri Ngeleja atoe tamko la Serikali, kwamba bili ya umeme anayopewa mteja si kubwa bali inaonekana kubwa kwa sababu ndani yake imebeba makusanyo ya kodi ya Serikali VAT 18% na fedha kwa Mamlaka nyingine EWURA 1%, REA 3%." Aliongeza Mkama.
 
Tanesco wataka Serikali ilipe bil. 94 za Dowans

Imeandikwa na Oscar Job; Tarehe: 12th March 2011 @ 12:00 Imesomwa na watu: 228; Jumla ya maoni: 0




WAFANYAKAZI wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wameitaka Serikali kuilipa Kampuni Dowans deni lake la zaidi ya Sh bilioni 95 kwa madai kuwa, ndiyo iliyoshiriki mchakato wa mkataba huo bila kuzingatia ushauri wa kitaalamu kutoka Tanesco.

Aidha, wameitaka ipitie upya mikataba ya uzalishaji umeme ya Kampuni za IPTL na Songas, kwa madai kuwa mikataba hiyo ni mizigo mikubwa kwa shirika hilo, wateja na Watanzania kwa jumla.

Hayo yalisemwa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Majadiliano ya Shirika hilo, Abdul Mkama, wakati akisoma maazimio 10 kwenda kwa Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, ambayo yalifikiwa katika Mkutano Mkuu wa Jukwaa la Viongozi wa matawi ya TUICO –Tanesco, uliofanyika Januari 12 hadi 15 Dodoma.

Alisema wao wafanyakazi wa shirika hilo, waliipitia na kuisoma kwa makini hotuba ya Januari 7 ya Waziri huyo, hivyo baada ya kuijadili waliona ni vyema kuja na mapendekezo hayo ili kuleta ufanisi mzuri wa kazi kwa shirika hilo likiwamo la nani anatakiwa kuilipa Dowans.

Kuhusu IPTL na Songas, walimtaka Waziri Ngeleja awaeleze Watanzania michanganuo inayolipwa na Tanesco na Serikali kwa kampuni binafsi zinazozalisha umeme kwa mikataba mibovu kwa kuwa imeendelea kusababisha hasara kubwa.

“IPTL inalipwa Sh bilioni 3 kwa mwezi, azalishe asizalishe, Songas Sh bilioni 6.4 kwa mwezi, izalishe au isizalishe na jukumu la kununua gesi au mafuta ya IPTL na Songas ni la nani?, kama Wizara isipofanya hivyo, jukumu hili tutalibeba sisi viongozi” alisema Mkama.

Mbali na maazimio hayo, viongozi hao waliitaka Serikali kutoa tamko la Kampuni tanzu ya ARTUMAS iliyopewa jukumu la kufanya biashara katika mikoa ya Kusini ya Lindi na Mtwara, kwa sababu uendeshaji wake ni wa hasara.

Alisema mbali na kampuni hiyo kuwezeshwa na Serikali kwa kupewa vitendea kazi hususani magari, imeshindwa kufanya chochote hadi sasa, hali iliyosababisha kuzua migogoro isiyo ya lazima baina ya wafanyakazi wa Tanesco na wateja wa mikoa hiyo.

Aidha, walisema kwa kuwa Serikali ina nia ya kuwapa Watanzania umeme wa uhakika na kuondoa mgawo kwa kukamilisha miradi kama iliyoainishwa katika hotuba ya Waziri, wanataka miradi hiyo ipitiwe kitaalamu ili isije ikawa mzigo kwa shirika hilo kama ilivyo kwa IPTL na Songas.

“Aidha, ili tuweze kurejesha imani ya Tanesco kwa Watanzania, tunamwomba Waziri Ngeleja atoe tamko la Serikali, kwamba bili ya umeme anayopewa mteja si kubwa bali inaonekana kubwa kwa sababu ndani yake imebeba makusanyo ya kodi ya Serikali VAT 18% na fedha kwa Mamlaka nyingine EWURA 1%, REA 3%.” Aliongeza Mkama.
 
Kwani hili ni siri? Huoni aibu anayokuwa nayo mheshimiwa kila anapolazimishwa kuzungumzia suala la Richmond/Dowans?
 
Wabunge wajadili mitambo ya Dowans gizani Send to a friend Monday, 14 March 2011 21:29
Leon Bahati
SIKU ya kwanza ya wabunge kujadili mpango wa kubadilisha sheria ya manunuzi ili serikali iruhusiwe kununua mitambo iliyotumika ilikumbwa na kioja cha aina yake baada ya umeme kukatika ghafla na giza kutanda ukumbini hali iliyowafanya baadhi ya wabunge kupiga kelele; Dowans! Richmond! Dowans! Richmond! Dowans na baadaye CCM! CCM! CCM!

Ikipitishwa, sheria hiyo itaiwezesha Serikali kununua mitambo ya Dowans ili kutatua tatizo la umeme linalolikabili Taifa.Kelele hizo zilizoandamana na kejeli za kuwasha kurunzi za simu za mikononi na kumtaka mtoa mada kuendelea kwa kutumia mwanga huo hafifu zilisikika katika eneo walilokuwepo wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Manunuzi ya Umma (PPRA), Dk Ramadhani Mlinga ndiye aliyekuwa akitoa mada juu ya taratibu za Usimamizi wa Mifumo ya Manunuzi Serikalini.

