Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,456
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Wilbroad Slaa leo amelihutubia Bunge katika kikao chake cha kwanza cha Ufunguzi na kuelezea mikakati yake ndani ya siku 100.
Mheshimiwa Rais Slaa alisema kwamba moja kati ya mambo atakayoyafanyia kazi katika siku zake 20 za Mwanzo ni kuhakikisha kwamba anarudisha Raslimali zote zilizoporwa Mikononi mwa Wananchi, Vile vile ameagiza kuanza kutumika mara moja kwa Sheria ya Uhujumu Uchumi na kwamba wale wote waliohusika katika kuiletea hasara Nchi hii watahukumiwa kwa Mujibu wa Sheria ya Uhujumu Uchumi, vile vile ameahidi kuufanyia mabadiliko makubwa Mfumo Mzima wa Kiserikali wa Tanzania, kwa kuanzia ameahidi Katiba Mpya itakayoendana na hali halisi na kuachana na katika ya 1997 iliyosheheni viraka mpaka kufikia kiwango cha Kuji-contradict
Mheshimiwa Rais Slaa alisema kwamba moja kati ya mambo atakayoyafanyia kazi katika siku zake 20 za Mwanzo ni kuhakikisha kwamba anarudisha Raslimali zote zilizoporwa Mikononi mwa Wananchi, Vile vile ameagiza kuanza kutumika mara moja kwa Sheria ya Uhujumu Uchumi na kwamba wale wote waliohusika katika kuiletea hasara Nchi hii watahukumiwa kwa Mujibu wa Sheria ya Uhujumu Uchumi, vile vile ameahidi kuufanyia mabadiliko makubwa Mfumo Mzima wa Kiserikali wa Tanzania, kwa kuanzia ameahidi Katiba Mpya itakayoendana na hali halisi na kuachana na katika ya 1997 iliyosheheni viraka mpaka kufikia kiwango cha Kuji-contradict