Elections 2010 Dr. Slaa kujibu maswali "Live" ITV saa moja Usiku Jumamosi Hii

Fisadi Kiwembe

Ni kama wakati wako wa kubadilisha jina umefika....
Hivi kuna fisadi kiwembe anayemzidi mgombea wako? Una makusudi kuzidi TANESCO wewe!
Kila linapokuja jambo jema kuhusu CHADEMA utatia dosari tu!

Furaha yangu ni kwamba umefika wakati wenu wa kufunga vinywa vyenu vyenye maneno mabaya!
Chama hicho kitawabakia nyie mnaopendelea Tshirt, kofia, kanga na vitenge (kumbukeni hivo ndo vimepelekea viongozi wabovu nchi hii).

Go go go Dr. Slaa
 
hata mimi naona watafanya hivyo naona pia Star TV wataonyesha mechi ya kati ya Chelsea na Wolve muda huo huo!
 

Inategemea na atakachosema "Mzee wa Fitna na Kukomoana aka JK".

Lakini kama ataagiza Tanesco wafanye hujuma, basi Mkwere atachukiwa na Watz mara dufu.
 


malariaaaaaaa,dah umerudi ulifulia nini?
Any way,tutaongelea swala hilo kwenye katiba yetu mpya na tutakaa meza moja tuelewane kwa manufaa ya taifa na nyinyi pia
 
ni kweli...ikitokea kuna mgao sehemu wana jf uwanja uko wazi...labda wakalipue na server za jf!!
 
hata mimi naona watafanya hivyo naona pia Star TV wataonyesha mechi ya kati ya Chelsea na Wolve muda huo huo!
Mimi mpenzi wa Man U lakini kwa sasa hivi nashughulikia mstakabali wa taifa letu. Sijui hata habari za mpira hadi Dr Slaa atakapokuwa amekwisha kuapishwa kwenda magogoni
 
Jenerali mwenyewe anaonekana kaiochoka CCM. Kama Dr. Slaa aliweza kuibuka kidedea kwenye CCM tv (Star Tv) itakuwaje akiwa na Jenerali? Nian uhakika Dr. Slaa atatengeneza kura nyingine milioni 5 baada ya mdahalo huu! The death of CCM is real!
 
Hamzidi kibunango kule tampere. Maana wasuomi wangapi umeweka kinyumba na kuacha? Vipi chama si si emu, mbona kila mmoja anatwanga lwake na jamaa tunaona kadi za chama kwenye mapipa ya taka.
 
Huna akili wewe bataa wee,mdahalo umeahirishwa wewe unasikilizia tanesco,wa wapi wewe
 
Mdahalo umeahirishwa mpaka uchaguzi ujao teheeeeeeeeeeeeeeeee;;;
 
kweli Mengi Kabadilika gjhafla, Mengi mkuu wangu CCm hawabebeki
 

very good point
 


mbona hukuwa na mashaka na utafiti wa REDET???msulu unawavuka mwaka huu...kutwa mnakumbatia vilema kuomba kura ili muonekane mna huruma nao...hahaaaaaaa
 
WITO WANGU: Dr.Slaa ulikuwa shinyanga ukatwambia waliokagua lori la bakhresa Tunduma walisema walikuta karatasi feki za kura,kumbuka kwenda Itv na ushaidi, pia ulisema rasilimali zitalindwa kumbuka kutueleza jinsi tulivoibiwa na makampuni hewa,ili litawakumbusha wapiga kura uchungu wa mali zao.Kwa mtindo huu utata wa Watz walioshindwa kukubali ukweli. Dr. karibu ikulu. Ombi la mwisho,naomba ukiwa kama Rais, tembelea jamiiforums.com, home of Great Thinkers ukachague wabunge 10
wa kuteuliwa,sifa wanazo na nia ya kweli naona wanayo pia katiba inakuruhusu. Ukishindwa kuteua wabunge 10 kutoka hapa,basi naomba ulifanye Tawi la Chadema la mtandaoni,lenye wanaCCM wachache. Usipuuze ushauri huu,watu takribani 6700 waliokupigia kura kati ya hawa wanaokaribia 9,000 ni sawa na kijiji kimoja Tanzania chenye wanaCHADEMA wako wakiwemo robo ya jumla ambapo wataitwa wapinzani.
 

Mheshimiwa Professor Baregu, na Kaimu Katibu Mkuu Chadema, sikieni kilio hicho. Kama vipi pitisheni wito wa mchnago kwa ajili ya airtime kwenye TV za maana Jumamosi October 30
 
mbona hukuwa na mashaka na utafiti wa REDET???msulu unawavuka mwaka huu...kutwa mnakumbatia vilema kuomba kura ili muonekane mna huruma nao...hahaaaaaaa


Duh hapo red pana ukweli nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…