"Endelea! Endelea! Endelea!" Walisikika wabunge hao wakisema huku wakiwa wamewasha kurunzi za simu zao ambazo mwanga wake haukuhimili giza lililokuwepo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl, Ubungo, Dar es Salaam." Wabunge walibakia gizani kwa takriban dakika 10 kabla ya umeme kurejea.

Waandishi wa habari nao walitumia fursa hiyo kuwahoji baadhi ya wabunge na wakati wa mahojiano hayo, wabunge hao waliwasaidia wapigapicha za televisheni kwa kuwasha kurunzi za simu zao na kuwamulika usoni wale waliokuwa wakihojiwa ili waonekane vizuri.

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa alisema hayo ni matokeo ya Serikali ya CCM kukumbatia mikataba mibovu kama walioingia na kampuni ya Richmond Development LLC... "Mkataba huo ndiyo uliorithiwa na Dowans ambayo hukumu imetaka Tanzania iilipe kampuni hiyo Sh 94 bilioni."

Mbunge wa Viti maalumu (Chadema), Naomi Kihula alilibebesha mzigo wa lawama Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) akisema kuzima kwa umeme huo ni ishara kwamba shirika hilo la umma haliheshimu hata Bunge.

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tindu Lissu alisema kitendo ni adhabu kutoka kwa Mungu kwa mjadala huo akidai kwamba Mkuu wa PPRA, Dk Milinga alipinga vikali utoaji wa zabuni kwa Richmond lakini vigogo serikalini wakashikilia msimamo wa kumpinga.

Alisema hakubaliani na mpango huo wa kubadili sheria hiyo ya manunuzi ili kuwezesha serikali kununua mitambo ya Dowans kama njia ya kutatua tatizo la umeme nchini.

Baada ya jenereta la hoteli hiyo kuwashwa, Dk Mlinga aliendelea na mada yake na kueleza kwamba kutatua tatizo la umeme nchini kwa kununua mitambo mipya itachukua muda mrefu. Lakini akasema sheria ya PPRA inayotumika sasa hairuhusu kununua mitambo iliyotumika jambo ambalo linaibana serikali kutafuta suluhu ya tatizo la umeme nchini kwa haraka.

Kwa mujibu wa Mlinga, siyo lazima sheria hiyo iruhusu moja kwa moja ununuzi wa mitambo iliyotumika, bali iwe ni mazingira magumu kama yalivyo nchini sasa na kwamba kutakuwa na vigezo.

"Taratibu (kwa sheria mpya) zitaandaliwa ili kukabiliana na mazingira ya kusaidia mitambo ikinunuliwa iwe na vigezo vya kitaalamu vinavyoonyesha uwezo wake wa kazi," alisema.

Lakini hakuna mbunge aliyechangia kwenye mkutano huo unaongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uchumi na Fedha, Dk Abdallah Kigoda aliyeonyesha wazi kwamba anaunga mkono mpango wa kubadili sheria hiyo ya manunuzi.

Hali hiyo ilimfanya Dk Kigoda kuwataka wawe makini kwa sababu kamati yake ilijadili kwa undani suala hilo na kubaini kwamba sheria hiyo ina upungufu... "Suala la manunuzi tulifikirie kwa umakini," alisema akieleza kuwa wabunge ndiyo wanaotarajiwa kuokoa jahazi la tatizo la umeme nchini.

Aliwataka wajaribu kufikiria njia fupi ya kulitatua ili kuokoa uchumi, maana hali inaweza kuwa mbaya zaidi kwa taifa iwapo litadumu kwa siku 100.

Awali, akifungua mkutano huo, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai aliwataka wabunge hao kutumia fursa hiyo kuishauri serikali kuhusu utaratibu mzima wa usimamizi na mifumo ya ununuzi wa umma kwani hali ya nchi ni mbaya.

"Eneo la manunuzi ni changamoto kubwa kwa serikali. Bado kuna udhaifu katika udhibiti na uwajibikaji katika eneo zima la manunuzi," alisema Ndugai na kuwataka wabunge kuwa makini na kutumia mjadala huo kuishauri serikali kwa sababu asilimia 70 ya bajeti yake inatumika kwa manunuzi na asilimia 90 ya bajeti ya maendeleo nayo hutumika katika suala hilo hilo.

"Fedha nyingi za Serikali zinapotea katika manunuzi. Ni changamoto kwetu sisi wabunge kuishauri ipasavyo Serikali katika eneo hili. Muswada wa Sheria ya Manunuzi ya Umma ya mwaka 2010 unategemewa kujadiliwa na kupitishwa na Bunge lijalo," alisema Ndugai.

Hata hivyo, alisema kabla ya kupelekwa bungeni, Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi itawashirikisha wadau mbalimbali kuuboresha.



Comments




0 #13 enkine kitok 2011-03-15 17:12 Naomba tu niseme mgawo wa umeme haujaanza leo na sio jana karibu miaka nane sasa. Hivyo dharura haihitajiki tena mana pia ndo iliyotufikisha hapa tulipo!

Sheria/kanuni za PPRA zisibadilishwe na hakuna sabab ya kununua vyuma chakavu. serikali ina hela nyingi ambazo zinztumika indirectly kuwanufaisha wachache!

