MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 168
Huyu Izak ni mawazo yake na yana ukweli wake japo maneno katumia maneno ambayo mimi sijayakubali. Lakini kwanza sisi wenyewe tulio na Imani na Dr. slaa, siku ya kupiga kura tuende tukampigie, na pia tuwaelimishe "WADANGANYIKA" wanaoshabikia CCM huku wakinusa harufu tu ya mipesa iliyojaa mifukoni mwa "MAFISADI" vigogo wa CCM. Wati kama Izak jamani badilikeni hii nchi haitafunwi tena ila inamezwa nzimanzima.
Tumepewa chance ya kubadilisha mwaka huu, tumepewa yule "MKOMBOZI" Je, Tutafumba macho tuendelee kuchagua mtu anayewadharau wafanyakazi na kuwafanya wajinga na hawana maana.?
PLEASE WAKE UP!!!
CHANGE PLEASE!!!!!
Tumepewa chance ya kubadilisha mwaka huu, tumepewa yule "MKOMBOZI" Je, Tutafumba macho tuendelee kuchagua mtu anayewadharau wafanyakazi na kuwafanya wajinga na hawana maana.?
PLEASE WAKE UP!!!
CHANGE PLEASE!!!!!