Watu wengi ukiwamo wewe Mozze munasema ubaguzi wa kidini na dini ni vitu visivyo na maana,lakini kivitendo daima munaonesha kushindwa kujitenga navyo.Hivyo ndivyo inavyopaswa kuwa kwani dini ni sehemu ya ubinadamu.
Hata mgombea wenu Dkt Slaa ana hadaa kama hizo mdomoni alizorithi kwa baba yake Nyerere,lakini kivitendo anatetea dini yake na dhehebu lake la ukatoliki,ndio maana bungeni mambo yenye faida na watanzania wote lakini yanayoanzia kwenye uislamu hakutaka kuyatetea pamoja na kidomo domo chake chote.
Kuhusu kutokushinda kwa CUF sababu zinajulikana kuwa ni ubaguzi wa kidini na wizi wa kura.Kwa sababu ikiwa ni usomi wakati huo na sasa hakuna chama chenye wagombea wasomi kama CUF hata CCM hawaingii.
Kusema kwa dkt Slaa si tiketi ya kuongoza nchi.Wangapi ni wasemaji sana lakini katika utekelezaji ni sifuri.Huyu ana mwelekeo huo huo kwa sababu inasemekana katika CHADEMA kuna udikteta wa hali ya juu lakini yuko doro mno hata kuuzungumzia.
Ulipomjibu Mtu wa pwani umesema: ACHA MAMBO YA KIDINI! Uliza ndugu zako au majirani au marafiki zako wangapi wamefaidika na CCBRT? Ndio utajua kuwa dini ni imani tu, na bora mtu wa dini anayesimamia haki kuliko mtu asiyesimamia haki.
Hiyo habari ya CCBRT ni habari nyengine na ni matokeo ya ubaguzi wa kidini na kiutawala.Kwani Wakristo wangapi watafaidika pindi nchi ikijiunga na OIC au mashirika ya kiislamu ambayo hufanya kazi zake bila ubaguzi yakiachwa kufanya shughuli zake Tanzania?.