Mitambo mipya inunuliwe na sio mitambo ya Dowans.
Quote









0 #12 mahenge emmanuel 2011-03-15 16:50 Nirahisi sana kuchagua maembe mengi lakini kumbuka nivigumu sana kutambua kama lipi ni tam na lipi ni chungu.Pia mwenye nyumba aweza kusikia radio mda wote kwa sauti ya juu na anapo amua kununua radio nyingine kwa bei ya juu hata kama imetumika nivigumu sana kwa mpangaji kupinga.Utaaminije kama mwenye nyumba anamahusiano na muuzaji?Hii ndo TANZANIA nchi yenye udongo wenye dhambi.
Quote









0 #11 kidaruini 2011-03-15 14:07 Hapa ninashindwa kuelewa kinachoendelea

ina maana walizima umeme ili wabunge wanaojadili kubadili sheria ya kununua

vitu kukuu vilivyotumika wafanye haraka kuipitisha hiyo sheria?

Takwimu za hali ya hewa zinasemaje kuhusu hali ya mvua kwa wakati huu?

Rada tuliyonunua haiwezi kutabiri kama mvua ziko za kutosha kujaza mabwawa ya mtera na mengineyo ili kutuepusha kununua

hii mitambo ya dowans?

Kwa huu muda mimi bado kabisa siungi mkono wa kununua hii mitambo kwa wakati.

ni bora serikali ikanunua mafuta ya kutosha kwa ajili ya IPTL wakati

tukisubiri mvua za masika na huku tukihangaikia mitambo yetu mipya
Quote









+1 #10 mkweli 2011-03-15 13:53 hatuna haja ya kufanya mambo kwa dharura, hatuhitaji dharura tena, kama taabu tumeshataabika, Eeeh mola waache DOWANS waede zao hatuwataki tena. Sheria ya manunuzi ikibadilishwa ni kwa manufaaa ya MAFISADI WACHACHE,kina DOWANS na Viongozi watumwa wa DOWANS, naomba wakumbuke mambo haya yana mwisho tu,Egypt na Libya kumepatikana nini? Kwa nini hadi leo DOWANS?Hivi BUNGE lililopita la Baba Sita lilikuwa bunge hewa au MAFISADI wameliuuwa?
Quote









+1 #9 D.F Masao 2011-03-15 13:18 Tatizo la Mgawo wa umeme nimeanza kuliona Mwaka 1994, kuanzia wakati huo hadi leo ni miaka 17, kwa nini serikali isianzishe mradi mkubwa wa kuzalisha Megawatts 3000, hata kama utachukua muda mrefu kukamilika lakini tuwe na matumaini kuwa kuna jambo tunasubiri, kuliko hii mipango ya dharura kila mwaka ambayo matokeo yake hayadumu.
Quote









+2 #8 MBILIGI 2011-03-15 11:01 Bora wananchi twende kuichoma moto mitambo ya DOWANS kukata mzizi wa fitina.
Quote









+3 #7 Mzalendohalisi 2011-03-15 09:23 Binafsi nimefurahi wabunge kuka[NENO BAYA] umeme. Na huyo Mbunge anayesema kuwa TANESCO haiheshimu Bunge ni mbinafsi haangalii hospitali zinavyoka[NENO BAYA] umeme. Binafsi napinga kununua mitambo ya DOWANS kwa kuwa wameshachukua fedha nyingi bila ya kutoa huduma. Serikali inunue mitambo yake toka kiwandani. Hivi kila siku DOWANS, DOWANS mpaka lini? Kuna njia nyingi tu za kupata umeme wa dharura bila ya kununua mitambo ya DOWANS (Mradi wa vigogo)
Quote









-1 #6 Gigi wa Sao Paulo- B 2011-03-15 06:37 hata hao tuliwapa dhamana wanafanya masihala eti CCM.....! CCM....! Kukatika kwa umeme bungeni di hii kali tena ya mwaka. kubadilishwa sheria ni kwamba mafisadi wameshinda kwa kuwa sheria itaruhusu serikali kununua kitu chochote kilichotumika hata magari,mitambo na vifaa vya ofisini. Du....!!!!kweli hiI Tanzania namaliza kwa kusema CCM Oyee....!!!! aaaah!!!!ehkhee eeee!!!!????
Quote









-5 #5 hezron Lus 2011-03-15 05:38 Wawekezaji wa nje watakimbia sasa hivi kama nchi haina umeme. uchumi utaporomoka. tushabikie kukua kwa uchumi sio hoja za kisiasa. sheria ibadilishwe ili tununue hiyo mitambo. ishu ni kukosekana kwa umeme. mnataka mgao uwepo mpaka lini? hela za kununua mitambo mipya zipo wapi?
Quote









0 #4 jangala 2011-03-15 05:17 safi kabisa. wakome kuchukua maamuzi ya kizumbukuku. si mlipiga makofi bungeni kubariki dowans?. sasa inawatoeni jasho. natamani kama ile tsunami iliyotokea japan ingewakuteni humo ndani iwasambaratishe ni maana hamna mnalofanyia nchi hii zaidi ya kupitisha hoja za kutunyonga sie wananchi. TANESCO SAFI SAAAAAAAAAANA. "well done"
Quote









+1 #3 mapinduzi 2011-03-15 04:54 safi sana tanesco. mmefanya la maana sana. hawa wanasiasa wa[NENO BAYA] sana. wanapenda kuingilia ishu ambazo ni technical huku hawajui lolote. inabidi mkate hadi magogoni na mjengoni ili wawe na heshima na wanataaluma.
Quote









+2 #2 elibariki yerald 2011-03-15 04:45 hatutaki hiyo mitambo ya DOWANS hizi i biashara za kihuniiiiiiiiii iiiiiiiiiiiii


mbona mnaendeshwa hivyooooooooooo oooo1 , mbona mnatumiwa hivyo hivi ROSTAM AZIZ anawayumbisha kiasi hicho mnunue mitambo yake badala ya kutafuta suluhisho la kudumu,,,, tunataka njia nyingine kama vipi mitambo itaifishwe na si kununua
Quote









+3 #1 vuvuvzela 2011-03-15 04:11 Mafisadi wanaendesha nchi jinsi wanavyotaka.Kwa nini hii sheria ijadiliwe kipindi hiki wakati kila mahali ni DOWANS?
Serikali inajali maslahi ya Mafisadi zaidi ya wananchi waliyoingiza madarakani. Je tutafika?
Tuungane kuwaombea Wabunge wazidishiwe ufunuo kuliokoa Taifa letu dhidi ya Mafisadi.
Quote
 
Wabunge wajadili mitambo ya Dowans gizani Send to a friend Monday, 14 March 2011 21:29
Leon Bahati
SIKU ya kwanza ya wabunge kujadili mpango wa kubadilisha sheria ya manunuzi ili serikali iruhusiwe kununua mitambo iliyotumika ilikumbwa na kioja cha aina yake baada ya umeme kukatika ghafla na giza kutanda ukumbini hali iliyowafanya baadhi ya wabunge kupiga kelele; Dowans! Richmond! Dowans! Richmond! Dowans na baadaye CCM! CCM! CCM!

Ikipitishwa, sheria hiyo itaiwezesha Serikali kununua mitambo ya Dowans ili kutatua tatizo la umeme linalolikabili Taifa.Kelele hizo zilizoandamana na kejeli za kuwasha kurunzi za simu za mikononi na kumtaka mtoa mada kuendelea kwa kutumia mwanga huo hafifu zilisikika katika eneo walilokuwepo wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Manunuzi ya Umma (PPRA), Dk Ramadhani Mlinga ndiye aliyekuwa akitoa mada juu ya taratibu za Usimamizi wa Mifumo ya Manunuzi Serikalini.

“Endelea! Endelea! Endelea!” Walisikika wabunge hao wakisema huku wakiwa wamewasha kurunzi za simu zao ambazo mwanga wake haukuhimili giza lililokuwepo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl, Ubungo, Dar es Salaam." Wabunge walibakia gizani kwa takriban dakika 10 kabla ya umeme kurejea.

Waandishi wa habari nao walitumia fursa hiyo kuwahoji baadhi ya wabunge na wakati wa mahojiano hayo, wabunge hao waliwasaidia wapigapicha za televisheni kwa kuwasha kurunzi za simu zao na kuwamulika usoni wale waliokuwa wakihojiwa ili waonekane vizuri.

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa alisema hayo ni matokeo ya Serikali ya CCM kukumbatia mikataba mibovu kama walioingia na kampuni ya Richmond Development LLC... "Mkataba huo ndiyo uliorithiwa na Dowans ambayo hukumu imetaka Tanzania iilipe kampuni hiyo Sh 94 bilioni."

Mbunge wa Viti maalumu (Chadema), Naomi Kihula alilibebesha mzigo wa lawama Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) akisema kuzima kwa umeme huo ni ishara kwamba shirika hilo la umma haliheshimu hata Bunge.

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tindu Lissu alisema kitendo ni adhabu kutoka kwa Mungu kwa mjadala huo akidai kwamba Mkuu wa PPRA, Dk Milinga alipinga vikali utoaji wa zabuni kwa Richmond lakini vigogo serikalini wakashikilia msimamo wa kumpinga.

Alisema hakubaliani na mpango huo wa kubadili sheria hiyo ya manunuzi ili kuwezesha serikali kununua mitambo ya Dowans kama njia ya kutatua tatizo la umeme nchini.

Baada ya jenereta la hoteli hiyo kuwashwa, Dk Mlinga aliendelea na mada yake na kueleza kwamba kutatua tatizo la umeme nchini kwa kununua mitambo mipya itachukua muda mrefu. Lakini akasema sheria ya PPRA inayotumika sasa hairuhusu kununua mitambo iliyotumika jambo ambalo linaibana serikali kutafuta suluhu ya tatizo la umeme nchini kwa haraka.

Kwa mujibu wa Mlinga, siyo lazima sheria hiyo iruhusu moja kwa moja ununuzi wa mitambo iliyotumika, bali iwe ni mazingira magumu kama yalivyo nchini sasa na kwamba kutakuwa na vigezo.

“Taratibu (kwa sheria mpya) zitaandaliwa ili kukabiliana na mazingira ya kusaidia mitambo ikinunuliwa iwe na vigezo vya kitaalamu vinavyoonyesha uwezo wake wa kazi,” alisema.

Lakini hakuna mbunge aliyechangia kwenye mkutano huo unaongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uchumi na Fedha, Dk Abdallah Kigoda aliyeonyesha wazi kwamba anaunga mkono mpango wa kubadili sheria hiyo ya manunuzi.

Hali hiyo ilimfanya Dk Kigoda kuwataka wawe makini kwa sababu kamati yake ilijadili kwa undani suala hilo na kubaini kwamba sheria hiyo ina upungufu... “Suala la manunuzi tulifikirie kwa umakini,” alisema akieleza kuwa wabunge ndiyo wanaotarajiwa kuokoa jahazi la tatizo la umeme nchini.

Aliwataka wajaribu kufikiria njia fupi ya kulitatua ili kuokoa uchumi, maana hali inaweza kuwa mbaya zaidi kwa taifa iwapo litadumu kwa siku 100.

Awali, akifungua mkutano huo, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai aliwataka wabunge hao kutumia fursa hiyo kuishauri serikali kuhusu utaratibu mzima wa usimamizi na mifumo ya ununuzi wa umma kwani hali ya nchi ni mbaya.

“Eneo la manunuzi ni changamoto kubwa kwa serikali. Bado kuna udhaifu katika udhibiti na uwajibikaji katika eneo zima la manunuzi,” alisema Ndugai na kuwataka wabunge kuwa makini na kutumia mjadala huo kuishauri serikali kwa sababu asilimia 70 ya bajeti yake inatumika kwa manunuzi na asilimia 90 ya bajeti ya maendeleo nayo hutumika katika suala hilo hilo.

“Fedha nyingi za Serikali zinapotea katika manunuzi. Ni changamoto kwetu sisi wabunge kuishauri ipasavyo Serikali katika eneo hili. Muswada wa Sheria ya Manunuzi ya Umma ya mwaka 2010 unategemewa kujadiliwa na kupitishwa na Bunge lijalo,” alisema Ndugai.

Hata hivyo, alisema kabla ya kupelekwa bungeni, Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi itawashirikisha wadau mbalimbali kuuboresha.



Comments




0 #13 enkine kitok 2011-03-15 17:12 Naomba tu niseme mgawo wa umeme haujaanza leo na sio jana karibu miaka nane sasa. Hivyo dharura haihitajiki tena mana pia ndo iliyotufikisha hapa tulipo!

Sheria/kanuni za PPRA zisibadilishwe na hakuna sabab ya kununua vyuma chakavu. serikali ina hela nyingi ambazo zinztumika indirectly kuwanufaisha wachache!

Mitambo mipya inunuliwe na sio mitambo ya Dowans.
Quote









0 #12 mahenge emmanuel 2011-03-15 16:50 Nirahisi sana kuchagua maembe mengi lakini kumbuka nivigumu sana kutambua kama lipi ni tam na lipi ni chungu.Pia mwenye nyumba aweza kusikia radio mda wote kwa sauti ya juu na anapo amua kununua radio nyingine kwa bei ya juu hata kama imetumika nivigumu sana kwa mpangaji kupinga.Utaaminije kama mwenye nyumba anamahusiano na muuzaji?Hii ndo TANZANIA nchi yenye udongo wenye dhambi.
Quote









0 #11 kidaruini 2011-03-15 14:07 Hapa ninashindwa kuelewa kinachoendelea

ina maana walizima umeme ili wabunge wanaojadili kubadili sheria ya kununua

vitu kukuu vilivyotumika wafanye haraka kuipitisha hiyo sheria?

Takwimu za hali ya hewa zinasemaje kuhusu hali ya mvua kwa wakati huu?

Rada tuliyonunua haiwezi kutabiri kama mvua ziko za kutosha kujaza mabwawa ya mtera na mengineyo ili kutuepusha kununua

hii mitambo ya dowans?

Kwa huu muda mimi bado kabisa siungi mkono wa kununua hii mitambo kwa wakati.

ni bora serikali ikanunua mafuta ya kutosha kwa ajili ya IPTL wakati

tukisubiri mvua za masika na huku tukihangaikia mitambo yetu mipya
Quote









+1 #10 mkweli 2011-03-15 13:53 hatuna haja ya kufanya mambo kwa dharura, hatuhitaji dharura tena, kama taabu tumeshataabika, Eeeh mola waache DOWANS waede zao hatuwataki tena. Sheria ya manunuzi ikibadilishwa ni kwa manufaaa ya MAFISADI WACHACHE,kina DOWANS na Viongozi watumwa wa DOWANS, naomba wakumbuke mambo haya yana mwisho tu,Egypt na Libya kumepatikana nini? Kwa nini hadi leo DOWANS?Hivi BUNGE lililopita la Baba Sita lilikuwa bunge hewa au MAFISADI wameliuuwa?
Quote









+1 #9 D.F Masao 2011-03-15 13:18 Tatizo la Mgawo wa umeme nimeanza kuliona Mwaka 1994, kuanzia wakati huo hadi leo ni miaka 17, kwa nini serikali isianzishe mradi mkubwa wa kuzalisha Megawatts 3000, hata kama utachukua muda mrefu kukamilika lakini tuwe na matumaini kuwa kuna jambo tunasubiri, kuliko hii mipango ya dharura kila mwaka ambayo matokeo yake hayadumu.
Quote









+2 #8 MBILIGI 2011-03-15 11:01 Bora wananchi twende kuichoma moto mitambo ya DOWANS kukata mzizi wa fitina.
Quote









+3 #7 Mzalendohalisi 2011-03-15 09:23 Binafsi nimefurahi wabunge kuka[NENO BAYA] umeme. Na huyo Mbunge anayesema kuwa TANESCO haiheshimu Bunge ni mbinafsi haangalii hospitali zinavyoka[NENO BAYA] umeme. Binafsi napinga kununua mitambo ya DOWANS kwa kuwa wameshachukua fedha nyingi bila ya kutoa huduma. Serikali inunue mitambo yake toka kiwandani. Hivi kila siku DOWANS, DOWANS mpaka lini? Kuna njia nyingi tu za kupata umeme wa dharura bila ya kununua mitambo ya DOWANS (Mradi wa vigogo)
Quote









-1 #6 Gigi wa Sao Paulo- B 2011-03-15 06:37 hata hao tuliwapa dhamana wanafanya masihala eti CCM.....! CCM....! Kukatika kwa umeme bungeni di hii kali tena ya mwaka. kubadilishwa sheria ni kwamba mafisadi wameshinda kwa kuwa sheria itaruhusu serikali kununua kitu chochote kilichotumika hata magari,mitambo na vifaa vya ofisini. Du....!!!!kweli hiI Tanzania namaliza kwa kusema CCM Oyee....!!!! aaaah!!!!ehkhee eeee!!!!????
Quote









-5 #5 hezron Lus 2011-03-15 05:38 Wawekezaji wa nje watakimbia sasa hivi kama nchi haina umeme. uchumi utaporomoka. tushabikie kukua kwa uchumi sio hoja za kisiasa. sheria ibadilishwe ili tununue hiyo mitambo. ishu ni kukosekana kwa umeme. mnataka mgao uwepo mpaka lini? hela za kununua mitambo mipya zipo wapi?
Quote









0 #4 jangala 2011-03-15 05:17 safi kabisa. wakome kuchukua maamuzi ya kizumbukuku. si mlipiga makofi bungeni kubariki dowans?. sasa inawatoeni jasho. natamani kama ile tsunami iliyotokea japan ingewakuteni humo ndani iwasambaratishe ni maana hamna mnalofanyia nchi hii zaidi ya kupitisha hoja za kutunyonga sie wananchi. TANESCO SAFI SAAAAAAAAAANA. "well done"
Quote









+1 #3 mapinduzi 2011-03-15 04:54 safi sana tanesco. mmefanya la maana sana. hawa wanasiasa wa[NENO BAYA] sana. wanapenda kuingilia ishu ambazo ni technical huku hawajui lolote. inabidi mkate hadi magogoni na mjengoni ili wawe na heshima na wanataaluma.
Quote









+2 #2 elibariki yerald 2011-03-15 04:45 hatutaki hiyo mitambo ya DOWANS hizi i biashara za kihuniiiiiiiiii iiiiiiiiiiiii


mbona mnaendeshwa hivyooooooooooo oooo1 , mbona mnatumiwa hivyo hivi ROSTAM AZIZ anawayumbisha kiasi hicho mnunue mitambo yake badala ya kutafuta suluhisho la kudumu,,,, tunataka njia nyingine kama vipi mitambo itaifishwe na si kununua
Quote









+3 #1 vuvuvzela 2011-03-15 04:11 Mafisadi wanaendesha nchi jinsi wanavyotaka.Kwa nini hii sheria ijadiliwe kipindi hiki wakati kila mahali ni DOWANS?
Serikali inajali maslahi ya Mafisadi zaidi ya wananchi waliyoingiza madarakani. Je tutafika?
Tuungane kuwaombea Wabunge wazidishiwe ufunuo kuliokoa Taifa letu dhidi ya Mafisadi.
Quote
 
Mitambo ya Dowans yadaiwa kuuzwa nje Send to a friend Tuesday, 15 March 2011 23:41

Baadhi ya mitambo ya Kampuni ya kufua umeme ya Dowans iliyopo ubungo jijini Dar es salaam

Exuper Kachenje
WAKATI Serikali ikiwa mbioni kurekebisha Sheria ya Ununuzi wa Umma kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kutaka kuinunua mitambo ya Kampuni ya kufua umeme ya Dowans, kuna taarifa zinazodai kuwa tayari mitambo hiyo imeshauzwa.Habari zilizolifikia gazeti hili jana zinaeleza kuwa mitambo hiyo imeuzwa nje ya nchi na kinachosubiriwa sasa ni kumalizika kwa taratibu za kimahakama katika kesi ya Dowans dhidi ya Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco) iliyoko Mahakama Kuu ya Tanzania.
Kwa mujibu wa habari hizo, tayari mnunuzi wa mitambo hiyo kutoka Cyprus ameilipa Dowans, lakini ameipa masharti kampuni hiyo kabla ya kuchukua fedha hizo.Katika masharti hayo, kampuni hiyo ya Cyprus inaitaka Dowans ihakikishe kwamba mitambo hiyo inapata

mkataba usiopungua miezi sita wa kuzalisha umeme nchini na ikishindwa, ihakikishe mitambo hiyo imepakiwa ndani ya meli tayari kwa kusafirishwa ndipo iruhusu kuchukuliwa kwa fedha hizo.Mkurugenzi wa Fedha wa Dowans (Tanzania), Stansalus Munai alipoulizwa kuhusu taarifa hizo, hakukanusha wala kukubali: "Mitambo yetu haijakosa soko. Wanaoihitaji ni wengi na ni wanaotaka kuisafirisha nje ya nchi."
"Wanakuja wengi kila siku wa ndani na nje, mazingira ya huko nyuma yalizuia tusiuze sasa hilo linaelekea kwisha."
Alipotakiwa kueleza kama watakuwa tayari kuiuza mitambo hiyo kwa Serikali, Munai alisema hawatalazimisha biashara nayo lakini wakienda kwa nia ya kuinunua wataisikiliza na kuifikiria. Hata hivyo, hakuweka wazi bei ya mitambo hiyo."...Hatutalazimisha biashara na Serikali, hawajaja ila wakija tutawasikiliza. Tutawafikiria kama watu wengine, bei inategemea," alisema Munai bila kufafanua zaidi.
Chini ya sheria ya mwaka 2004, inayotumika sasa, Serikali hairuhusiwi kununua bidhaa au mitambo ambayo tayari imetumika.Lakini iwapo sheria hiyo ya ununuzi itarekebishwa, itatoa nafasi kwa Serikali kununua mitambo iliyokwishatumika kama hiyo ya Dowans iliyoingizwa nchini mwaka 2006 kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura baada ya kuwapo kwa ukame uliosababisha kupungua kwa kina cha maji katika mabwawa ya kuzalishia umeme nchini.
Hivi sasa taifa linakabiliwa na upungufu mkubwa wa umeme na wafanyabiashara wanashinikiza mitambo ya Dowans iwashwe ili kupunguza ukubwa wa tatizo hilo.Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo alilithibitishia Mwananchi kuwa Serikali imekwishalijadili kwa kina suala hilo na juzi lilianza kujadiliwa na Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi.
Kamati hiyo inajadili na baadaye kupata maoni kutoka kwa wadau mbalimbali kabla ya kuwasilisha bungeni muswada wa kurekebisha sheria hiyo unaotarajiwa kuwasilishwa katika Mkutano wa Tatu wa Bunge mwezi ujao.
"Jambo hili si la siri. Litajadiliwa kwa uwazi na ninyi waandishi wa habari ni miongoni mwa wadau muhimu. Kwa hivyo waambie na wenzako… Katika mjadala huo, ripoti ya Serikali itasomwa na wadau mtapewa nafasi kuijadili," alisema Mkulo.
Habari zinasema tayari mawaziri wote wamepewa dokezo kuhusu mkakati huo wa Serikali kushughulikia suala hilo la kubadili sheria ambalo Mkulo alisema ni siri."Hilo ni ‘confidential' (siri)," alisema Mkulo alipotakiwa na Mwananchi kufafanua kuhusu maelezo yaliyo katika waraka uliotumwa kwa mawaziri wote. Habari zinasema hatua ya Serikali kutaka kubadili sheria ya ununuzi wa umma, inalenga katika kuifanya iwe huru kununua kitu kilichotumika hasa taifa linapokumbwa na majanga au jambo la dharura.
Sheria ya sasa inayoizua Serikali kutonunua bidhaa au vitu vilivyotumika ilitafsiriwa katika Sheria ya ununuzi wa Benki ya Dunia (WB), inayolenga kuepuka mazingira ya ufisadi.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, January Makamba alisema kuwa hatua ya Serikali kutaka kurekebisha Sheria ya ununuzi ya Umma imechelewa kwani ilitakiwa iwe imeshafanyiwa marekebisho siku nyingi.
Alikumbusha kwamba miaka ya nyuma Serikali iliwahi kuiomba kamati hiyo irekebishe sheria hiyo lakini ikaonekana kwamba kilichohitajika ni marekebisho ya kanuni, jambo ambalo alisema lingeweza kufanywa na waziri husika na kutangazwa katika Gazeti la Serikali.
Alisema anaunga mkono hatua ya kurekebisha sheria hiyo akieleza kuwa ina vikwazo vingi na mchakato mrefu. Kwa mujibu wa Makamba, vikwazo na mchakato huo mara nyingi huchelewesha mahitaji husika na wakati mwingine husababisha kupanda kwa gharama za miradi, hivyo kuharibu bajeti za miradi na kuwakwaza wahisani.
"Serikali imechelewa kufanya jambo hili, inasubiri mpaka kuwe na ‘crisis' (mgogoro), lakini naunga mkono hatua hiyo kwa sababu Sheria ya ununuzi ina vikwazo vingi, mlolongo mrefu. Hii inachangia gharama za mradi kupanda hata kukwaza wafadhili," alisema Makamba.Alisema Serikali imekuwa ikikiuka sheria hiyo, akitolea mfano wa ununuzi wa ndege zilizokwishatumika.
Mwaka 2008 Kampuni ya Dowans ilitangaza zabuni ya kuuza mitambo yake ya kuzalisha umeme ikiwa ni miezi mitatu baada ya Serikali kusitisha mkataba wake na Tanesco. Baadaye ilielezwa kuwa mitambo hiyo tayari imeuzwa kwa Sh101bilioni nje ya nchi.Dowans ilirithi mkataba wa kuiuzia umeme wa megawati 120 Tanesco kutoka kwa Kampuni ya Richmond Development LLC ambayo ilibainika kuwa ni kampuni hewa. Serikali ilifikia uamuzi wa kusitisha mkataba huo baada ya kuridhika kuwa haukuwa halali wala wenye nguvu kisheria.
Sakata la mkataba kati ya Tanesco na Richmond lilisababisha kuundwa kwa Kamati iliyokuwa chini ya uenyekiti wa Mbunge wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe (CCM). Matokeo ya ripoti hiyo yalisababisha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa na mawaziri wengine wawili, Dk Ibrahim Msabaha na Mustafa Karamagi, kujiuzulu.



Comments




0 #1 Mhifadhi 2011-03-16 05:13 Serikali muacheni huyu mtu auze hii mitambo yake maana imezidi kuwa kero na kila kukicha ni chanza cha kukosekana kwa mwelekeo wa nchi. Nadhani tumeshajifunza mengi hapo hakuna sababu ya kumbembeleza sana wala kung'ang'ania kuinunua. Agizeni ya kwetu mipya naamini hatushindwi wala haikosekani. Kwanza hi ni aibu kubwa kwa nchi
Quote
 
Kikwete aelezwa makali ya mgawo


Na Edmund Mihale

WAZIRI wa Uchumi, Bw. Mustafa Mkulo amemweleza Rais Jakaya Kikwete jinsi makali ya mgawo wa umeme yanavyoathiri uzalishaji katika sekta ya
uchumi na kijamii nchini.

Akitoa taarifa ya Rais Kikwete alipotembelea wizara hiyo jana, Bw. Mkulo alisema, "Athari kubwa ni kupungua kwa mapato ya ndani kutokana na kushuka kwa uzalishaji. Bajeti ya serikali imebidi kutumika kusaidia ununuzi wa mafuta ya kuendeshea mitambo kwa ajili ya kuzalisha umeme wa dharura," alisema Bw. Mkulo.

Alisema kuwa hali hiyo imesababisha kupanda kwa gharama za maisha kutokana na kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma.

Sababu nyingine iliyosababisha ugumu wa maisha, alisema kuwa ni kupanda kwa bei ya mafuta katika soko la dunia iliyosababishwa na hali mbaya ya kisiasa katika nchi za kiarabu.

Akitoa majumuisho ya taarifa hiyo, Rais Kikwete hakuzungumzia suala hilo bali masuala mengine, huku akiitaja wizara hiyo kuwa moyo wa nchi katika uendeshaji, hivyo inatakiwa kuwa makini katika utendaji wake.

"Wizara ya fedha ni kama moyo kwa binadamu, ni kiungo muhimu katika uendeshaji wa serikali ikizembea shughuli zote za serikali zinasimama," alisema Rais Kikwete.

Mbali na hilo, alizungumzia Sheria ya Manunuzi ya Umma kuwa ndiyo inayotoa mianya ya rushwa, na kuitaka wizara hiyo kuhakikisha inasimamia eneo hilo kwa umakini makubwa.

Hata hivyo Rais Kikwete alisema pamoja na kuwa sheria hiyo ni nzuri lakini ni ngumu katika utekelezaji, aakaitaka wizara hiyo kuagalia namna inavyoweza kuiboiresha kuwa tija katika jimii.

"Jamani sheria hii ni nzuri lakini ina ugumu wake, nakumbuka nilikwenda Halmashauri ya Mahenge wakanimbia kuwa iwapo watasimamia wao ujenzi nyumba zao watajenga moja kwa sh. milioni 15 lakini wakitumia sheria hiyo watajenga moja kwa sh. milioni 46, hapa mtaona kuwa kuna nyumba tatu kama watasimamia wao.

"Katika sheria hii ndipo watu wanapokula wanaibia serikali sasa hilo mliangalie," alisema.

Rais alizungumzia sheria hiyo wakati kuna mjadala miongoni mwa wabunge kuwa kuna mpango wa kubadili sheria hiyo na kuondoa kifungu kinachozuia kununua bidhaa zilizokwishatumika, ikiwamo mitambo ya Dowans.

Uhamisho wa wafanyakazi

Rais Kikwete aliwataka watendajiwa serikalia kutowahamisha wafanyakazi iwapo ofisi zao hazitakuwa na fedha.

Alisema hali hiyo inachangia kuongezeka kwa deni la serikali na hatimaye kusababisha migomo isiyo na lazima katika sehemu za kazi.

Ukuaji wa uchumi

Rais Kikwetea aliitaka wizara hiyo kuhakikisha kuwa inaelekeza katika maeneo yanayosababisha ukuaji wa uchumi ili kuongeza mapato ya serikali.

Wazee wa Afrika Mashariki

Aliagiza wizara kufanya utaratibu wa kuwalipa haraka wazee hao kwa kuwa limekuwa suala la muda mrefu.



1 Maoni:


Göttingen said... Kazi ya uwaziri ni pamoja na kumshauri raisi. Si vema raisi kupewa taarifa hii baada ya kutembelea wizara. Ilibidi tangu mapungufu haya yaanze kujitokeza, yangepelekwa kwenye baraza la mawaziri ili kujadiliwa na kutafutiwa ufumbuzi mapema. Kama ilikuwa inajulikana kwa raisi tayari, basi hii si taarifa ya kumpatia raisi baada ya kutembelea wizara zake. TUWAJIBIKE KWA MAKINI NA UADILIFU KATIKA DHAMANA TULIZOPEWA.
March 16, 2011 12:15 AM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…